Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,216
- 78,162
Chama cha Mapinduzi.(MAGAMBA)..wana mpango wa kufungua Tv yao..Itakayoitwa UHURU TV...
na hawa ndio watakaosimamia kazi ya uanzishwaji wake
1.Abdulahaman Kinana
2.Zakia Meghi
3.Wiliam Lukuvi
Source:Mtanzania
My Take..hii inabidi iwe changamoto kwa vyama vingine..Hasa CDM
ila kubwa ya yote..itaangaliwa..
nani mlengwa wao..nawasilisha
na hawa ndio watakaosimamia kazi ya uanzishwaji wake
1.Abdulahaman Kinana
2.Zakia Meghi
3.Wiliam Lukuvi
Source:Mtanzania
My Take..hii inabidi iwe changamoto kwa vyama vingine..Hasa CDM
ila kubwa ya yote..itaangaliwa..
nani mlengwa wao..nawasilisha