Vipaji gani hivyo?
Na bado, nilisahau kipaji kingine cha wanaCCM ni kugonga meza na matusi mjukwaani. GAMBA.Akili ya viroba na ndumu tu ndo unaweza sema maneno haya!
alhajii alhajii alhajii.....kudukududu....dudududu....
ccm mna vichwa vichache sana ukilinganisha na wabunge wengi mlionao wengi ni wale wa ndioooooooooooooo
upinzani wachache kwa idadi yao wanavichwa vingi zaidi ukilinganisha na nyinyi magamba.
Haishangazi uchache wa upinzani ndo mana wanaweza ongea wote kwa siku na hata majina yao mmeyashika kichwani ni rahisi wao kuonekana sisi tuko zaidi ya mia2 hatuwezi ongea wote na hata majina yetu hamuwezi kuyashika kama ya hao kiduchu hii ndo logic hamna kitu pale upinzani ni stamp tu!
Ndoto za mtoto mdogo hizi akiwa amelala mchana!