William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
1.
Wazee liacheni jina la Mtu wa Pwani, huyo ni his own man, huwa anasimama na kuhesabiwa, sasa nashangaa kuona watu wakilitumia jina lake kwa malalamiko yasiyo na hoja za msingi, toeni hoja zenu wakuu muacheni huyu MP maana yeye anajiweza kusimamia hoja zake, wekeni zenu wakuu!
Wakuu hebu mfikiri kabla ya kuandika, humu ndani kuna wananchi wenye uchungu na nchi yao, tena kwa misimamo mbali mbali, kuna mpaka wanaomlilia Lowassa, aendelee kuwa pm wetu, kina KGTZ, je na yeye ni Chadema? Mbona mawazo yake ya kumtetea lowassa hayajafutwa? Wakuu nafikiri wakati umefika muangalie vizuri kama zeni ni hoja au ni viroja?
Painkiller, ameanza majuzi tu kuwa mod, sasa malalamiko yanatoka wapi? Mkuu umekuwa ukijaribu ku-create hoja ambazo hazifikii level ya kukubalika na wananchi wengi hapa JF, sasa unajaribu kutafuta mob justice kwa kuandika maneno ya uchonganishi kati ya members hapa, kila kukicha una mapya, mkuu weka hoja tu hapa Jf ni hoja yako tu, na sio filimbi nyingi bila hoja!
JF ni safi, na tutaendelea kumkoma nyani tu mpaka kieleweke mkuu, huku tukitofautinana kimawazo na kihoja, hakuna short cut hapa to fame!
Mtu wa Pwani,
Wazee liacheni jina la Mtu wa Pwani, huyo ni his own man, huwa anasimama na kuhesabiwa, sasa nashangaa kuona watu wakilitumia jina lake kwa malalamiko yasiyo na hoja za msingi, toeni hoja zenu wakuu muacheni huyu MP maana yeye anajiweza kusimamia hoja zake, wekeni zenu wakuu!
Mimi binafsi nachukizwa na huu mtandao wa uliopo humu ndani ya JF. Nafikia mahali napata hisia labda JF imetiwa mfukoni mwa CHADEMA na huenda ni mfadhili mkubwa wa JF.
Wakuu hebu mfikiri kabla ya kuandika, humu ndani kuna wananchi wenye uchungu na nchi yao, tena kwa misimamo mbali mbali, kuna mpaka wanaomlilia Lowassa, aendelee kuwa pm wetu, kina KGTZ, je na yeye ni Chadema? Mbona mawazo yake ya kumtetea lowassa hayajafutwa? Wakuu nafikiri wakati umefika muangalie vizuri kama zeni ni hoja au ni viroja?
Kuna ufisadi mkubwa sana unafanywa na baadhi ya JF members humu ndani tena kwa baraka za PainKiller.
Kwa mfano, fuatilia postings za Mstahiki jinsi zinavyoyumbishwa.
Painkiller, ameanza majuzi tu kuwa mod, sasa malalamiko yanatoka wapi? Mkuu umekuwa ukijaribu ku-create hoja ambazo hazifikii level ya kukubalika na wananchi wengi hapa JF, sasa unajaribu kutafuta mob justice kwa kuandika maneno ya uchonganishi kati ya members hapa, kila kukicha una mapya, mkuu weka hoja tu hapa Jf ni hoja yako tu, na sio filimbi nyingi bila hoja!
JF ni safi, na tutaendelea kumkoma nyani tu mpaka kieleweke mkuu, huku tukitofautinana kimawazo na kihoja, hakuna short cut hapa to fame!