Bwana Mwalimu
Member
- Apr 18, 2012
- 7
- 2
Nimeupenda sana ujumbe wake huyu bwana. Kwa hakika kama trend itakuwa hivi tunaweza kujikuta hadi kufikia 2014 tunatakiwa kurudia uchaguzi wa madiwani na wabunge wengi sana kwa kuwa wengi wao watakuwa wameshahamia CHADEMA. Kwa hili tutapaswa kumshukuru na kumpongeza Kikwete kwa kusaidia kuindoa CCM madarakani.
Nawaomba mtambue kuwa hata siku moja MUNGU hakushuka duniani kuleta mabadiliko! Nyakati zote alitumia watu either positivel or negatively, hivyo JK ni mmoja wapo wa watumika! Mpango wa Mungu juu ya MAUMIVU ya Watanzania unachkua kasi towards 2015! Mkono wake umeingia ndani! Kinachoendelea ni kuchanganyikiwa kamba kwa waliokuwa wanaijenga BABYLON TOWER! Leta Jembe, analeta mwiko! nk. Kweli tutamweka JK historiani, kwa kuondoka na CCM! Dalili zilionekana pale tu alipoingia Madarakani! Kumbukeni Siku 30 za MAAMUZI MAGUMU! Hotuba yake Bungeni, Na tafsiri ya SURA zake mbalimbali! Tujipange kwa MABADILIKO ili nasi TUSIYAPOKEE kwa hamaki na kusababisha kuchanganyikiwa!
:rockon: