CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

PASCO,

Mwanajamvi nimefurahi sana kujitambulisha kama Political analyst. Ningelifurahi sana kusaidia Taifa lako kama analist kama ungelitusaidia yafuatayo:

i) Utafuti unaonyesha nini duniani kuhusu Leader of the Opposition katika mifumo ya mabunge yaliyoko Duniani. Kwa mtu yeyote anayefanya analysis angelitegemea kuona American Model na WestMinster Model zinaeleza nini. Analysis yako ime base kwa personalities badala ya Model na analysis ya aina hii kwa maoni yangu ni ya hatari sana kwa kuwa inakosa misingi ya kisayansi. Politics is science and should never be reduced to anything less than empirical analysis to be scientific.

ii) Analysis yako imetoa Conclusions kabla ya kujenga plausible major and minor. Scientific and logical conclusion can only be based on a well founded "major and minor". Ili tunaofuatilia tuweze kunufaika na analysis yako ningelitegemea a properly constitued logical arugement inayofuata clasical logical construction ambayo ndio msingi wa analysis yoyote ambayo ni credible.

iii) Analysis yako inaonekana kukosa basic and simple facts. Kwa mfano unapoeleza muundo wa Kambi ya Upinzani tungelitegemea misingi ya hoja yako, analysis ya kwanini tuko hapa tulipo ambapo Chadema wameunda Kambi bila kuwashirikisha CUF and reasons leading to the same, kama kulikuwa na majadiliano yeyote yalikuwapo kwanini yalishindikana, Political Statusquo ya CUF ndani ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inayoongozwa na CCM kama ambavyo Serikali ya Jamhuri ya Muungano inaongozwa pia na CCM hiyo hiyo na Thesis na Antithesis inayotokana na hali hiyo na matokeo yake au conclusions zinazotokana na situation hiyo kutokana na empirical analysis. Vinginevyo analysis unayojenga inaweza kuwa flawed na ikawa msingi mkubwa sana wa political fallacy ambayo ni ya hatari sana katika analysis ya kisayansi, na athari yake ni mbaya kwa kuwa wako wengi ambao watatumia analysis hiyo bila kuifanyia uchambuzi independent wakiamini umetolewa kwa msingi wa kisayansi. Athari za Fallacies katika historia inajulikana sana kwa historical philosophers pamoja na political philosophers.

iv) Maneno "Kuhodhi", "ubinafsi", "umimi", bila kuwa qualified ni manifestation ya "emotion", na kwa kiwango kikubwa ya "ego". Bila vigezo sahihi ya kisayansi maneno hayo ni manifestation kuwa ya kuwa subjective ambayo kimsingi ni kinyume na dhana ya "objective Political analyist unayoijenga. Hivyo ili tunufaike na matumizi ya maneno haya ningelitamani sana kuona qualification ya maneno hayo ili yaweze kulisaidia Taifa letu, kuliko kuyatumbukiza kwa mfumo unaoweza kutafsiriwa kwa sura mbalimbali. Na kwa bahati mbaya hoja hizi zimekwisha kujitokeza mara nyingi kwenye jamvi letu. Kwa vile nia na lengo la jamvi ni kusaida Taifa letu, na Taifa linajengwa na watu wenye uchungu wenye sifa na ujuzi mbalimbali, na hasa kwa kuwa umejitokeza hadharani kama Political Analist ambaye ni "objective" basi nilikuwa nimefurahi sana kupata analysis ambayo inatumia objective criteteria katika hoja zote ulizokuwa unajenga.

Natanguliza shukrani za dhati, na ninategemea kupata objective political analysis ya mapendekezo yako.

Mungu Ibariki Tanzania.
Hivi wewe ni Dr W Slaa wa ukweli au jamaa kaamua ku2mia jina la m2?Kama wewe n slaa nahc kuzimia kila kila nikilimnna jna lako najua pamoja 2naweza kukijenga chama che2 chadema mungu akupe afya tere 2015 ni ye2
 
The Dreamer, asante kwa angalizo hilo, naadmit mistake pale niliposema wenu na wetu, hivyo nami kujionyesha ni kama Chadema flan, sorry nikosa, sina bifu yoyote na Mhe. Mbowe, who am I?. I'm nothing ila nakiri udhaifu kuwa Zitto namkubali sana mpaka kupoteza objectivity, nitajirekebisha thanks again.
Pasco
Pasco

Ulichoandika ndio mtazamo wa majority wa laymen huku mtaani; ila majibu ya slaa yameonyesha facts na logic ya yanayotokea, ili kujenga pale ulipoanzia nadhani ni vizuri kwa Dr. kupata forum ya kueleza haya ili jamii iyajue, kwa mfumo wetu tanzania, waishio by the book ni less than 20% (sina confirmed data lakini CI siyo mbaya). Hii inatokana na historia yetu na culture yetu

Cha pili kwako Pasco: Hawa jamaa wanakuja na part II ya albam iliyohit ya uchaguzi, subiri utagundua wanataka kufanya nini

Kwako dr. Slaa, awamu ya pili ianze sasa msicheleweshe sana
 
wakuu mimi sina technical language kama za Dr Slaa na Pasco ila sina imani na Zitto kama ana upinzani halisi, hasa baada ya kuteuliwa kuwepo kwenye tume ya madini na kauli zake juu ya mitambo ya dowans na pia kuifagilia ccm pasipostahili, he's a ccm member in disguise-Lyatonga type! Hivyo, aspewe uongozi wa juu wa upinzani ndani ya bunge!
 
Hebu tuangalie ulivyoanza........................

Wanabodi,

Nikiwa hapa Dom, nimebahatika kukutana baadhi ya wabunge wapya wa CCM na wa kambi ya upinzani, kujaribu kufahamiana, sio siri, baadhi yao hawana hata substance ya ni nini kilichowafanya washinde, na viti maalum ndio usiseme kabisa, wengi ni makapi tuu, kama sio vidumu, basi ni kwa ajili ya kutoa huduma na kibinaadamu, na hili litathibitishwa na michango yao kikao cha Januari.

Nilipoongea na wale makamanda walikata magogo kanda ya ziwa, nao ni wa kawaida tuu, hivyo nimefikia jibu moja la uhakika, CCM imechokwa baadhi ya maeneo, upinzani hata ungesimamisha jiwe, lingechaguliwa, nadhani ni moja ya sababu kuu iliyopelekea wengi hawakujitokeza waliona ni kujisumbua.

Nasisitiza CCM imechokwa, na ule ushindi wa kishindo wa toka Asilimia 80% niliyohakikishiwa na mwana CCM mwandamizi mpaka asilimia 60% ni uthibitisho tosha, Watanzania wameichoka CCM ila pia hawakuwachagua wapinzania kwa wingi zaidi, kwa sababu wapinzani hawajaonyesha wako tayari kukamata dola.

Najua kwa dhati, japo JK anafurahia ushindi kwa furaha ya machoni, lazima atakuwa na huzuni moyoni kwa kukataliwa na hiyo asilimia 20% kukataliwa ni kukataliwa tuu, kunauma. Hivyo CCM lazima watakaa na kujiuliza kulikoni, huenda wakajipanga upya na kuja kwa mbinu mpya, ila kwa vile CCM imechokwa, hata ijipange vipi, safari ya kwaheri ndio imeanza, there is nothing to stop it from failing down.

Dawa pekee ya kuitibu CCM, kuirevamp CCM completely, task nambari moja ni Makamba should go first with his old guards team. Leteni fresh blood kina January type, Kippi, Nape type and the like ambao wanaweza siasa za kisasa za dot com type.

Hakuna ubishi, Chadema imenyanyuka, toka wabunge 5 mpaka 22 wa kuchaguliwa tena majimbo ya haja, huku sio kukua bali ni kupaa, tazizo kubwa la Chadema, bado hawajipanga.

Kichama, wanachadema mkubali msiku chama chenu bado hamjajipanga kwa sura ya kitaifa, Kwa vile CCM imekaa mkao wa kifo, hii ndio opportunity yenu kujipanga muwe na sura ya kitaifa, Watanzania wawamini wawakabidhi nchi mwaka 2015.

Kwanza Freeman Mbowe, ajiuzulu uenyekiti, ampishe Dr. Slaa kwenye Usukani, Katibu Mkuu mpeni Zitto, hii itaifuta ile dhana ya nepotisim kwenye chama chenu, ili Walioichoka CCM wawafungulie mikono kwa kujitokeza kuwapigia kura 2015.

Kitendo cha kuihodhi kambi ya upinzani Bungeni, huu ni udhaifu mkubwa ambao hautawafikisha mbali. Pamoja na kanuni za bunge kuruhusu Chadema kuunda kambi rasmi ya upinzani, Chadema peke yenu hamuwezi!.

Nasisitiza Chadema hamjajipanga vyema na tatizo lenu kubwa ni ubinafsi wa viongozi wenu na ugonjwa wa umimi. Hakuna ubishi kuhusu uwezo wa Zitto Kabwe na Uwezo wa Freeman Mbowe katika kukata issue.

Ok thats your opinion

Mbowe sio born leader, ni made leader, tena ameletewa uongozi kwenye kisaani cha chai. Zitto ni born leader na amepambana kufika hapo alipofika......

mmmh ...........halafu ukatoa conclusion kama hii

Kitendo cha Mbowe kuwa ndie kiongozi rasmi wa upinzani Bungeni is a waste. Mbowe hana features za promising great leader, Zitto anazo. Mbowe hana powers from withing to make things happen, Zitto is powerful from within who can make things happen, he is a force to recon with. Juzi wakati wa kampani za Marando, alimgomea kata kata Ole Sendeka kuzungumzia kisemeo cha Marando, alisimama, akagonga meza na kusema kwa sauti kubwa "we can't allow such a thing, never on earth!" Spika Makinda ndipo akakazia msimamo na Ole Sendeka kufurushwa!.

Kiongozi sahihi wa upinzani bungeni should be Zitto not Mbowe. Naibu kiongozi wa upinzani alitakiwa awe Hamad Rashid. Chief Whip Lissu is ok.

yaani kwa kuwa Mbowe ni "made leader"..........na Zitto ni "born leader"..........kwa hiyo ndio kigezo cha kuona Zitto ni zaidi ya Mbowe?

Kama CCM iko ICU na Chadema haijajipanga, spika ndio huyo mama ma over confidence na over reaction, 2015 tutegemee nini?.

Angalizo: Pasco wa Jamii Forums ni political analyst ambaye yuko objective, bila kuegemea chama chochote, upande wowote na hufanya kazi kwa wote, ila ni muumini wa demokrasia ya kweli ndani ya ubunge for the balance of power, hivyo nashangilia sana kambi ya upinzani kuingiza vichwa 100 bungeni, ni matumaini yangu, 2015 kazi itakamilishwa!

Mwishoni ukatoa ANGALIZO kuwa wewe ni Political analyst ambaye ni Objective...............Dr. W. Slaa akasema hivi

PASCO,

Mwanajamvi nimefurahi sana kujitambulisha kama Political analyst. Ningelifurahi sana kusaidia Taifa lako kama analist kama ungelitusaidia yafuatayo:

i) Utafuti unaonyesha nini duniani kuhusu Leader of the Opposition katika mifumo ya mabunge yaliyoko Duniani. Kwa mtu yeyote anayefanya analysis angelitegemea kuona American Model na WestMinster Model zinaeleza nini. Analysis yako ime base kwa personalities badala ya Model na analysis ya aina hii kwa maoni yangu ni ya hatari sana kwa kuwa inakosa misingi ya kisayansi. Politics is science and should never be reduced to anything less than empirical analysis to be scientific.

ii) Analysis yako imetoa Conclusions kabla ya kujenga plausible major and minor. Scientific and logical conclusion can only be based on a well founded "major and minor". Ili tunaofuatilia tuweze kunufaika na analysis yako ningelitegemea a properly constitued logical arugement inayofuata clasical logical construction ambayo ndio msingi wa analysis yoyote ambayo ni credible.

iii) Analysis yako inaonekana kukosa basic and simple facts. Kwa mfano unapoeleza muundo wa Kambi ya Upinzani tungelitegemea misingi ya hoja yako, analysis ya kwanini tuko hapa tulipo ambapo Chadema wameunda Kambi bila kuwashirikisha CUF and reasons leading to the same, kama kulikuwa na majadiliano yeyote yalikuwapo kwanini yalishindikana, Political Statusquo ya CUF ndani ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inayoongozwa na CCM kama ambavyo Serikali ya Jamhuri ya Muungano inaongozwa pia na CCM hiyo hiyo na Thesis na Antithesis inayotokana na hali hiyo na matokeo yake au conclusions zinazotokana na situation hiyo kutokana na empirical analysis. Vinginevyo analysis unayojenga inaweza kuwa flawed na ikawa msingi mkubwa sana wa political fallacy ambayo ni ya hatari sana katika analysis ya kisayansi, na athari yake ni mbaya kwa kuwa wako wengi ambao watatumia analysis hiyo bila kuifanyia uchambuzi independent wakiamini umetolewa kwa msingi wa kisayansi. Athari za Fallacies katika historia inajulikana sana kwa historical philosophers pamoja na political philosophers.

iv) Maneno "Kuhodhi", "ubinafsi", "umimi", bila kuwa qualified ni manifestation ya "emotion", na kwa kiwango kikubwa ya "ego". Bila vigezo sahihi ya kisayansi maneno hayo ni manifestation kuwa ya kuwa subjective ambayo kimsingi ni kinyume na dhana ya "objective Political analyist unayoijenga. Hivyo ili tunufaike na matumizi ya maneno haya ningelitamani sana kuona qualification ya maneno hayo ili yaweze kulisaidia Taifa letu, kuliko kuyatumbukiza kwa mfumo unaoweza kutafsiriwa kwa sura mbalimbali. Na kwa bahati mbaya hoja hizi zimekwisha kujitokeza mara nyingi kwenye jamvi letu. Kwa vile nia na lengo la jamvi ni kusaida Taifa letu, na Taifa linajengwa na watu wenye uchungu wenye sifa na ujuzi mbalimbali, na hasa kwa kuwa umejitokeza hadharani kama Political Analist ambaye ni "objective" basi nilikuwa nimefurahi sana kupata analysis ambayo inatumia objective criteteria katika hoja zote ulizokuwa unajenga.

Natanguliza shukrani za dhati, na ninategemea kupata objective political analysis ya mapendekezo yako.

Mungu Ibariki Tanzania.

wewe ukaja kusema hivi.............

Dr. Slaa, asante sana kwa kunijibu, kitendo tuu cha kuonyesha umenisoma, hiyo ni faraja tosha kwangu kuwa hata kama hamtayarekebisha mapungufu, my only defence ni kuwa tuliwaambia, mesej sent......................................
Nakubaliana na wewe kuhusu weakneses kwenye analysis yangu, infact kitu nilichokisema hapa, its only my observation. True analysis inapatikana baada ya kufanya research, nakiri sijafanya research yoyote serious zaidi ya observation tuu, ila hili jicho langu ndilo la mwananchi wa kawaida kule kijijini na sio jicho la reseacher as a member of academia...........................

Only your observation!!......................ni kweli ulichoandika ni ulicho-observe ukiwa Dodoma........na mambo mengine................HOWEVER ukatuwekea ANGALIZO kuwa wewe ni Political analyst..........hiyo statememnt nzito na hata mtu anaposoma post zako anakuangalia kwa uzito huo................kw ahiyo majibu na maswali ya Dr. Slaa ni sahihi kabisa na hukutakiwa kujibu kirahisi namna hiyo........"observation"...with angalizo kuwa wewe ni Political analyst ambaye yuko objective....................

ulipomjibi Dr. Slaa kwamba jicho lako ni similar to lile la mwananchi wa kijijini na sio .........."researcher as member of academia"........una imply nini?........je una-imply alivyokujibu Dr. Slaa ni kwa mlengo wa research inayofanywa na Academician........jibu ambalo wengi wetu tunatambua unakotaka kuelekea.............you simply want to tell us kuwa jibu la Dr Slaa liko academic zaidi kuliko reality................then Mkuu Pasco kwa ufupi ukiondoa hilo angalizo lako..............then observation yako ni sahihi...........
 
Kanyafu Nkanwa,
Mkuu kweli kabisa unapoteza mada hii kwa kuanza kumfuata Dr.Slaa ktk maswala ambayo hata wewe huwezi kueleza kinachofanyika. Kwa mfano umezungumzia maswala ya madini na kutoa mfano wa Botswana, wewe twambie Botswana wanafanya nini ambacho ni sawa na Tanzania au tofauti na hoja alosimamisha Dr.Slaa. Na hao watu maarufu waliomshangaa Dr.Slaa ni kina nani nakuomba tutajie!

Yes, kuna matatizo Chadema, CCM, CUF na vyama vinginevyo, na ndio sababu kubwa ya mijadala kama hii kuyazungumza pasipo kutumia lugha za ushabiki na kejeli. Sasa hizo ahadi za Lipumba au JK zilikuwa na msisimko gani kwa hao watu maarufu maanake sioni hata moja linalowezwa kuigwa na nchi nyingine yeyote. Kweli kuna matatizo Chadema na lugha inayotumiwa na wanaChadema kusema kweli zisipendi kabisa na hakika kwa mtu kama mimi nayetazama upande wa pili hushindwa kuelewa.

Kwa mfano, kuna madai ya Waislaam kuhusika na mchango mkubwa ktk kutafuta Uhuru hivyo leo wanadai nafasi zaidi ya kupewa madaraka kwa sababu wao walikuwa waasisi wa chama..Hizi ni fkra finyu za Umimi na wana Chadema wanpotumia mfano wao kuwa waasisi wa Chadema hivyo kuwa na fursa zaidi ya kupewa madaraka ya juu ni jambo ambalo nalipinga kama navyopinga mjadala wa Uhuru wetu lakini wapo watu hapa watapinga lile la Uhuru lakini wataunga mkono hili la Chadema au hata CCM kuendelea kuitawala nchi hii kwa sababu ndio wao waliuleta Uhuru hivyo pasipo wao - Haiwezekani!

Hizi ni fikra finyu na hakika Chadema ili wapate kujijenga zaidi wanatakiwa kuingia mikoani na hata vijijini kutafuta nguvu za wananchi pasipo kujali dini, jinsia, rangi na tofauti nyinginezo isipokuwa kuunda umoja unaolenga itikadi wanayosimamia. Kinyume cha hapa itakuwa vigumu sana kwa Chadema kuweza kuchukua roho na mapenzi ya watu ambao bado wanakigugumizi na kujiunga au kuwapa support kutokana na mashaka haya. NI wakati wa Chadema kuondoa dosari hizo na hakuna sababu yeyote inayoweza kuleta maana kwa Mtanzania yeyote ikiwa Chadema itaendelea kulenga watu na sehemu ambazo zinawakubali.

Hata Manabii wetu walikwenda itangaza dini sehemu ambazo haijafika au kukubalika na hasdi leo hii ni jukumu la waumini wa dini zote kuendelea kuitangza dini kwa amani ktk maeneo ambayo hawajapata ujumbe huo na kuelezea mazuri ya imani hiyo hata kama haikubaliki badala ya kuendelea kuwashawishi wale waliokuwa wamekwisha pokea mafundisho..

Hivyo ndiyo nilivyosema.
 
Hebu tuangalie ulivyoanza........................
Ok thats your opinion
mmmh ...........halafu ukatoa conclusion kama hii
yaani kwa kuwa Mbowe ni "made leader"..........na Zitto ni "born leader"..........kwa hiyo ndio kigezo cha kuona Zitto ni zaidi ya Mbowe?
Mwishoni ukatoa ANGALIZO kuwa wewe ni Political analyst ambaye ni Objective...............Dr. W. Slaa akasema hivi
wewe ukaja kusema hivi.............
Only your observation!!......................ni kweli ulichoandika ni ulicho-observe ukiwa Dodoma........na mambo mengine................HOWEVER ukatuwekea ANGALIZO kuwa wewe ni Political analyst..........hiyo statememnt nzito na hata mtu anaposoma post zako anakuangalia kwa uzito huo................kw ahiyo majibu na maswali ya Dr. Slaa ni sahihi kabisa na hukutakiwa kujibu kirahisi namna hiyo........"observation"...with angalizo kuwa wewe ni Political analyst ambaye yuko objective....................

ulipomjibi Dr. Slaa kwamba jicho lako ni similar to lile la mwananchi wa kijijini na sio .........."researcher as member of academia"........una imply nini?........je una-imply alivyokujibu Dr. Slaa ni kwa mlengo wa research inayofanywa na Academician........jibu ambalo wengi wetu tunatambua unakotaka kuelekea.............you simply want to tell us kuwa jibu la Dr Slaa liko academic zaidi kuliko reality................then Mkuu Pasco kwa ufupi ukiondoa hilo angalizo lako..............then observation yako ni sahihi...........

Ogah, asante, nimekusikia na maoni yako, nayafanyia kazi.
Pasco.
 
wanabodi,

nikiwa hapa dom, nimebahatika kukutana baadhi ya wabunge wapya wa ccm na wa kambi ya upinzani, kujaribu kufahamiana, sio siri, baadhi yao hawana hata substance ya ni nini kilichowafanya washinde, na viti maalum ndio usiseme kabisa, wengi ni makapi tuu, kama sio vidumu, basi ni kwa ajili ya kutoa huduma na kibinaadamu, na hili litathibitishwa na michango yao kikao cha januari.

Nilipoongea na wale makamanda walikata magogo kanda ya ziwa, nao ni wa kawaida tuu, hivyo nimefikia jibu moja la uhakika, ccm imechokwa baadhi ya maeneo, upinzani hata ungesimamisha jiwe, lingechaguliwa, nadhani ni moja ya sababu kuu iliyopelekea wengi hawakujitokeza waliona ni kujisumbua.

Nasisitiza ccm imechokwa, na ule ushindi wa kishindo wa toka asilimia 80% niliyohakikishiwa na mwana ccm mwandamizi mpaka asilimia 60% ni uthibitisho tosha, watanzania wameichoka ccm ila pia hawakuwachagua wapinzania kwa wingi zaidi, kwa sababu wapinzani hawajaonyesha wako tayari kukamata dola.

Najua kwa dhati, japo jk anafurahia ushindi kwa furaha ya machoni, lazima atakuwa na huzuni moyoni kwa kukataliwa na hiyo asilimia 20% kukataliwa ni kukataliwa tuu, kunauma. Hivyo ccm lazima watakaa na kujiuliza kulikoni, huenda wakajipanga upya na kuja kwa mbinu mpya, ila kwa vile ccm imechokwa, hata ijipange vipi, safari ya kwaheri ndio imeanza, there is nothing to stop it from failing down.

Dawa pekee ya kuitibu ccm, kuirevamp ccm completely, task nambari moja ni makamba should go first with his old guards team. Leteni fresh blood kina january type, kippi, nape type and the like ambao wanaweza siasa za kisasa za dot com type.

Hakuna ubishi, chadema imenyanyuka, toka wabunge 5 mpaka 22 wa kuchaguliwa tena majimbo ya haja, huku sio kukua bali ni kupaa, tazizo kubwa la chadema, bado hawajipanga.

Kichama, wanachadema mkubali msiku chama chenu bado hamjajipanga kwa sura ya kitaifa, kwa vile ccm imekaa mkao wa kifo, hii ndio opportunity yenu kujipanga muwe na sura ya kitaifa, watanzania wawamini wawakabidhi nchi mwaka 2015.

Kwanza freeman mbowe, ajiuzulu uenyekiti, ampishe dr. Slaa kwenye usukani, katibu mkuu mpeni zitto, hii itaifuta ile dhana ya nepotisim kwenye chama chenu, ili walioichoka ccm wawafungulie mikono kwa kujitokeza kuwapigia kura 2015.

kitendo cha kuihodhi kambi ya upinzani bungeni, huu ni udhaifu mkubwa ambao hautawafikisha mbali. Pamoja na kanuni za bunge kuruhusu chadema kuunda kambi rasmi ya upinzani, chadema peke yenu hamuwezi!.

nasisitiza chadema hamjajipanga vyema na tatizo lenu kubwa ni ubinafsi wa viongozi wenu na ugonjwa wa umimi. Hakuna ubishi kuhusu uwezo wa zitto kabwe na uwezo wa freeman mbowe katika kukata issue. Mbowe sio born leader, ni made leader, tena ameletewa uongozi kwenye kisaani cha chai. Zitto ni born leader na amepambana kufika hapo alipofika.

Kitendo cha mbowe kuwa ndie kiongozi rasmi wa upinzani bungeni is a waste. Mbowe hana features za promising great leader, zitto anazo. Mbowe hana powers from withing to make things happen, zitto is powerful from within who can make things happen, he is a force to recon with. Juzi wakati wa kampani za marando, alimgomea kata kata ole sendeka kuzungumzia kisemeo cha marando, alisimama, akagonga meza na kusema kwa sauti kubwa "we can't allow such a thing, never on earth!" spika makinda ndipo akakazia msimamo na ole sendeka kufurushwa!.

Kiongozi sahihi wa upinzani bungeni should be zitto not mbowe. Naibu kiongozi wa upinzani alitakiwa awe hamad rashid. Chief whip lissu is ok.

Kama ccm iko icu na chadema haijajipanga, spika ndio huyo mama ma over confidence na over reaction, 2015 tutegemee nini?.

angalizo: pasco wa jamii forums ni political analyst ambaye yuko objective, bila kuegemea chama chochote, upande wowote na hufanya kazi kwa wote, ila ni muumini wa demokrasia ya kweli ndani ya ubunge for the balance of power, hivyo nashangilia sana kambi ya upinzani kuingiza vichwa 100 bungeni, ni matumaini yangu, 2015 kazi itakamilishwa!

naomba kama political analyst utuambie nini kilipelekea chadema kuunda kambi ya upinzani based on facts na sio kwa hisia za personalities kama ulivyo fanya kwemnye mada nzuri sana na kuipunguzi credibility kwa kiwango kikubwa.

Taarifa katika vyombo vya habari zinaonyesha kuwa mbowe aliawaalika cuf katika majadiliano ya kumpata spika na uundwaji wa kambi ya upinzani. Taarifa za awali katika vyombo vya habari hamad rashid alikubali. Lakini baadaye msimamo wa cuf ulipotolewa ikaonekjana cuf haiko tayari kushirikina na chadema hata kidogo katika mambo hayo mawili.

Cha kushangaza baada ya chadema kupoteza nafasi ya uspika kauli za hamda rashidi zinzonyesha kuwa cuf ipo tayari kushuirikiana na chadema, je hauoni kuwa nguvu ya fedha za mafisadi katika kinyang'anyiro cha uspika ndio kilisababisha vyama hivi visishirikiane badala ya ubinafsi wa viongozi wa chadema kaka unavyodai?
 
So far nadhani kamanda Mbowe amefanya kazi nzuri sana, na Zitto nae tunamhitaji achape mzigo lakini Ishu kama ile ya Dowans kusema kweli ilinisikitisha jinsi alivyokuwa akiipigia debe.

Nakubaliana na analysis kwamba Zitto bado anahitaji kuonesha kwamba amekomaa na ni kweli ni mwanamageuzi, na hana tamaa na umimi. mbali ya suala la Dowans, nilishtushwa wakati wa kampeni pale alipotangaza nia yake ya kugombea urais mwaka 2015! sijaelewa bado nia yake ilikuwa ni nini. badala ya kutumia ile platform kumjenga mgombea urais wa chama chake mwaka huu 2010, alitumia muda mwingi kujijenga mwenyewe sio kwenye ubunge, bali kwenye urais! hii inanisadikisha kwamba Zitto ana upungufu fulani mkubwa ambao sina hakika kama dawa yake ni time.
 
Dr. Slaa, asante sana kwa kunijibu, kitendo tuu cha kuonyesha umenisoma, hiyo ni faraja tosha kwangu kuwa hata kama hamtayarekebisha mapungufu, my only defence ni kuwa tuliwaambia, mesej sent.

Kwa kuanzia, nakupongeza sana wewe binafsi kugombea, umeleta changamoto ambayo haijawahi kutokea.Ushindi wa hayo majimbo mliyoyatwaa ni uthibitisho wa the powers within you. For the first time in my life, nimehamasika na naweza kutupa karata yangu mahali 2015.

Pole kwa kutopata ushindi uliotarajiwa, ila amini usiamini, wewe bado ni mshindi kwenye roho za watu, na JK ni mshindi kwenye makatasi ya kura. Tunatakiwa kuwa wa shukrani kwa kidogo chochote tunachopata, wewe mwenye majimbo 5 hadi 22 na la 23 ni kesho, ulitakiwa kuonyesha appreciation kwa Watanzania waliokuamini, kitendo cha kususia kutangazwa matokeo for whataver reasons, ni political immaturity, na binafsi nilifadhaishwa sana, umepoteza the golden opportunity ya kuspeak out you mind, hata kama hatimaye utakuja kuita waandishi na kuyasema ya moyoni, never will they have the impact kama ungejitokeza pale na kusema nimekuja siyakubali matokeo kwa sababu yamechakachuliwa.

Nakubaliana na wewe kuhusu weakneses kwenye analysis yangu, infact kitu nilichokisema hapa, its only my observation. True analysis inapatikana baada ya kufanya research, nakiri sijafanya research yoyote serious zaidi ya observation tuu, ila hili jicho langu ndilo la mwananchi wa kawaida kule kijijini na sio jicho la reseacher as a member of academia.

La kambi ya upinzani, nimelisemea, if you go by the books, it is ok kwa vile nyinyi peke yenu mnaconstitute ile quoram kwa mujibu wa kanuni, don't play by the book, just play by reality, logic and moderation. Umimi wenu Chadema, haujaanza leo, msipokubali weaknesses zenu, you can not turn them ito streghths. Naomba nisiende tena kwenye personalities zaidi, tunakuomba kaa siti ya mbele, shika usukani, pangeni safu yenu vizuri, futeni dhana zote zilizojengeka dhidi yenu ziwe za kweli au za kizushi, 2015 ikulu ni yenu, maana wale milioni 12 waliojiandikisha halafu hawakupiga kura, ndio mtaji wenu wa 2015 haswa ukizingatia vijana wa shule za kata ndio watakuwa vyuoni!.

Asante tena.

Mkuu wewe badala ya kujibu hoja zilizoongelewa na Dr wa ukweli unaanzisha hoja nyingine ndani ya hoja. Suala la Dr Slaa kutokuhudhuria kuapiswa kwa "rais" ameshalitolea ufafanuzi na kama hujaridhika ungeweza kuanzisha thread nyingine. Huu utaratibu wako wa kuibua hoja ndani ya hoja kwa sababu umeshindwa kujibu hoja unanipa mashaka sana kama kweli wewe ni independent analyst
 
PASCO,

Mwanajamvi nimefurahi sana kujitambulisha kama Political analyst. Ningelifurahi sana kusaidia Taifa lako kama analist kama ungelitusaidia yafuatayo:

i) Utafuti unaonyesha nini duniani kuhusu Leader of the Opposition katika mifumo ya mabunge yaliyoko Duniani. Kwa mtu yeyote anayefanya analysis angelitegemea kuona American Model na WestMinster Model zinaeleza nini. Analysis yako ime base kwa personalities badala ya Model na analysis ya aina hii kwa maoni yangu ni ya hatari sana kwa kuwa inakosa misingi ya kisayansi. Politics is science and should never be reduced to anything less than empirical analysis to be scientific.

ii) Analysis yako imetoa Conclusions kabla ya kujenga plausible major and minor. Scientific and logical conclusion can only be based on a well founded "major and minor". Ili tunaofuatilia tuweze kunufaika na analysis yako ningelitegemea a properly constitued logical arugement inayofuata clasical logical construction ambayo ndio msingi wa analysis yoyote ambayo ni credible.

iii) Analysis yako inaonekana kukosa basic and simple facts. Kwa mfano unapoeleza muundo wa Kambi ya Upinzani tungelitegemea misingi ya hoja yako, analysis ya kwanini tuko hapa tulipo ambapo Chadema wameunda Kambi bila kuwashirikisha CUF and reasons leading to the same, kama kulikuwa na majadiliano yeyote yalikuwapo kwanini yalishindikana, Political Statusquo ya CUF ndani ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inayoongozwa na CCM kama ambavyo Serikali ya Jamhuri ya Muungano inaongozwa pia na CCM hiyo hiyo na Thesis na Antithesis inayotokana na hali hiyo na matokeo yake au conclusions zinazotokana na situation hiyo kutokana na empirical analysis. Vinginevyo analysis unayojenga inaweza kuwa flawed na ikawa msingi mkubwa sana wa political fallacy ambayo ni ya hatari sana katika analysis ya kisayansi, na athari yake ni mbaya kwa kuwa wako wengi ambao watatumia analysis hiyo bila kuifanyia uchambuzi independent wakiamini umetolewa kwa msingi wa kisayansi. Athari za Fallacies katika historia inajulikana sana kwa historical philosophers pamoja na political philosophers.

iv) Maneno "Kuhodhi", "ubinafsi", "umimi", bila kuwa qualified ni manifestation ya "emotion", na kwa kiwango kikubwa ya "ego". Bila vigezo sahihi ya kisayansi maneno hayo ni manifestation kuwa ya kuwa subjective ambayo kimsingi ni kinyume na dhana ya "objective Political analyist unayoijenga. Hivyo ili tunufaike na matumizi ya maneno haya ningelitamani sana kuona qualification ya maneno hayo ili yaweze kulisaidia Taifa letu, kuliko kuyatumbukiza kwa mfumo unaoweza kutafsiriwa kwa sura mbalimbali. Na kwa bahati mbaya hoja hizi zimekwisha kujitokeza mara nyingi kwenye jamvi letu. Kwa vile nia na lengo la jamvi ni kusaida Taifa letu, na Taifa linajengwa na watu wenye uchungu wenye sifa na ujuzi mbalimbali, na hasa kwa kuwa umejitokeza hadharani kama Political Analist ambaye ni "objective" basi nilikuwa nimefurahi sana kupata analysis ambayo inatumia objective criteteria katika hoja zote ulizokuwa unajenga.

Natanguliza shukrani za dhati, na ninategemea kupata objective political analysis ya mapendekezo yako.

Mungu Ibariki Tanzania.


Asante sana Dr. Slaa kwa maelezo mazuri na uchambuzi mwanana. Kwa hata mimi sijaona analysis yoyote aliyofanya huyo jamaa aliyetoa hoja. Badala yake, maelezo yake yamejaa feelings and emotions!!!!! Sioni hata uhalali wa yeye kujitangaza kama political analyst.

Kwa faida ya wengine wenye mtazamo kama wa kwake, ningependa tukumbushane kuwa dhana ya ubinafsi CHADEMA mimi huwa naitazama kama inapandikizwa na watu kwa sababu wanazozijua wenyewe. Mlolongo wa uongozi ndani ya CHADEMA kwa maoni yangu umekuwa ni mzuri na usio na ubinafsi. Mathalani, Wenyeviti wamepokezana pasipo hata mgogoro kama ilivyo kwa vyama vingine: Kutoka kwa Mtei, kuja kwa Bob Makani, then Freeman Mbowe. Vilevile Makatibu waku, Bob Makani, Dr. Slaa. Isitoshe, watu kutoka maeneo mbalimbali wameshika nafasi za juu CHADEMA pasipo ubaguzi wowote, miongoni mwao ni Walid Kaborou (Kigoma), Barongo (Ruvuma), Zitto (Kigoma), Tundu Lissu (Singida), Said Arfi (Rukwa), Anna Komu (Zbar -kama sikosei) etc.

Si vyema kupokea jambo na kuliamini kama lilivyo bila kuchanganua!!!!!
 
PASCO, naomba usiendelee kujiaibisha kwa kujiita Political Analyst or whatever kind of Analyst. You don't deserve at all. Usipende kujibebesha sifa ambazo huna!!!!!! Maelezo na michango yako haina tofauti sana na ya layman.
 
Napenda kutoa angalizo moja kuhusu watu ambao wanataka uongozi kwanza (Mr. Ema). Tumeshuhudia kwamba umaarufu wa vyama alivyoongoza Mr. Ema ulikua ukishuka siku kwa siku pale suala la uongozi lilipowadia na yeye daima kwa maoni yake mwenyewe alitaka daima awe mwenyekiti. Sasa basi kama Mh Zitto ni maarufu aendelee kuutumia umaarufu huu kwa manufaa ya wananchi na chama pia, Chadema nimekkuwa nikiiheshimu sana pia kwa system yao ya uongozi, toka enzi za kina Bob Makani na mzee Mtei na ninaamini wataendeleza hili. Pia nina imani kubwa kijana mwenzangu zitto utafika muda wake katika hili.
-Pia kama kuna mamluki yeyote amejificha chadema tunamuomba aondoke kwani ni kipindi ambacho Watanzania tunalilia mabadiliko ya kweli yenye dhamira ya kweli.
 
Hawa ndiyo mapolitical analyst wetu hapa bongo. Sidhani kama political analyst anaweza kutumwa na chama fulani kusafiri kutoka Dar kwenda Mwanza kwenda kum record Askofu mmoja aliyeamua kuingia kwenye siasa huku akiwatuhumu wenzie kuwa wameingia kwenye siasa na wanapendelea chama na mgombea fulani. Political nalyst lazima angejua mazara ya hii kitu kwa jamii na asinge kubali. Pili huyu political analyst hawezi kuaminiwa tena na vyama vingine kwa sababu yupo kwenye payroll ya chama kimojawapo na bila ya kukosea pengine haya maoni yake ni kumalizia change zilizobaki kwenye kazi ya kwanza ambayo vyombo vya TV viliiona kuwa ni hatari kwa taifa na kuishia kuchukua sehemu tu ya mahojiano hayo
 
hii topic/thread imesimama sana wajameni, am learning alot from u guys

thanx to u all and keep it cool
 
Pasco, binafsi nadhani bado haumtendei haki Dr. Slaa, kama ungekuwa na subira ya kutaka kujua kwa nini Dr. Slaa hakuja kwa kupata first hand information toka kwake, bila ya shaka ungekuwa na maoni tofauti. Sisi tuko mezani tunasubiri chakula, Dr. Slaa yuko jikoni, kuchelewa kufika kwa chakula haina maana kuwa ametunyima nafasi ya kula. Alishaongea kuwa kuna data anakusanya. Several times mwenyewe amesema si mtu wa kukurupuka bali huja na facts mkononi. Hebu tuwe wavumilivu tumpe nafasi.

Hoja yako ya pili sijui kwa nini bado unadhani Dr Slaa anakwenda by the Books. amekupa mifano hai ya Mabunge ya US na UK na bado unasefikiri hayuko really. Kumbuka nchi alizotaja ni wakongwe wa siasa kuliko TZ. Siasa za Tanzania ni bado Changa sana. Kwa kuanzia tu, jiulize kwa nini 42% ya Watanzania wamepiga kura. Is this something to do with CHADEMA au Dr. Slaa au Mbowe nk?

Post yako inareflect moja ya characteristics ya chadema ni kuficha mabaya na kuanika mazuri. Pasco katoa mawazo yake, maoni yake. Toa ya kwako bila kushambulia Pasco na kumpa mpa viushauri eti vya kuvuta subira badala ya kumshukuru kwa kutoa aliyoweza kuyatoa.
 
mkubwa umeonge..mi nilidhani naona pekeyangu..mbowe might be a mwenyekiti lakini zitto ni more powerful..kwakwel hapa hawakujipanga..na kingine suala la kushirikisha wapinzani wengine mi nadhani ni zuri, sometime waache misimamo isiyo na tija
 
Angalizo: Pasco wa Jamii Forums ni political commentator ambaye yuko objective, bila kuegemea chama chochote, upande wowote na hufanya kazi kwa wote, ila ni muumini wa demokrasia ya kweli ndani ya bunge for the balance of power, hivyo nashangilia sana kambi ya upinzani kuingiza vichwa 100 bungeni, ni matumaini yangu, 2015 kazi itakamilishwa!

Wanabodi, nimeshabadili angalizo kama linavyosomeka hapo, sio political analyst ni just political commentator!.
 
Hawa ndiyo mapolitical analyst wetu hapa bongo. Sidhani kama political analyst anaweza kutumwa na chama fulani kusafiri kutoka Dar kwenda Mwanza kwenda kum record Askofu mmoja aliyeamua kuingia kwenye siasa huku akiwatuhumu wenzie kuwa wameingia kwenye siasa na wanapendelea chama na mgombea fulani. Political nalyst lazima angejua mazara ya hii kitu kwa jamii na asinge kubali. Pili huyu political analyst hawezi kuaminiwa tena na vyama vingine kwa sababu yupo kwenye payroll ya chama kimojawapo na bila ya kukosea pengine haya maoni yake ni kumalizia change zilizobaki kwenye kazi ya kwanza ambayo vyombo vya TV viliiona kuwa ni hatari kwa taifa na kuishia kuchukua sehemu tu ya mahojiano hayo
Shalom, Pasco wa Jamii forum amesharekebisha sio Political analyst any more, he is just a political commentator.
Ila pia anaweza akawa ameajiriwa mahali fulani, katika kutekeleza maagizo ya mwajiri wake, anaweza kumtumia yoyote as long as hiyo ndio mode ya maisha yake. To put records clear, hakuna senti tano ya chama chochote iliyotumika kumlipa Pasco huyu ili kusaidia chama chochote, bali Pasco huyu hufanya kazi kwa maslahi ya taifa, ndio maana amekiri wazi ni mshabiki wa demokrasia ndani ya bunge, na kupongeza wingi wa wabunge wa upinzani bungeni for the balance of power.
 
PASCO, naomba usiendelee kujiaibisha kwa kujiita Political Analyst or whatever kind of Analyst. You don't deserve at all. Usipende kujibebesha sifa ambazo huna!!!!!! Maelezo na michango yako haina tofauti sana na ya layman.
Matonange, kwanza karibu JF, pili nimeshabadili title yangu kama inavyosomeka hapa, ila pia ukweli mimi ni layman, I belong to the class of ma lumpen ploretariat.

Pasco wa Jamii Forums ni political commentator ambaye yuko objective, bila kuegemea chama chochote, upande wowote na hufanya kazi kwa wote, ila ni muumini wa demokrasia ya kweli ndani ya bunge for the balance of power, hivyo nashangilia sana kambi ya upinzani kuingiza vichwa 100 bungeni, ni matumaini yangu, 2015 kazi itakamilishwa!

Wanabodi, nimeshabadili angalizo kama linavyosomeka hapo, sio political analyst ni just political commentator!.
 
Rais wetu mtarajiwa Dr.Slaa umenikuna na ninakuahidi na watanzania ni mashihidi kuwa wanajua wewe ndio Rais wao mioyoni mwao,uendelee kutujuza mambo na kutupigania kwani tunaamini Marehemu Baba wa Taifa hili J.K.Nyerere amerudi kupitia kwako.Kwani Rais Mkapa aliliambia taifa kuwa alipozidiwa huko Saint bernad Hosp. alisema "huu ugonjwa hautaniachia lakini nitawaombea kwa mungu" sitasahau maneno haya na kwa wote wanaojisafisha leo bila kutubu kwa Mungu wakati wamechafuka sana wangesoma alama za nyakati kwa kurejea hosia wake.Slaa uko juu na Tanzania inakutegemea.
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom