Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Wadau -- kama mme-notice jiunsi siku zinavyoenda, ndiyo jinsi CCM inavyozidi kuchukiwa na wananchi.
Ukiangalia vipindi vingi vya TV (mfano: Jiji Let/Hapa na Pale vya ITV) utaiona hasira ya waziwazi dhidi ya CCM au/na serikali yake kutoka kwa wale wanaohojiwa kuhusu masuala mbali mbali ya nchi ingawa hawaitaji CCM moja kwa moja kwa jina.
Chuki hii dhidi ya CCM ilionekana waziwazi jana katika mdahalo wa katiba ulioendeshwa na ITV uliomshirikisha Mkamau mwenyekiti wa CCM -- Pius Msekwa.
Alipata wakati mgumu hadi mmoja wa wauliza maswali alimwambia kinaga ubaga kwamba wananchi wameichoka CCM.
Ukiangalia vipindi vingi vya TV (mfano: Jiji Let/Hapa na Pale vya ITV) utaiona hasira ya waziwazi dhidi ya CCM au/na serikali yake kutoka kwa wale wanaohojiwa kuhusu masuala mbali mbali ya nchi ingawa hawaitaji CCM moja kwa moja kwa jina.
Chuki hii dhidi ya CCM ilionekana waziwazi jana katika mdahalo wa katiba ulioendeshwa na ITV uliomshirikisha Mkamau mwenyekiti wa CCM -- Pius Msekwa.
Alipata wakati mgumu hadi mmoja wa wauliza maswali alimwambia kinaga ubaga kwamba wananchi wameichoka CCM.