rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Power sharing agreements imekuwa ndio mtindo mpya hasa kwa nchi za Africa ili kuweza kuondoa uwezekano wa Civil war,tumeona miaka ya karibuni nchi za Kenya na Zimbabwe zikiingizwa kwa nguvu na mataifa makubwa yenye nguvu ili kuzuia umwagaji mkubwa wa damu utakaoweza kusababishwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe.pamoja na madhara makubwa ya power sharing kutokea katika utendaji wa kazi za serikali lakini imekuwa ndio suluhisho hasa la nchi zetu za kiafrica kwani serikali inajikuta inaendeshwa na makundi mawili tofauti yanayotofautiana kiitikadi na kimtazamo,
Tanzania wakati wetu umefika,tupende tusipende power sharing inabisha hodi na kwa taarifa ni kwamba 2015 tutaanza rasmi process nzima ya power sharing,
hii inatokana na chama cha mapinduzi kutokujiandaa au kutokukubali kuachia madaraka kwa sababu moja tu,waliamini wao watatawala milele
mtazamo wetu je watanzania wanaosifika kwa upole na kuridhika reaction yao itakuwaje siku ile,je mataifa makubwa yataacha kwanza damu imwagike ili tuweze kuamka usingizini au wataingilia kati kabla damu haijamwagika??
je ni vema mtoto wako aliyezubaa kumwacha afundishwe na ulimwengu kwa kuwa wewe mzazi umeshindwa??
WATANZANIA WAJIANDAE NA POWER SHARING 2015 KWANI HAIEPUKIKI!
Tanzania wakati wetu umefika,tupende tusipende power sharing inabisha hodi na kwa taarifa ni kwamba 2015 tutaanza rasmi process nzima ya power sharing,
hii inatokana na chama cha mapinduzi kutokujiandaa au kutokukubali kuachia madaraka kwa sababu moja tu,waliamini wao watatawala milele
mtazamo wetu je watanzania wanaosifika kwa upole na kuridhika reaction yao itakuwaje siku ile,je mataifa makubwa yataacha kwanza damu imwagike ili tuweze kuamka usingizini au wataingilia kati kabla damu haijamwagika??
je ni vema mtoto wako aliyezubaa kumwacha afundishwe na ulimwengu kwa kuwa wewe mzazi umeshindwa??
WATANZANIA WAJIANDAE NA POWER SHARING 2015 KWANI HAIEPUKIKI!