Wakuu naleta huu uzi baada ya kupata taarifa za Kiintelijensia kutoka ndani ya kambi ya Chama Cha Mapinduzi kua baada ya jaji yule aliyesoma hukumu batili iliyovuja kutokea makao makuu kua lazima wamvue ubunge muheshimiwa G/Lema na baada ya hapo wakati taarifa zikiwa hewani kua Lema hatakata rufaa na atasimama tena kugombea ubunge ili jimbo la Arusha mjini lirudi kwa kambi ya upinzani, basi nao CCM wakawa busy kumshawishi yule muhubiri Christopher Mwakasege wakiamini kua ni mchumi na anaushawishi mkubwa wa kuwashawishi wakazi wa jimbo la Arusha mjini. Pamoja na hayo CCM pia walikua wamerizika kwa shingo upande kwa hukumu hiyo ya muheshimiwa Lema kwakua wanajua kabisa kutakua na kibarua kigumu kulichukua jimbo hili na pia wanaamini jaji huyu alikurupuka Kutoa hukumu hiyo bila kujua ni nini kitafuata baadae. Nawasilisha.
Souce: Habari kuvuja kutoka kambi ya CCM!
Nimepata habari za ndani kuwa CCM inamshawishi Mwalimu Christopher Mwakasege achukue fomu kogombea ubunge Arusha mjini kupitia CCM.
Kama habari hizi ni kweli heshima aliyojijengea mtumishi huyu kwa miaka kadhaa itayeyuka kama barafu kwenye jua.
that is blasphemy, unawezaje kulichezea jina la bwana kiasi hicho? i think u deserve to be BANNED
Mtumishi wa Mungu hawezi Fanya kama hivi wewe umejitungia kwan yeye anasimamia Neno la Mungu
Kabla ya kupost huwa mnasoma hii thread ni ya lini?Atajuta kuzaliwa, atajua kuwa mambo ya mazabahuni ni ya mazabahuni na ya kwenye sanduku la kura ni ya sanduku la kura! Arusha ushindi kwa CCM labda ubabe, kwa kura hawatoboi!
Mkuu huyo mama aliachana na siasa baada ya kugundua kuwa huwezi ukawa mtumishi wa Mungu kutoka moyoni ukawa mwanasiasa,huyu mama aliniambia dhamira ilimsuta sana kipindi cha Bunge la katiba hasa matusi ya nguoni waliokuwa wana tu kana akina Asha Bakari,kama vile Jusa hanith,Mzee warioba atuachie nchi yeye umri umeenda,Mbona mama Lwakatare yuko kote
kwani vipi..lema ndio mumekata tamaa sasa. huyu anapenda ujelajela kisongo.hata mumlete reignhard bonke lazima chadema ishinde!
aah mamdenyi upo.Ajaribu aone.