Ukijaribu kuchanganya kamwe havichanganyikaniInjili na siasa kama mafuta na maji
Kazi anayoifanya Mwakasege ni kubwa kuliko ka-ubunge ka Arusha mjini. Mtumishi wa Mungu huyu anazunguka nchi nzima leo mje kumfunga hapa Arusha kwa sababu ya ka- Ubunge hawezi kukubali wito wa kifisadi na kuacha wito mtakatifu. Mwakasege ni very smart wakimwaambia atawadharau sana na inawezekana asiwajibu. kwanza yeye siyo CCM!!!!
Laana na ikae juu yako na uzao wako wote hadi kizazi chako cha kumi. Maisha yako kuanzia sasa na yawe mafupi sana kama moto wa mshumaa. Mungu wetu kamwe hawezi kufananishwa na mtu yeyote Duniani. Popote upitapo majanga yaambatane nawe. Jina lako lifutwe hapa Duniani. AMINA
Injili na siasa kama mafuta na maji
Laana na ikae juu yako na uzao wako wote hadi kizazi chako cha kumi. Maisha yako kuanzia sasa na yawe mafupi sana kama moto wa mshumaa. Mungu wetu kamwe hawezi kufananishwa na mtu yeyote Duniani. Popote upitapo majanga yaambatane nawe. Jina lako lifutwe hapa Duniani. AMINA
mbona jamaa yupo usalama wa taifa?
uko sahihi komandoo,ila for belief'sake sikubaliani nawe puting Jesus into this
una maanisha huyo mzee hafanyi makosa yeyote kama binadamu? Sentensi yako hemu ifutilie mbali maana hakuna mtu anayeongozwa na mungu ni hekima zake na kujua uwepo wa mungu na kujizuia na madhambi kadri atakavyo weza, ila m/mungu ametupa akili kuyajua mema na mabaya na ametupa free will ya kuamua kufanya au kutofanya. So ukiona mtu anafanya mema wewe hufanyi usijitetee kusema eti yeye anaongozwa na m/mungu na mimi siongozwi thats why nafanya maovu. Message 2 all of us.