Elections 2010 CCM inaamini watapoteza viti 28 tu Bara - vinazidi ina maana gani?

mbuni ya Kuchakachua ya CCM mwaka huu ni kutuchosha halafu tukate tamaa na kuachia ili watuibie kura zetu. Huyu Alshaaf Kinana anaendeleza mbinu hizo hizo ili kutuonyesha kuwa majimbo ya kushindaniwa yamekamilika wakati bado majimbo yetu ya ushindi hayajatangazwa. kwa taarifa yake ni kwamba tunaendelea kukomaa na jimbo la Segerea,Njombe, karagwe nk.
 


Akionesha kana kwamba anaheshimu Tume ya Uchaguzi lakini si kweli, Kinana ameamua kutangaza final tally ya kura za UBunge na kuonesha kuwa kwenye tathmini yao wao walikuwa wanatarajia wapinzani watashinda majimbo 28 bara lakini sasa wameshinda majimbo 29. Sielewi kwanini amefanya hivyo wakati hata nusu ya majimbo yote kura hazijatangazwa?

Kama CCM wanaamini wanaweza kutoa matangazo yao ya kuhitimisha kura za Ubunge, Chadema nao waanze kutoa matokeo ya Urais kwa kutangaza maeneo ambayo wanajua kuwa wamefanya vizuri.


Huyu jamaa anakera sana, ni kati ya mimtu isiyo na mishipa ya aibu! na kwa bahati mbaya anafikiri he is smart, wakati ni mbumbumbu tu!
Hawa wanayo matokeo yote na wameamua wayachakachue tu, na psychologically, they have prepared poor tzans kuamini kuwa ccm ndio wanashinda! Shame upon them, na siku moja yatawatokea puani!:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
 
Last edited by a moderator:
Mhh sijui sheria inasemaje juu ya hiki alichokitenda Kinana. Kama sikosei si majimbo yote yameshatangazwa na tume, unless kama tume imeshawapa CCM matokeo kabla ya kuyatangaza. Hii ni njia ya kubariki wizi wa kura na vurugu ili ku-justify anachokisema. NEC wanatakiwa kukemea hali hii kama ambavyo huko nyuma wamekuwa wakiwakemea vyama vya upinzani
 
Hapa kuna moshi unaofuka, cha msingi na CHADEMA ( Naregu) aje alete projections za Uraisi na ubunge halafu tuone!!:A S angry:
 
Mzee MKJJ...
Naona umetia chumvi kibao, hayo sio matokeo rasmi kama unavyodai. Mh. Kinana ametoa tathimi ya ushindi wa viti vya ubunge na sio matokeo ya kura! Jaribu kumsikiliza tena na utamfahamu.
 
Mzee MKJJ...
Naona umetia chumvi kibao, hayo sio matokeo rasmi kama unavyodai. Mh. Kinana ametoa tathimi ya ushindi wa viti vya ubunge na sio matokeo ya kura! Jaribu kumsikiliza tena na utamfahamu.

Kibunango.. wewe ni mjuzi mzuri wa lugha ya Kiswahili.. sidhani kama Kinana ameuma maneno. Labda nikusaidie:

Anaanza: "Kwa tathmini yetu sisi ni kwamba tumepata ushindi mzuri" "Mpaka hivi sasa tumepoteza viti 29 Tanzania Bara na viti 22 Tanzania Visiwani, Jumla ni viti 51" Hatumii neno "huenda, inaonekana, kuna uwezekano, n.k.

"Tumeridhika na matokeo ya uchaguzi wa majimbo yote 239 kama yalivyoamriwa na Watanzania wapiga kura" - Hata majimbo 50 hayajatangazwa rasmi wao wanaridhika vipi?

"Ushindi wetu mpaka sasa kwa asilimia ni asilimia 78.24 ya wabunge" "Tuna wingi mkubwa wa kutosha, wapinzani wamechukua asilimia 21.75"

Sasa sijui kama kuna utata wa nini anachosema.
 
You are right, nikiisoma tena post imekaa vibaya. No offense. But there is too much complaining in JF. Sasa a party strategist kaenda kwenye media ku-project the party's expectations. Watu wanalalamika, as if wao wamekatazwa. Its things like that.

Na wewe nae unamlinganisha JK na Bashir na Mugabe. That is over the top babu, do you really know what Bashir has done to South Sudanese? South Sudanese wamelosti for 23 years because of Bashir, halafu unamlinganisha JK na Bashir. Ushabiki gani sasa huu?
Yeah, hicho ndo' kitu huwa kinanikera hapa JF. Watu kazi yao ni kulalamika tu. Badala ya kukaa chini na kubuni mbinu mpya za kutuwezesha kushinda mwaka 2015, tunabakia kutukana ovyo kama hatuna akili nzuri. Aibu sana!
 
Tafadhali sana uongozi wa Chadema, vyama vya upinzani (upinzani wa kweli) na wanaharakati wote nchini toeni tamko la kulaani na maelezo yaliyotolewa na kinana. hiki chama imefika mahali kinafanya mambo bila kujali kabisa sheria na taratibu. hii ni dharau kubwa kwa watanzania.
 
Selemani acha hizo kaka, piga simu nyumbani. Baba anapumulia mashine...
 
Kibunango.. wewe ni mjuzi mzuri wa lugha ya Kiswahili.. sidhani kama Kinana ameuma maneno. Labda nikusaidie:

Anaanza: "Kwa tathmini yetu sisi ni kwamba tumepata ushindi mzuri" "Mpaka hivi sasa tumepoteza viti 29 Tanzania Bara na viti 22 Tanzania Visiwani, Jumla ni viti 51" Hatumii neno "huenda, inaonekana, kuna uwezekano, n.k.

"Tumeridhika na matokeo ya uchaguzi wa majimbo yote 239 kama yalivyoamriwa na Watanzania wapiga kura" - Hata majimbo 50 hayajatangazwa rasmi wao wanaridhika vipi?

"Ushindi wetu mpaka sasa kwa asilimia ni asilimia 78.24 ya wabunge" "Tuna wingi mkubwa wa kutosha, wapinzani wamechukua asilimia 21.75"

Sasa sijui kama kuna utata wa nini anachosema.

Cuz hata mageuzi wakishinda majimbo yote 50 ambayo bado hayajatangazwa rasmi (kitu ambacho hakiwezekani kwasasa), ccm bado watakuwa wameongoza kwa kuwa na asilimia kubwa/idadi kubwa ya wabunge. I think that's the point huyu Kinana guy anajaribu ku-make. Binafsi, sioni kama kuna ubaya katika hilo. Kama ma-strategists wa Mageuzi wamezubaa/hawajui ku-work media, that's their problem.
 
Mwekeni Beregu TBC nae atangaze. Its a free country. I believe Kinana is projecting their internal polling and projections. Usilalamike kwenye message board, hamjakatazwa kwenda AGAPE FM or whatever else you got going on kutangaza matokeo yenu.


nyie wadini tuowazungumzia kila siku. Hamtakiwi kamwe ndani ya nchi yetu.
 
Mwekeni Beregu TBC nae atangaze. Its a free country. I believe Kinana is projecting their internal polling and projections. Usilalamike kwenye message board, hamjakatazwa kwenda AGAPE FM or whatever else you got going on kutangaza matokeo yenu.
Ahaaaa!!! Mkuu, mkuu baba!! au mimi ndio sijakupatapata vizuri apo!:thinking: huwa nasikiasikia tu:peace:
 
source mwananchi

"Matokeo ya uchaguzi mkuu yanavyozidi kutangazwa imefahamika kuwa Chama tawala CCM kimepoteza m ajimbo 51 nchini kote.Meneja wa kampeni za CCM, Abdulrahman Kinana amekiri mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuwa CCM imemepoteza majimbo has 29 Tanzania Bara na majimbo 22 Visiwani Zanzibar.

Kinana amekiri kuwa athari ya kuanguka kwa CCM inatokana na migogoro ya kura za maoni .

Hata hivyo amesema CCM inatarajia kupata kura za rais kwa kiwango cha asilimia 78.4. Endelea kupata habari zaidi."

Kama ni hivyo si wayatangaze hayo matokeo tuanze kazi zingine.
 
nyie wadini tuowazungumzia kila siku. Hamtakiwi kamwe ndani ya nchi yetu.
:nono: au sijakuelewa vema apo? unachosema ndicho unachomaanisha au umemaanisha usichosema!!! Nilidhani unasemea wa-sisiemu apo! nilidhani kile ambacho sikudhani awali Ahsante kwa majibu NIMEKUELEWENI apo:tape:
 


Akionesha kana kwamba anaheshimu Tume ya Uchaguzi lakini si kweli, Kinana ameamua kutangaza final tally ya kura za UBunge na kuonesha kuwa kwenye tathmini yao wao walikuwa wanatarajia wapinzani watashinda majimbo 28 bara lakini sasa wameshinda majimbo 29. Sielewi kwanini amefanya hivyo wakati hata nusu ya majimbo yote kura hazijatangazwa?

Kama CCM wanaamini wanaweza kutoa matangazo yao ya kuhitimisha kura za Ubunge, Chadema nao waanze kutoa matokeo ya Urais kwa kutangaza maeneo ambayo wanajua kuwa wamefanya vizuri.


Toa pumba zako hapo kinanaaaaaaaaa, shame upon you.
 
Last edited by a moderator:
Inaweza kuwa na sura mbili;

1. Hali ya kawaida (Kinana) akiamini kuwa hata majimbo 50 yaliyobakia yakichukuliwa na upinzanibado kwao haitakuwa mbaya kwa maana bado watabaki na majimbo ya kutosha.
(Hii ni kauli ya kweli kutokana na uhakika wa majibu wala siyo kutoka Tume, kutoka katika Database yao ya matokeo, ambayo hata Chadema wanayo wakiifanyia kazi wanaweza kujua kama bado wanaweza kubeba viti vingine ama walivyochukua vimeisha).

2. Anaanza mchezo wa Sheikh Yahaya, hasa kipindi hiki cha kuelekea matokeo ya Urais. Anaanzisha majadala wa Ubunge wakati wao wanajipanga kwenye Matokeo ya Urais, mkiingia kwenye ngoma yake basi.
 
Hii inaonyesha jinsi gani political life ya Tanzania inavyotengenezwa nje ya political playing field. Vinginevyo angekuwa muungwana tu kwa kukaa kimya.
 
Back
Top Bottom