CCM imeshindwa katika hoja,kisera na ushawishi kwa wananchi kilchobaki mabavu!

Jan 16, 2007
721
176
Kwa Hali ilivyo hivi sasa inaonekana CCM umeshindwa katika kila sehemu na CHADEMA na kasi ya CHADEMA kukubarika kwa wananchi matokeo Yake inatumia nguvu za dola na Majungu kwa kuzuia mikutano. na maandamano bila sababu. Matokeo yake vurugu na kusababisha vifo na majeruhi MUNNGU IBARIKI TANZANIA .
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom