Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,738
- 14,636
Hivi Lema anajua nini kuhusu nchi hii zaidi ya kujua mipango ya w**i wa magari. Si mwanasiasa huyu ni mlopokaji tu na mtaalamu wa unyang'anyi.
.watu wa arusha kwa sasa wanalalamika hali ngumu ya maisha kutokana na migogoro inayosababaishwa na LEMA.wanajutia kura zao za mwaka 2010 kwamba hawatarudia makosa na wanamuomba mungu awasamehe.wanasema ili kuthibisha hilo wataanza na uchaguzi wa kata nne za madiwani waliofukuzwa.
hivi lema anajua nini kuhusu nchi hii zaidi ya kujua mipango ya w**i wa magari. Si mwanasiasa huyu ni mlopokaji tu na mtaalamu wa unyang'anyi.
Ni mwendawazimu tu ndiyo anaweza kusema hilo kwanza jiulize kama watu wa Arusha wana lalamika maisha magumu ni mkoa gani hawalalamiki je maisha Dar ni bora kuliko Arusha juzi ni kuwa huko nilishangaa nyanya moja eti 300 wakati arusha 100, Nyama 7500 wakati Arusha 5500 mboga za majani ambalo ndiko kimbilio la wengi haishikiki mboga fungu 500 wakati huku Arusha tunanunua kwa 100 watu wa dar wamechagua maharage ndiyo mboga kuu si kwasabau wana penda ni maisha magumu..utue huo mzingo wa upumbavu....ilikuthibitisha kuwa chadema inaungwa mkono kwa maamzi yake ya kuwafukuza wale madiwani mpka leo hii kawajulikani hata walipo baada ya kugundulika wachukua mlungula kutoka kwa magamba...wanaishi kama popo kwa dhambi ya kuwasariti wana-Arushawatu wa arusha kwa sasa wanalalamika hali ngumu ya maisha kutokana na migogoro inayosababaishwa na LEMA.wanajutia kura zao za mwaka 2010 kwamba hawatarudia makosa na wanamuomba mungu awasamehe.wanasema ili kuthibisha hilo wataanza na uchaguzi wa kata nne za madiwani waliofukuzwa.
hii ni sababu nyingine ya kuiondoa serikali hii legelege imeshindwa kuthibitisha uwizi Godbless lema na kwanini hawamkamati....Hivi Lema anajua nini kuhusu nchi hii zaidi ya kujua mipango ya w**i wa magari. Si mwanasiasa huyu ni mlopokaji tu na mtaalamu wa unyang'anyi.
Hebu weka wazi imemshindaje kwanza uko Arusha au ni story tu karibu Arusha kwa makamnda wa ukweli pimbi wewe.......Lema arusha imemshinda,ya dar atayaweza?aache siasa za majitaka.
We chizi kweli! unaijua Arusha< a.k.a A Town. Huku tuko A.watu wa arusha kwa sasa wanalalamika hali ngumu ya maisha kutokana na migogoro inayosababaishwa na LEMA.wanajutia kura zao za mwaka 2010 kwamba hawatarudia makosa na wanamuomba mungu awasamehe.wanasema ili kuthibisha hilo wataanza na uchaguzi wa kata nne za madiwani waliofukuzwa.
nilitaka kukujibu kwa ukali lakini nimegundua wala hauko Arusha na wala wewe si mfatiliaji wa mambo ya siasa pamoja na kwamba umejiita mpiga kura wake inaelekea hujui alichokifanya mbuge wako.....kama ni tamko la hizo posha alisha toa na liliwekwa hapa jamvini kuhusiana na hoja nikuulize je unataarifa kuwa General tyre inaanza ku-operate karibuni maana ilitakiwa kuanza tangu Jan 17 basi ujue ni juhudi za mbunge wako kama unavyo taka kusomeka.....Lema! Lema! Lema kabla sijacomment nikushauri uanze kuchukua masomo ya jioni' mi nadhani pamoja na kuwa mpiga kura wako ila wewe ni tatizo aisee lakini labda kwa kuwa umeona Serikali imekuwa kero, kuna wenzio wanaanda hoja zao binafsi kuhusiana na mambo mbali mbali ili kuziwakilisha katika kikao kinachoanza kesho mi nadhani nawe pia ufanye hivyo kuliko hayo makelele we chukua jukumu la kutulia invoke Ibara za Katiba peleka hoja Bungeni jitahidi kuconvc wenzio ili President awe Impeached ila kwa lugha yako eti "mpaka kieleweke" bado sana nchi hii. Unakumbuka pale NMC uwanjani mlijidahi mpaka kieleweke mwishowe unajua kilichiendelea.......
Na jitahidi na wewe kusema chochote kuhusu posho za wabunge manake hapo ndipo mtu kama Zitto anapokuudhi sana embu sema lolote katika hotuba zako bana! Haya mengine ya humu mkoani tutajitahidi tu kugangamala mpaka 2015!
Ile kauli yao ya CDM ni chama cha msimu wameacha..sasa hivi wamegeuka na wanasema "Jamani baada ya uchaguzi,siasa tunaweka chini tunatekeleza ilani iliyochaguliwa" magamba wameshikwa pabaya...
watu wa arusha kwa sasa wanalalamika hali ngumu ya maisha kutokana na migogoro inayosababaishwa na LEMA.wanajutia kura zao za mwaka 2010 kwamba hawatarudia makosa na wanamuomba mungu awasamehe.wanasema ili kuthibisha hilo wataanza na uchaguzi wa kata nne za madiwani waliofukuzwa.
watu wa arusha kwa sasa wanalalamika hali ngumu ya maisha kutokana na migogoro inayosababaishwa na LEMA.wanajutia kura zao za mwaka 2010 kwamba hawatarudia makosa na wanamuomba mungu awasamehe.wanasema ili kuthibisha hilo wataanza na uchaguzi wa kata nne za madiwani waliofukuzwa.
Dar imejaa watu waoga na wapenda kulalama!Jana jumapili katika mkutano wa hadhara maeneo ya kijitonyama kwa Ali Maua , Mbunge wa Arusha mjini alihutubia maelefu ya wakazi wa Dar akiwa pamoja na viongozi wengine wa Chadema wa Mkoa wa Dar *( Henry Kilewo ) . Mb huyo amesema kuwa Tanzania kwa sasa inaishi kwa faraja inayotokana na uoga kwani hali ya maisha ilivyo kulikuwa hakuna sababu ya kusubiri kufika mwaka 2015 , akiongea kwa uchungu Mh Lema alisema, Ni aibu kubwa Rais kuacha mgomo wa Madaktari nchini na kwenda nje ya Nchi na akifananisha na hali hiyo ni sawa na kijana kumuacha mke wake hosipitalini akisubiri upasuaji wa uzazi na kwenda bar kucheza Pool table , Viongozi wa Taifa hii wamekosa huruma kabisa , maisha yamekuwa magumu sana , watu hawana amani tena na maisha , kwani kesho imekuwa ya mashaka zaidi kuliko leo , lakini nyie watu wa Dar mnaendelea kutumika na chama tawala katika kuendeleza mateso haya Tanzania , hawa watu wametawala miaka 50 lakini bado wameshindwa kutoa dira ya maisha bora kwa watanzania tena ndani ya nchi yenye rasilimali tele , Arusha , Mbeya , Mwanza , Shy, wananchi wameamua na wanahitaji ukombozi , na sasa tumeanza mikutano Dar *operation maalumu tunayoita *" operation ondoa CCM Dar " tumesema sasa tutaingia kila kitongoji mpaka kieleweke.
Naye Mbunge wa Mbeya mjini Mh Sugu amesema ni aibu watu wa Dar wanaojiita wajanja na wanaishi makao makuu ya Nchi kushindwa kuwa chachu ya mabadiliko katika taifa letu. Huku Katibu wa Mkoa wa kinondoni ndg Henry Kilewo akisisitiza kufanya operation ya kuamsha Dar mpaka kieleweke na kuwataka wananchi wa Dar kuwatia moyo madaktari wanaopigania haki zao na kuitaka serikali kuchukua hatua za kuzingatia masilahi ya madaktari na sio vitisho.
Ukitaka kujua tofauti ya mtu mwenye elimu na asie na elimu basi tazama tabia za Lema na sugu halafu tazama tabia ya Zitto na mnyika.
Nadhani kila mtu tayari ameshanawa mikono na sasa tuanze kuila sura ya JK coz kuna watu walimchagua eti ni handsome!