Mtotowamwisho
New Member
- Aug 19, 2010
- 3
- 0
Issue ya bashe na uraia wa Somalia iliyoibuka kutokana na mizengwe ya kamati kuu ya CCM, imenisukuma niandike hii hoja ili tuijadili kwa kina
Mara kadhaa makamba amekuwa akitetea hoja kuwa yeye si raia licha ya kutoa documents za kusapoti uraia wake
Kinachonishangaza ni kwanini makamba aukane uraia wa bashe, ili hali yeye si mwenye dhamana ya kuthibitishga uraia wa mtu kwenye hii nchi, anaenda mbali kwa kumtetea yule chaguo lao kuwa ni Mtanzania licha ya organ za serikali kufanyia kazi suala hilo, kwa madai yeye ni raia wa Rwanda.
Hivi makamba anafahamu kuwa Tanzania sio CCM? kwanini asivae busara za kusubiri wenye dhamana kututhibitishia hilo
sijui wewe mwenzangu una mtazamo gani juu ya hoja za CCM, makamba na uporaji wa kazi za serikali
Mara kadhaa makamba amekuwa akitetea hoja kuwa yeye si raia licha ya kutoa documents za kusapoti uraia wake
Kinachonishangaza ni kwanini makamba aukane uraia wa bashe, ili hali yeye si mwenye dhamana ya kuthibitishga uraia wa mtu kwenye hii nchi, anaenda mbali kwa kumtetea yule chaguo lao kuwa ni Mtanzania licha ya organ za serikali kufanyia kazi suala hilo, kwa madai yeye ni raia wa Rwanda.
Hivi makamba anafahamu kuwa Tanzania sio CCM? kwanini asivae busara za kusubiri wenye dhamana kututhibitishia hilo
sijui wewe mwenzangu una mtazamo gani juu ya hoja za CCM, makamba na uporaji wa kazi za serikali