Kwa nini hawataki kufuata sheria za uchaguzi?magamba yamepanga kuishitaki cdm kwa kitendo cha kupaka wanja na kuchora alama ya helen kwenye picha ya mgombea wao ,
Lakini ni kinyume na sheria za uchaguzi. Tatizo Chadema bwana wanawasikiliza sana wapambe badala ya kufuata sheria zinazoongoza vyama vya siasa na hususani sheria za uchaguzi.Ngoja sasa wapambane na mkono wa sheria kama wapambe watakuwepo.hizo ni propaganda za siasa tu,mbona yanayofanyika nizaidi ya hayo na wa2 hawaendi mahakamani!!!dalili za kuchemka hizo
hizo ni propaganda za siasa tu,mbona yanayofanyika nizaidi ya hayo na wa2 hawaendi mahakamani!!!dalili za kuchemka hizo
Lakini ni kinyume na sheria za uchaguzi. Tatizo Chadema bwana wanawasikiliza sana wapambe badala ya kufuata sheria zinazoongoza vyama vya siasa na hususani sheria za uchaguzi.Ngoja sasa wapambane na mkono wa sheria kama wapambe watakuwepo.
Labda kulikuwa na kakaratasi kaliko andikwa chadema kama kale kalikokutwa kwa yule mwana ccm aliyechomewa mabanda yake kule Igunga..CCM bana...!how can you conclude that the one who has done so is cdm's member au kuna clear evidence?
Lakini ni kinyume na sheria za uchaguzi. Tatizo Chadema bwana wanawasikiliza sana wapambe badala ya kufuata sheria zinazoongoza vyama vya siasa na hususani sheria za uchaguzi.Ngoja sasa wapambane na mkono wa sheria kama wapambe watakuwepo.