mabadilikosasa
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 379
- 85
Wana JF
Kitendo cha CCM kuwapinga viongozi wa dini ambayo wamepinga dhambi iliyofanywa na CCM katika mchakato wa kupata meya wa Arusha na mauaji ya makusidi ya Arusha ni kuingliza kazi yao. Viongozi wa dini waliona haki ikitendeka ktk uchanguzi huu amani itakuwepo kwa wote ndo maana hawakuunga chama chochote mkono bali wakashauri uchaguzi urudiwe ili haki itendeke. Kitendo cha CCM kupinga kauli takatifu ya maaskofu ambayo ni ya kutenda haki kwa pande zote husika ni LAANA KWAO. CCM itapata laana kubwa na itasambaratika. Kitakacho saidia CCM sii udikta na wizi bala kusimamia na kutenda haki vinginevyo vilio, manunguniko, sala za maaskofu, taabu, mauaji ya raia, na wizi wa mali za raia, ni laana kubwa kwa uongozi wote wa CCM. wanaweza kufa mmoja baada ya mwingine au kupata misusukosuko, na taabu saana. Viongzoi wa dini ya kikristo hawakurupuki wanaongozwa na MUNGU. Kati ya mambo ambayo Mungu anasimamia kwa dhati ni HAKI. HAKI ni HAKI hata kama sheria ikiamua vinginevyo.Maana sheria wakati mwingine haitendi haki. After all mahakama pia ni sehemu ya ccm.
Kitendo cha CCM kuwapinga viongozi wa dini ambayo wamepinga dhambi iliyofanywa na CCM katika mchakato wa kupata meya wa Arusha na mauaji ya makusidi ya Arusha ni kuingliza kazi yao. Viongozi wa dini waliona haki ikitendeka ktk uchanguzi huu amani itakuwepo kwa wote ndo maana hawakuunga chama chochote mkono bali wakashauri uchaguzi urudiwe ili haki itendeke. Kitendo cha CCM kupinga kauli takatifu ya maaskofu ambayo ni ya kutenda haki kwa pande zote husika ni LAANA KWAO. CCM itapata laana kubwa na itasambaratika. Kitakacho saidia CCM sii udikta na wizi bala kusimamia na kutenda haki vinginevyo vilio, manunguniko, sala za maaskofu, taabu, mauaji ya raia, na wizi wa mali za raia, ni laana kubwa kwa uongozi wote wa CCM. wanaweza kufa mmoja baada ya mwingine au kupata misusukosuko, na taabu saana. Viongzoi wa dini ya kikristo hawakurupuki wanaongozwa na MUNGU. Kati ya mambo ambayo Mungu anasimamia kwa dhati ni HAKI. HAKI ni HAKI hata kama sheria ikiamua vinginevyo.Maana sheria wakati mwingine haitendi haki. After all mahakama pia ni sehemu ya ccm.