Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
karibu kamanda.
kazi ya ukombozi imeshavuka mstari wa mwisho sasa inaelekea kwenye ushindi kamili.
kazi ya ukombozi imeshavuka mstari wa mwisho sasa inaelekea kwenye ushindi kamili.
Tweeted by Dr. W. Slaa:
Ally Bananga mfuasi mwingine wa EL sina imani na na wewe kabisa CCM we na Millya mlikuwa mnatumikia EL na mtoto wake ""Cadet" Fred Lowassa anyway karibu CDM but tutakaa na nyie kwa tahadhari kubwa
Millions-1
Ally Bananga mfuasi mwingine wa EL sina imani na na wewe kabisa CCM we na Millya mlikuwa mnatumikia EL na mtoto wake ""Cadet" Fred Lowassa anyway karibu CDM but tutakaa na nyie kwa tahadhari kubwa
Ally Bananga mfuasi mwingine wa EL sina imani na na wewe kabisa CCM we na Millya mlikuwa mnatumikia EL na mtoto wake ""Cadet" Fred Lowassa anyway karibu CDM but tutakaa na nyie kwa tahadhari kubwa
Karibu sana Bananga nimependa paragraph yako ya mwisho kwa jinsi ulivyowaaga CCM.
Tunamsubiri Abdallah Mpokwa aliyekuwa katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha nasikia amehamishiwa makao makuu Dar.