Mtotowamwisho
New Member
- Aug 19, 2010
- 3
- 0
Issue ya bashe na uraia wa Somalia iliyoubuka kutokana na mizengwe ya kamati kuu ya CCM, imenisukuma niandike hii hoja ili tuijadili kwa kina
Mara kadhaa makamba amekuwaakitetea hoja kuwa yeye si raia licha ya kutoa documents za kusapoti uraia wake
Kinachonishangaza ni kwanini makamba aukane uraia wa bashe, ili hali yeye si mwenye dhamana ya kuthibitishga uraia wa mtu kwenye hii nchi, anaenda mmbali kwa kumtetea yule chaguo lao kuwa ni Mtanzania licha ya ordan za serikali kufanyia kazi sula hilo.
sijui wewe mwenzangu una mtazamo gani juu ya hoja za CCM, makamba na uporaji wa kazi za serikali
Mara kadhaa makamba amekuwaakitetea hoja kuwa yeye si raia licha ya kutoa documents za kusapoti uraia wake
Kinachonishangaza ni kwanini makamba aukane uraia wa bashe, ili hali yeye si mwenye dhamana ya kuthibitishga uraia wa mtu kwenye hii nchi, anaenda mmbali kwa kumtetea yule chaguo lao kuwa ni Mtanzania licha ya ordan za serikali kufanyia kazi sula hilo.
sijui wewe mwenzangu una mtazamo gani juu ya hoja za CCM, makamba na uporaji wa kazi za serikali