Elections 2010 CCM/ Kihiyo Chegeni Kanusheni na hii……………

Omutwale

JF-Expert Member
Feb 4, 2008
1,429
1,045
Matokeo ya Kipima joto cha ITV kilichohoji Mtazamo wa Wananchi juu ya utekelezwaji wa Ahadi ya Kutoa Afya na Elimu Bure inayotolewa na Mgombea-Urais wa CHADEMA, Dr. Slaa kama inatekelezeka kimetoa matokeo yafuatayo:
Wanaosema NDIYO 87%
Wanaosema HAWAJUI 2%
Matokeo haya kwa Chama makini yanaashiria kukubalika au kutokubalika kwa sera za chama fulani na utayari wa Wapiga kura kununua sera za chama hicho au kukitosa. Wale waliozoea kukimbilia kukanusha kila takwimu zinakuwa chungu, mwaka huu wata/mtalala HABARI-MAELEZO
 
Hao CCM wamekwisha safari hii,hata kama watashinda ni kwa wizi kama kawaida, Ee mungu wape hamasa watanzania waiondoe madarakani CCM ni chama cha majambazi.Hotuba ya J.K jana aliwaambia watz kuwa nchi yenye amani ndo nchi inayopata maendeleo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Tz imekuwa na amani 50yrs ago. ni maskini hadi sasa. Uganda ushari miaka kibao na wana accelerate kimaendeleo balaa, Kenya nao sembuse TZ.
 
SI KWELI HAYO MATOKEO YAMETOKANA NA WATU WANAO ANGALIA TV TU, SISI KAMA CHAMA TUMEWALENGA ZAIDI WALE WATU WA VIJIJINI AMBAO HAWANA UMEME HATA KAMA WANAO HAWANA TV, HATA KAMA WANAZO WAWE WALE AMBAO TV WANAZITUMIA KUANGALIA TAMSIRIA AU MAIGIZO MBALIMBALI, YAANI WENYE HAMU NA KANGA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI NA POMBE ZA KIENYEJI NA ELFU MBILIMBILI NAAMANISHA WALE WATU WANAOAMINI SIKU CCM IKITOLEWA MADARAKANI KUTATOKEA VITA KAMA RWANDA NA BURUNDI, WASIOPENDA MACHAFUKO NA WANAOPENDA HII AMANI TULIOYO NAYO INADUMU MILELE.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, ZIDUMU FIKRA ZA WAASISI WA CHAMA CHETU KITUKUFU.:becky:
 
SI KWELI HAYO MATOKEO YAMETOKANA NA WATU WANAO ANGALIA TV TU, SISI KAMA CHAMA TUMEWALENGA ZAIDI WALE WATU WA VIJIJINI AMBAO HAWANA UMEME HATA KAMA WANAO HAWANA TV, HATA KAMA WANAZO WAWE WALE AMBAO TV WANAZITUMIA KUANGALIA TAMSIRIA AU MAIGIZO MBALIMBALI, YAANI WENYE HAMU NA KANGA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI NA POMBE ZA KIENYEJI NA ELFU MBILIMBILI NAAMANISHA WALE WATU WANAOAMINI SIKU CCM IKITOLEWA MADARAKANI KUTATOKEA VITA KAMA RWANDA NA BURUNDI, WASIOPENDA MACHAFUKO NA WANAOPENDA HII AMANI TULIOYO NAYO INADUMU MILELE.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, ZIDUMU FIKRA ZA WAASISI WA CHAMA CHETU KITUKUFU.:becky:

Kwa hiyo mnafanya makusudi kutowapa maendeleo ili muweze kuwatawala milele (what a disgrace !!!)
 
Kwa hiyo mnafanya makusudi kutowapa maendeleo ili muweze kuwatawala milele (what a disgrace !!!)

Hii zinaitwa siasa za umaskini (politics of poverty) ndugu yangu. Unawafanya wapiga kura kuwa maskini na wasio na elimu kiasi kwamba wanaamini kuwa wewe ni kiongozi pekee unayeweza kuwakomboa. Ukiongeza na virushwa vidogovidogo vya Tshirts, kanga, chumvi na elfu mojamoja basi unakuwa umewamaliza kabisa.
 
SI KWELI HAYO MATOKEO YAMETOKANA NA WATU WANAO ANGALIA TV TU, SISI KAMA CHAMA TUMEWALENGA ZAIDI WALE WATU WA VIJIJINI AMBAO HAWANA UMEME HATA KAMA WANAO HAWANA TV, HATA KAMA WANAZO WAWE WALE AMBAO TV WANAZITUMIA KUANGALIA TAMSIRIA AU MAIGIZO MBALIMBALI, YAANI WENYE HAMU NA KANGA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI NA POMBE ZA KIENYEJI NA ELFU MBILIMBILI NAAMANISHA WALE WATU WANAOAMINI SIKU CCM IKITOLEWA MADARAKANI KUTATOKEA VITA KAMA RWANDA NA BURUNDI, WASIOPENDA MACHAFUKO NA WANAOPENDA HII AMANI TULIOYO NAYO INADUMU MILELE.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, ZIDUMU FIKRA ZA WAASISI WA CHAMA CHETU KITUKUFU.:becky:

What a dumbest comment, halafu mwalimu wako wa kiswahili sijui alikuwa ni nani? Na wa shule gani?
 
kweli watachoka kukanusha ,ahaaaaaaaaaaa watalalahabari maelezo
 
si kweli hayo matokeo yametokana na watu wanao angalia tv tu, sisi kama chama tumewalenga zaidi wale watu wa vijijini ambao hawana umeme hata kama wanao hawana tv, hata kama wanazo wawe wale ambao tv wanazitumia kuangalia tamsiria au maigizo mbalimbali, yaani wenye hamu na kanga za chama cha mapinduzi na pombe za kienyeji na elfu mbilimbili naamanisha wale watu wanaoamini siku ccm ikitolewa madarakani kutatokea vita kama rwanda na burundi, wasiopenda machafuko na wanaopenda hii amani tulioyo nayo inadumu milele.

Kidumu chama cha mapinduzi, zidumu fikra za waasisi wa chama chetu kitukufu.:becky:

vijini hawana umeme tena wakati jakaya kikwete kaahidi lapatop kwa kila mwanafunzi wa sekondari ya kata?
 
Nadhani kuelekea mwisho wa kampeni CCM itaahidi elimu na matibabu bure, wait and see!! And i will not be suprised, kwa kuwa CCM wanaweza kufanya lolote, si umemsikia Makamba akisema kuwa ilani ya CCM inaongelea kuboresha usafiri wa anga na majini na haiwezekani bila kununa meli na kujenga viwanja vya kimataifa vya ndege. Sasa hawakawii kusema kuwa kuboresah elimu na afya ni pamoja na kutoa elimu bure na matibabu bure-- wait utaona hicho kituko!!!
 
laptop zitachajiwa kwa kutumia gesi ya kinyesi cha ngombe, hakuna haja ya umeme, ebooo!
 
SI KWELI HAYO MATOKEO YAMETOKANA NA WATU WANAO ANGALIA TV TU, SISI KAMA CHAMA TUMEWALENGA ZAIDI WALE WATU WA VIJIJINI AMBAO HAWANA UMEME HATA KAMA WANAO HAWANA TV, HATA KAMA WANAZO WAWE WALE AMBAO TV WANAZITUMIA KUANGALIA TAMSIRIA AU MAIGIZO MBALIMBALI, YAANI WENYE HAMU NA KANGA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI NA POMBE ZA KIENYEJI NA ELFU MBILIMBILI NAAMANISHA WALE WATU WANAOAMINI SIKU CCM IKITOLEWA MADARAKANI KUTATOKEA VITA KAMA RWANDA NA BURUNDI, WASIOPENDA MACHAFUKO NA WANAOPENDA HII AMANI TULIOYO NAYO INADUMU MILELE.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, ZIDUMU FIKRA ZA WAASISI WA CHAMA CHETU KITUKUFU.:becky:

Hivi unatumia spinal cord kufikiri au ubongo?
 
Matokeo ya Kipima joto cha ITV kilichohoji Mtazamo wa Wananchi juu ya utekelezwaji wa Ahadi ya Kutoa Afya na Elimu Bure inayotolewa na Mgombea-Urais wa CHADEMA, Dr. Slaa kama inatekelezeka kimetoa matokeo yafuatayo:
Wanaosema NDIYO 87%
Wanaosema HAWAJUI 2%
Matokeo haya kwa Chama makini yanaashiria kukubalika au kutokubalika kwa sera za chama fulani na utayari wa Wapiga kura kununua sera za chama hicho au kukitosa. Wale waliozoea kukimbilia kukanusha kila takwimu zinakuwa chungu, mwaka huu wata/mtalala HABARI-MAELEZO
kwa weli hao vijan wetu au viongozi wa vyama ambavyo hawapo madarakani natia moyo tupo pamoja na wakati huu ni wenu kuweza kuuza sera zenu na watu watawatambua kwa sera na uadilifu wenu na wataamua siku ya tarehe 31 oct ninachomba tu wasihangaike na ccm kwani ndio inatapata kama kuku anaytaka kutia roho kwani wakati mytu unakaribai kufa unajitahidi kufanya unalaoweza lakini mwishoni uanambulia ulikopangiwa na mungu ni wakati wa CCm kuachia madaraka hata kwa damu ikibidi Mungu atafanya wao kama walivyofanya wamisri na Farao katika pigo la mwisho
 
SI KWELI HAYO MATOKEO YAMETOKANA NA WATU WANAO ANGALIA TV TU, SISI KAMA CHAMA TUMEWALENGA ZAIDI WALE WATU WA VIJIJINI AMBAO HAWANA UMEME HATA KAMA WANAO HAWANA TV, HATA KAMA WANAZO WAWE WALE AMBAO TV WANAZITUMIA KUANGALIA TAMSIRIA AU MAIGIZO MBALIMBALI, YAANI WENYE HAMU NA KANGA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI NA POMBE ZA KIENYEJI NA ELFU MBILIMBILI NAAMANISHA WALE WATU WANAOAMINI SIKU CCM IKITOLEWA MADARAKANI KUTATOKEA VITA KAMA RWANDA NA BURUNDI, WASIOPENDA MACHAFUKO NA WANAOPENDA HII AMANI TULIOYO NAYO INADUMU MILELE.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, ZIDUMU FIKRA ZA WAASISI WA CHAMA CHETU KITUKUFU.:becky:



Huo ndio mtaji wenu, SSM haitaki wapate maendeleo, wasiwe na TV na wala solar power, wasipewe elimu ya bure, waendelee kuwa maskini ili iendelee kuwakandamiza.

Anyway huo ndo mtaji wenu (Ujinga na Umaskini) lakini siku moja utaisha.
 
Sasa kama anaweza kutoa laptop kwa kila mwanafunzi inakuwaje aseme elimu bure Tz haiwezekani??

Laptop kwa kila mwanafunzi wa mjini ambapo kuna umeme na huku kwetu vijijini ambako umeme bado ni ndoto watu tunakuwa mpaka watu wazima tukisafiri mjini ndio tunaona umeme itakuwaje kutumia hizo laptop
 
Matokeo ya Kipima joto cha ITV kilichohoji Mtazamo wa Wananchi juu ya utekelezwaji wa Ahadi ya Kutoa Afya na Elimu Bure inayotolewa na Mgombea-Urais wa CHADEMA, Dr. Slaa kama inatekelezeka kimetoa matokeo yafuatayo:
Wanaosema NDIYO 87%
Wanaosema HAWAJUI 2%
Matokeo haya kwa Chama makini yanaashiria kukubalika au kutokubalika kwa sera za chama fulani na utayari wa Wapiga kura kununua sera za chama hicho au kukitosa. Wale waliozoea kukimbilia kukanusha kila takwimu zinakuwa chungu, mwaka huu wata/mtalala HABARI-MAELEZO


Mkuu hao waliohojiwa ni kati ya wangapi?

Tatizo la wabongo ni kutatanishwa na takwimu,kwani inawezekana wamehojiwa watu wanne tu wa hapo kariakoo na posta

tuwe makini na hizi tafiti kwani wakati mwingine zinaweza kueleza issue tofauti na ilivyo

sipangani na hoja,napingana na kutumia takwimu za kinazi kuelezea msimamo fulani
 
Fikra za ezan ni kama hio avatar yake, unafikiri vijiji kama vya sasa na sawa na vile vijiji vya ujamaa vya mwalimu, siku hizi watu wanakula newz, kwani solar kibao, hebu nenda kule umasaini ndio utashangaa, utakuta nyumba ya full suite ina solar na dish kubwa nje na bado mtu ana simu kwani anatumia umeme wa sola kuchaji hio simu, acha ujima wewe.Watanzania sio wadanganyika tena kaka, wanakijiji wamejanjaruka kwa sana tu sasa,wanajua kila kitu kinachoendelea duniani, so usiwa under grade kabisa.Matokeo hayo yana ukweli sana, angalia jisni matumizi ya fedha za umma yanayofanywa na hawa viongozi yalivyo juu.Inawezekana kutoa elimu na afy bureeeeeeeeee ni kujipanga tuu.
 
Back
Top Bottom