Umenena..Swali: Tukikomaaje?
wale wa Misri wanaume kweli sio wewe kidemu hapo ukisikia risasi unakimbilia uvunguni mwa kitanda. Hayo unayosema niwachache sana tunayoweza kufanya. wengi wenu hamna kitu. Unabisha? Je upo tayari kuacha ugali kama mimi? Msiwe mnasema tu. Jaribu.Maandamano kama ya wamisri! Polisi watapiga risasi watachoka!