Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
hahaaaa, inamaana kale kaugonjwa kake kamechachamaa? Lakini tuna habari keshapata kikombe. Au kwa ajili ya issue za akina Jairo?Dr Slaa atagombea urais kwenye uchaguzi mdogo, Kikwete anajiuzulu
hahaaaa, inamaana kale kaugonjwa kake kamechachamaa? Lakini tuna habari keshapata kikombe. Au kwa ajili ya issue za akina Jairo?Dr Slaa atagombea urais kwenye uchaguzi mdogo, Kikwete anajiuzulu
kweli kama watu waliweza kuzirai kwa kusikia tu MWANAGAMBA mwenzao amekiacha chama sidhani kwa fikra hizi kama cha GAMBA kitahitaji nguvu ya ziada katika hili.kwani hamkuona wale jamaa walivyokua wakimlilia Rostam?.....jamaa kawaambia amejivua gamba, watu wanaimba "hatutakiii, hatutakii"....we unafikiri CCM wanahitaji kuiba kura hapo?.....mbona its obvious.....mnazijua akili za watanzania au mnazisikia tu?
Anayedhani kuna kura ziliibiwa ni mwendawazimu tu na hana kumbukumbu, tazama CCM ilikuwa na sababu gani ya kuiba wakati hata sehemu ilikopoteza waliopiga kura ni wana CCM. Acheni utetezi kabla hata mchezo kuanza. Tafuteni kingine IGUNGA ni ya CCM.