kijenge
Senior Member
- Mar 9, 2012
- 179
- 164
Ccm angalieni mnamsaidia cdm bila kujua kwa kusutwa kwenu. Tangu kampeni zimeanaza ccm wamekua wana ongea mambo ya siyokua namantiki wala sera za maana.
Wanaongelea watu binafsi matokeo yake ni kushu2liwa kila cku na watu wapembeni wala sio waliowatuhumu. Mkapa kaanza na vicenti nyerere co familiya ya nyerere,madaraka nyerere kamshushua kuwa ni familiya yao. kaja wasira na nasary ba2ake kamshindwa nimto2 mtundu sana.
Matokeo yake baba ake nasary kapanda jukuwani kamshu2a.ujue mmbea ni mmbea tuu anapendaga kushushuliwa,akaja na dr slaa alifukuzwa upadri kwa kula hela ya ujio wa papa,sasa kanisa katoliki linataka ushaidi ona mtu mzima anavyoumbuka na kama sio kuisadia cdm nini.
Wala wao hawana muda wakujibizana na makubwa jinga.na wanaona wanavyojimaliza haitoshi sa2 wanakuja na maji marefu. wameru na waganga wakienyeji tangu lini,labda mngewaletea mwakasege wangewaeelewa .NAPE ondoa walevi wako arumeru hawajui kilicho waleta meru.
Wanaongelea watu binafsi matokeo yake ni kushu2liwa kila cku na watu wapembeni wala sio waliowatuhumu. Mkapa kaanza na vicenti nyerere co familiya ya nyerere,madaraka nyerere kamshushua kuwa ni familiya yao. kaja wasira na nasary ba2ake kamshindwa nimto2 mtundu sana.
Matokeo yake baba ake nasary kapanda jukuwani kamshu2a.ujue mmbea ni mmbea tuu anapendaga kushushuliwa,akaja na dr slaa alifukuzwa upadri kwa kula hela ya ujio wa papa,sasa kanisa katoliki linataka ushaidi ona mtu mzima anavyoumbuka na kama sio kuisadia cdm nini.
Wala wao hawana muda wakujibizana na makubwa jinga.na wanaona wanavyojimaliza haitoshi sa2 wanakuja na maji marefu. wameru na waganga wakienyeji tangu lini,labda mngewaletea mwakasege wangewaeelewa .NAPE ondoa walevi wako arumeru hawajui kilicho waleta meru.