Umesahau kauli ya Wassira?hamfiki 2015,miongoni mwa wanachama wenu na viongozi wenu wamechoshwa na tabia ya chama kuongozwa kiukoo mtu yeye,dada yake na mtoto wake wanapeana ubunge wa viti maalum wapiganaji wengine walaji wengine,wewe ni young politician vuta subira utayaona!
Umetembelea lini Gombe?