Lazima ife, izikwe na hakuna kuifufua hata yesu akija.
Tena izikwe kwa sanda nyeusi.
Lazima ife, izikwe na hakuna kuifufua hata yesu akija.
hizo ni ndoto tu kufikiria kifo cha CCM
subiri matokeo ya leo uambiwe % za nchi nzima
ukishuhudia wanaruka kidedea
walianza NCCR ya Mrema, wakaja CUF ya jino kwa jino, sasa CDM ya saccos ya chagadema
Don'T ConfusE Me If You Can'T ConvicE Me!! CCM ni kichaka cha WezI Tu :msela:
mwanamume ni kupigana mpaka mwishoUna roho ngumu Sana wewe ..yaani jahazi linazama wewe unaendeleaje kupiga zeze tu..
unanikumbusha movie ya titanic ilivyo kuwa inazama huku wapiga zeze wakiendelea kutumbuiza.