rendezvous
Member
- Nov 23, 2009
- 18
- 0
Nimepigiwa simu na mdogo wangu, amenitaarifu baada ya kuchakachua as ussual CCm wameshinda jimbo la karagwe.
UNFAIR.
UNFAIR.
im now tired of kila mtu kuimba wimbo wa kucahkachuliwa bila kuleta figures kupingana na zile za wasimamizi wa uchaguzi na tume. Jimbo la ubungo tulikuwa na figures zetu alfajiri saa tisa usiku o1 nov 2010 kutokana na uchungu wa kuporwa ushindi wetu 2005.nimepigiwa simu na mdogo wangu, amenitaarifu baada ya kuchakachua as ussual ccm wameshinda jimbo la karagwe.
Unfair.