engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
ktk taarifa ya habari ya TBC ya saa mbili usiku,NAPE amesema kuwa chama cha mapinduzi ccm kitalichukulia hatua gazeti linalochapishwa kila siku hapa Tz kwa kuandika habari za kupotosha umma na kutumia nyaraka ambazo ni siri na bado hazijafanyiwa kazi na chama.
amesema kuwa gazeti hilo limeandika habari yenye kichwa cha habari CCM KUWAFUKUZA WAZEE KTK CHAMA
jamani hata mie siijui ni gazeti gani hilo
amesema kuwa gazeti hilo limeandika habari yenye kichwa cha habari CCM KUWAFUKUZA WAZEE KTK CHAMA
jamani hata mie siijui ni gazeti gani hilo