Japhari Shabani (RIP)
R I P
- Jan 16, 2007
- 721
- 176
Kwa Hali ilivyo hivi sasa inaonekana CCM umeshindwa katika kila sehemu na CHADEMA na kasi ya CHADEMA kukubarika kwa wananchi matokeo Yake inatumia nguvu za dola na Majungu kwa kuzuia mikutano. na maandamano bila sababu. Matokeo yake vurugu na kusababisha vifo na majeruhi MUNNGU IBARIKI TANZANIA .