Mpaka sasa mimi najua CCM inafanya Kmpeni za wazi kabisa. Kwa sababu katika mikutano ile watu walikuwa pia na Tshirt zilizoandikwa" CAHGUA CCM, CHAGUA KIKWETE" na hii ni baada ya JK kuthibitisha kuwa anagombea.
Hizo ndo kampeni ambazo hata CHADEMA watawafunga vema CCM kama watawashitaki
waondoe hofu na waguate sheria tu!