VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Kaleta hoja na kama kuna watu wanaona hoja za ndugu yetu huyu ni dhaifu zioneshwe hivyo; kuzipuuzia au kumuita yeye majina hakufanyi hoja nyingine kuwa na nguvu. Turudi kwenye hoja hujibiwa kwa hoja!
Mkuu Mimi nilivyoelewa hapa huyu hajaleta hoja hapa kuijadili, ameleta suggestions zake anavyotaka mambo yawe... Nathani watu from their opinions wanamueleza not in too many words kwamba haiwezekani..... He does not have a Case