Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
Msajili wa vyama vya siasa nchini John Tendwa ameamua kukifuta chama cha mapinduzi kutokana na chama hicho kukumbwa na mgogoro wa ndani uliosababisha amani kutoweka ndani ya chama hicho.Haya wapenzi na wanachama wa CCM tafuteni chama cha kuamia baada ya chama chenu kufutwa.