Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
Yafuatayo ni machache kati ya mengi ambayo CCM na serikali yake iliahidi 2005 kwa wananchi na imetimiza.
AHADI: KUENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
Ujenzi wa miradi 15 ya barabara kwa kiwango cha lami yenye jumla ya urefu wa
Km. 1,398.6 imekamilishwa katika kipindi cha 2005 - 2010 huku ujenzi ambao
unaendelea ukiwa ni wa miradi 29 ya barabara zenye jumla ya Km. 2,536.4
AHADI: KUONGEZA BAJETI YA KILIMO NA KUKUZA SEKTA YA VIWANDA
Bajeti ya sekta ya kilimo imeongezeka kutoka asilimia 4.5 mwaka 2005
hadi asilimia 7.9 mwaka 2010 huku ukuaji wa sekta ya viwanda ukiongezeka kutoka asilimia 8.4 mwaka 2005 hadi asilimia 9.9 mwaka 2008.
Idadi ya wakulima wanaopata mbolea ya ruzuku imeongezeka kutoka wakulima 750,000 mwaka 2005/2006 hadi 2,076,710 mwaka 2009/2010 huku bajeti ya ruzuku ya pembejeo ikiongezeka kutoka bilioni 7.5 hadi bilioni 101.4 katika kipindi hicho cha miaka mitano.
Idadi ya wataalamu wa ugani walioajiriwa katika halmashauri imeongezeka kutoka wataalamu 3,379 mwaka 2007/2008 hadi 4,439 mwaka 2009/2010.
AHADI: KUKUZA NA KUBORESHA SEKTA YA ELIMU
Wanafunzi wanaojiunga na vyuo vikuu vilivyopo nchini Tanzania waliongezeka kutoka 55,296 mwaka 2005/2006 hadi 118,000mwaka 2009/2010.
Idadi ya vyuo vikuu imeongezeka kutoka vyuo vikuu 23 mwaka 2005 hadi kufikia vyuo 31 mwaka 2010.
Kuweza kujenga chuo kikuu cha Dodoma chenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 40,000 kwa mwaka na kwa sasa kina wanafunzi 17,282
Wanafunzi wanaomaliza elimu ya msingi na kuendelea na elimu ya sekondari wameongezeka kutoka 493,636 hadi 999,070 huku idadi ya wanafunzi wanaogharamiwa na serikali toka familia zenye kipato duni ikiongezeka toka 16,345 hadi 58,843. Ongezeko hili ni kati ya mwaka 2005 hadi mwaka 2009.
Uandikishaji katika elimu ya awali umeongezeka kutoka wanafunzi 638,591 hadi wanafunzi 889,363.
AHADI: KUKUZA NA KUBORESHA SEKTA YA AFYA
Kutoka mwaka 2005 hadi 2009,jumla ya zahanati 464,vituo vya afya 98 na nyumba za waganga 394 zilijengwa. Zahanati 1,037 vituo vya afya 285 na hospitali 112 zimekarabatiwa.
Vifo vya watoto wachanga vimepungua hadi kufikia 58 kwa kila watoto 1,000 wanaozaliwa hai mwaka 2009/2010.
AHADI: KUKUZA NA KUBORESHA SEKTA ZA MAJI
Huduma ya maji safi na salama kwa wakazi wa vijijini hapa nchini imeongezeka kutoka asilimia 58.7 mwaka 2005 hadi asilimia 60.1 mwaka 2009.
Fedha katika Mifuko ya maji zimeongezeka kutoka Sh bilioni 1.4 mwaka 2005 /2006 hadi bilioni 1.8 mwaka 2009/2010.
AHADI: KUBORESHA MASUALA YA KIJINSIA
Nafasi za wanawake katika ngazi ya maamuzi zimeongezeka kutoka asilimia 26 mwaka 2005 hadi 31 mwaka 2010.
Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko! CCM inapanda mbegu ya maendeleo, amani na utulivu.
PUNDAMILIA JF NI BODI YA GREAT THINKERS NA SIO WATU WA BLAH BLAH TUU,
NI AIBU KWA VIONGOZI WA CCM KUJISIFA KWA UANDIKISHAJI WA WATOTO WASHULENI NA KATIKA VYUO ILIHALI ELIMU INYOTOLEWA HUKO SI YA KURIDHISHA HATA KIDOGO.
KILA MTANZANIA ANAKUMBUKA KUWA SERIKALI YA CCM ILITUMIA RASLIMALI NYINGI KUTAYARISHA MPANGO YA KUPUNGUZA NA KUONDOA UMASKINI TANZANIA UJULIKANAO KAMA MKUKUTA NA BAADYE MALENGO NA SHABAHA ZAKE VIKAINGIZWA KATIKA ILANI YA CCM YA 2005 HADI 2010.
HIVYO TUNAPOTAKA KUPIMA UTEKELEZAJI WA SERIKALI YA CCM, TUNAFANYA HIVYO KWA KULINGANISHA RASLIMALI ZILZOKUWA CHINI YA USIMAMIZI WA SERIKALI YA CCM NA KIWANGO CHA MAFANIKIO KILICHOPATIKANA KATIKA MALENGO AMBAYO SERIKALI HIYO ILKUWA IMEJIWEKEA YENYEWE.
UTAKUBALIANA NA MIMI KUWA UJENZI WA MADARASA ULIFANIKISHWA KWA KIWANGO KIKUBWA NA RASLI MALI ZILIZOCHANGWA NA KUSIMAMIWA NA WANANCHI WENYEWE KUJENGA MADARASA YA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI ZA KATA. HATA HIVYO ULIKUWEPO UFISADI MWINGI KUTOKA KWA WENYEVITI NA WATENDAJI WA MITAA, VIJIJI NA KATA IKIASHIRIA MAPUNGUFU MAKUBWA YA SERIKALI YA CCM KATIKA NYANJA YA USIMAMIZI WA RASLI MALI ZA TAIFA
Table 1 Summary of broad clusters, broad outcomes and goals of the National Strategy for Growth and Reduction
of Poverty
The operational targets (see Table 2) established in the NSGRP address early childhood development,
increased enrolment, and opportunities for children with disabilities, improved learning environment
and access to and quality of education, adult education, and improvement and expansion of vocational
and higher education.
A. Early Childhood
o Increase in the number of young children prepared for school and life
B. Primary Enrolment
o Increased gross and net enrolment of boys and girls, including children with disabilities in primary schools from
90.5% in 2004 to 99% in 2010
o Increased proportion of orphans and other vulnerable children enrolled, attending and completing primary
education from 2% in 2000 to 30% in 2010
C. Secondary Enrolment
o Increased percentage of girls and boys with disabilities and OVCs who qualify for secondary education enrol and
complete secondary schools by 2010
o At least 50% of boys and girls aged 14 -17 years are enrolled in ordinary level secondary schools by 2010
o At least 60% of girls and boys pass Standard VI I examinations by 2010
o At least 25% of boys and girls are enrolled in advance level secondary schools by 2010
D. Primary Achievement & Quality
o Achieving an average daily attendance in primary schools of at least 85%
o At least 95% of cohort complete standard IV
o At least 90% of cohort completes standard VII.
E. Secondary Achievement & Quality
o At least 70% of girls and boys pass at Division I -III in Form IV examinations.
o Improved learning environment for all children in all schools, with all education institutions safe, violence free,
child friendly and gender sensitive
o Access to and quality of education in GoT and Non -Government schools regulated.
o 90% of primary and secondary schools have adequate, competent and skilled teachers by 2010.
o Primary and secondary education is of a high quality and promotes the acquisition of critical knowledge, real
skills and progressive values.
F. Higher & Technical Education
o Increased enrolment in higher and technical education in Universities and in Technical Colleges to 30,000 full
time students, 10,000 part time, and 15,000 distance learners by 2008.
o Improved knowledge on entrepreneurship skills amongst youth
5
G. HIV/AIDS
o Effective HIV and AIDS education and life skills programmes offered in all primary, secondary schools and
teachers colleges.
H. Adult & Non-Formal Education, & Culture
o At least 80% of adults, especially women in rural areas, are literate.
o Reduced number of illiterate adults from 3.8 million (2004/05) to 1.5 million (2007/08).
o Reduced numbers of young people involved in COBET from 234,000 in 2004/5 to 70,566 in 2007/08
o Expanded and improved public participation in cultural activities.
o Increased numbers of students/youth who are service orientated.
BADALA YA VIONGOZI NA WAPIGA DEBE WA CCM KUJISIFIA MAFANIKIO YALIYOPATIOKANA KUTOKANA NA WANANCHI KUFANIKIWA KUSIMAMIA RASLI MALI ZAO WENYEWE. CCM INATAKIWA KUTUELEZA KUWA IMEFANYA NINI NA RASLIMALI ZILIZOLKUWA CHINI YAKE IKIWEMO KODI ZINAZOKUSANYWA, FEDHA ZITOKANAZO NA MADINI, MBUGA ZA WANYAMA, VIVUTIO VYA UTALII, MISAADA, MAUZO YA NJE N.K IKILINGANISHWA NA MALENGO YALIYOKO KATIKA MKUKUTA NA SI VINGINEVYO
KAMA TUNAVYOONA HAPO JUU, KATIKA MALENGO YA MKUKUTA NA ILANI YA CCM YA 2005, SERIKALI YA CCM ILIAHIDI KUWA KUFIKIA 2010, 70% YA WASICHANA NA WAVULANA WA SEKONDARI WANAFAULU MITIHANI KWA KIWANGO CHA DIVISHENI I HADI III- MATOKEO YAKE ILI KUFICHA AIBU YA UKOSEFU WA WAALIMU NA VIFAA VYA KUFUNDISHIA- BILA AIBU WALA SONI VIONGOZI WA SERIKALI YA CCM WAKAFUTA MITIHANI YA MAJARIBIO YA KIDATO CHA PILI; KWA NIA YA 0KUFICHA UDHAIFU WA SEKONDARI ZA KATA IKILINGANISHWA NA SHULE BINAFSI. JE KUFUTA MITIHANI YA MAJARIBIO NDIO KUTOA ELIMU BORA?
HIVI HUKO VIONGOZI WA CCM WANAPOPELEKA WATOTO WAO KUSOMA KATIKA SHULE ZA MSINGI, SEKONDARI ZA BINAFSI, VYUO NA KATIKA NCHI ZA KENYA, UGANDA, AFRIKA KUSINI, MALAYSIA, INDIA N.K HAKUNA MITIHANI YA MAJARIBIO?
KAMA MITIHANI YA MAJARIBIO IPO, NI KWANINI SERIKALI YA CCM INAWACHEZEA WATOTO WA KITANZANIA? NDIO MAANA TUNATAKA IONDOKE MADARAKANI ILI KUWANUSURU WATOTO WA WAKULIMA NA WAFANYAKAZI WA TANAZANIA KIELIMU.
-ILIAHIDI KUFIKIA 2010, MAZINGIRA YA KUSOMEA KATIKA SEKONDARI ZOTE YATABORESHWA KIUSALAMA-NI WASICHANA WANGAPI WANAJAZWA MIMBA KUTOKANA NA SERIKALI KUSHINDWA KUWAWEKEA MABWENI NA KUWAPATIA MAHITAJI MUHIMU YA KIELIMU NA MAZINGIRA MAZURI YA KUSOMEA? NANI ANAPASWA KUBEBA LAWAMA KWA KUHARIBIKIWA MAISHA WATOTO WA KIKE?
-ILIAHIDI KUFIKIA 2010, UBORA WA ELIMU KATIKA SHULE ZA SERIKALI NA MASHIRIKA MENGINE UTASIMAMIWA VIZURI-JE HILO LINAFANYIKA KWA WANAFUZI 600 KUWEKEWA WAALIMU 3 TU?
-ILIAHIDI KUFIKIA 2010, 90% YA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI ZITAKUWA NA WAALIMU WENYE TAALAMU NA UJUZI WA KUTOSHA KUFUNDISHA-JE HILO LIMEFANYIKA.
ILIAHIDI KUWA ELIMU ITAKAYOITOLEWA KATI SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI ITAKUWA NI YA KIWANGO CHA JUU NA INAYOKUZA UFAHAMU WA KUWEZA KUJIENDELEZA- JE ELIMU INAYOTOLEWA KATIKA VODA FASTA IKO HIVYO.
KAMA SERIKALI YA CCM IMESHINDWA KUTIMIZA HATA 50% YA MALENGO YA MKUKUTA ILIYOJIPANGIA YENYEWE KUFIKIA 2010 KATIKA SEKTA HII MOJA, UNAFIKIRI KATIKA SEKTA ZINGINE HALI IKOJE?
NDIO MAANA VIONGOZI WA CCM WANAJIVUNIA UANDIKISHAJI WATOTO MASHULENI NA VYUONI TU KWA KUWA HUKO WANANCHI WENYEWE AU WAMILIKI WA SHULE NA VYUO WALISIMAMIA RASLI MALI ZILIZOHUSIKA KULETA MAFANBIKIO YA UJENZI WA MADARASA, SHULE NA VYUO
TUPENI MAJIBU YA RASLIMALI ZILIZOKUWA CHINI YA SERIKALI YA CCM KUPITIA KODI MBALI MBALI, MADINI, VITUTIO VYA UTALII, MAUZO YA NJE, MISAADA N.K SIO KULETA BLAH BLAH TUPU.
TUNATAKA CCM IONDOKE MADARAKANI ILI VIPAUMBELE VYA TAIFA HILI VIPANGWE UPYA KWA MUJIBU WA MAHITAJI YENYE TIJA.
UBORA WA ELIMU UTATOKA WAPI KATIKA HALI YA WALIMU KULIPWA MISHAHARA DUNI, HIVI SASA MWALIMU WA SEKONDARI ANALIPWA SHILINGI 250,000/= KWA MWEZI ILIHALI MBUNGE AMBAYE HANA TIJA YOYOTE KWA TAIFA HILI ANALIPWA MILIONI 7,5 KWA MWEZI.HII NI KWA MUJIBU WA TAKWIMU KUTOKA KWA SPIKA SAMUEL SITTA (MSHAHARA NA MARUPURUPU). KWA MANTIKI HII SERIKALI YA CCM INAMLIPA MBUNGE MMOJA MISHAHARA YA WAALIMU 30, SASA ELIMU BORA ITATOKA WAPI KATIKA MAZINGIRA YA AINA HII?.
ENDAPO MISHAHARA NA MARUPURUPU YA WABUNGE VITAPUNGUZWA KUFIKIA MILIONI 2,500,000/= (SAWA NA MISHAHARA YA WAALIMU 10) KIASI CHA SHILINGI MILIONI 5 x MIEZI 12 x WABUNGE 323=BILIONI 19,380,000,000 ZITAOKOLEWA KILA MWAKA.
IKIWA POSHO ZA VIKAO NAZO ZITAPUNGUZWA KWA 50%; KWA SIKU 90 KATIKA MWAKA,SHS 50,000 x 90 x 323 =BILIONI 1,453,500,000 ZITAWEZA KUOKOLEWA. UKIZIDISHA NA 19,380,000,000 ZA HAPO JUU UTAPATA NI BILIONI 20,833,500,000 ZITAWEZA KUOKOLEWA KWA MWAKA KUTOKA KWA WABUNGE WASIO NATIJA YOYOTE KWA TAIFA HILI, SANA SANA KUCHAPA USINGIZI BUNGENI .
KWA KUWA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA NAO PIA HAWANA MCHANGO WOWOTE KWA UCHUMI NA MMAENDELEO YA TANZANIA. WAKURUGENZI, MAMEYA NA MADIWANI WA HALMSHAURI ZA MIJI NA WILAYA WANATOSHA KABISA KUSIMAMIA MAENDELEO KATIKA MAENEO YAO KAMA ILIVYOTOKEA NCHINI KENYA BAADA YA KUPITISHWA KWA KATIBA MPYA.
NAFASI HIZO HUTUMIKA KAMA VYEO VYA HISANI KWA MAKADA WA CCM WASIOTAKA KUJITUMA KATIKA KILIMO AU UJASIRIMALI. IKIWA WAKUU WA MIKOA 26 NA WA WILYA 127 WATAONDOLEWA KIASI CHA FEDHA KITAKACHOKOLEWA NI TAKRIBANI MILIONI 5 (MISHAHARA NA MARUPURUPU KWA MWEZI) MILIONI 5 x MIEZI 12 x WILAYA 153= BILIONI 9,180,000,000/= KWA MWAKA.
FEDHA ZINAZOWEZA KUOKOLEWA KATIKA VYANZO HIVI VIWILI NI BILIONI 30,013,500,000/= ZINATOSHA KUWALIPA MISHAHARA WAALIMU 120,054 WAPYA ILI KUBORESHA ELIMU HAPA NCHINI.
KIASI HICHO PIA NI 12% YA SHILINGI BILIONI 260 JAKAYA KIKWETE ANAZOAHIDI KATIKA KAMPENNI HIZI ZA 2010 KUZIPATA KUTOKA KWA WAMAREKANI KWA AJILI YA KUJENGA NYUMBA ZA WAALIMU KATIKA SHULE ZETU KANA KWAMBA WATANZANIA HATUNA VYANZO VYETU VYA NDANI?.