Ccm imechaguliwa kwa sera zake endelevu

segwanga

JF-Expert Member
Mar 16, 2011
2,789
729
Chama cha mapinduzi kina sera endelevu ndio maana kinazidi endelea kupeta kwenye zama hizi za siasa za ushindani.
Nianzie karibu ili nisiwachoshe.JK aliingia kwa gia iliyokuwa ikisomeka kuwa ARI MPYA,NGUVU MPYA NA KASI MPYA.Hiyo ilikuwa inalenga si sehemu nyingine zaid ya kuteka akili za watanzania kwa ari mpya,nguvu mpya na kasi mpya.Kama una kumbukumbu JK alimfunika Ben mpaka watu wakawa wanafikiria kwamba kwa nini jk asingeteuliwa 95.Nakumbuka mzee rukhusa aliwahi kusema vijana wapunguze kasi vinginevyo watawaacha nyuma wazee.Umekuja uchaguzi uliopita JK akaja kitu endelevu cha NGUVU ZAIDI,ARI ZAIDI NA KASI ZAIDI.Matokeo yake hicho kitu yako wazi.
1.Ushindi ni lazima hata kwa kuchakachua
2.Bunge lililojipanga zaidi kutetea chama kwa namna yoyote ile ikiwezekana spika awe mwanamama machachari aliyebatizwa kwa jina la chama
3.Kwa sababu chama kimechafuka(kwa mjibu wa wananchi na wapinzani) basi sio vibaya kujivua gamba lakn si kwa mtazamo wa wananchi.Tutoe makamba na tuweke mtaalam mkama na jembe la kueneza sera Nnauye Jr.Jembe hili damu inachemka litasaidie kuwapigia kelele mafisadi,siku 90 watapotezewa.
Hicho ndicho chama kikongwe vijana wa JF siku hizi wanakiita chama cha magamba
 
Unasema ukweli ccm inaongoza kwa uandishi wa sera sasa je, vipi utekelezaji? Don't be a fool again my friend.
 
Sera yao endelevu zaidi ni ile sera ya UMEME NCHI NZIMA MASAA 24 BILA MGAO.
 
PHP:
[quote="segwanga, post: 2149229"]Chama cha mapinduzi kina sera endelevu ndio maana kinazidi endelea kupeta kwenye zama hizi za siasa za ushindani.

You're very right. Sera zao endelevu tunaziona. Ndizo hizi za mgao wa umeme 24hrs hadi mwishoni mwa mwaka kama tutakuwa na bahati, vinginevyo hadi 2015!
 
Mtu akiniita jk haki ya nani najinyonga! Heri kutoishi kuliko kudhalilishwa kwa kulinganishwa nae!
 
not sera bal u-se-nge endelevu ndo maana mwaliwa hata wazir mmoja so rizik,pumbavu pelekeen ushoga wenu choon
 
not sera bal u-se-nge endelevu ndo maana mwaliwa hata wazir mmoja so rizik,pumbavu pelekeen ushoga wenu choon
Mbona unamumunya maneno toa sema wazi wazi kwa sababu ya sera hzo hzo endelevu Rais mstaafu alisema hz ni zama za UKWELI NA UWAZI,funguka kijana ni sio kutumia jazba
 
Kimechaguliwa au kimejichagua?
Mkuu wenger huwa navutiwa na style yako ya kujibu,iko straight.Ujue kwenye siasa kinachotazamwa huwa ni kufanikiwa kuingia madarakani na watu wakabaki kimya yaani hawafanyi vurugu. Kwa sababu ccm wamefanikiwa kuwepo madarakani kwa kuendeleza hadaa zao kwa wananchi,sera zao zinazidi kufanikiwa yaani ushindi ni lazima na ccm ina wenyewe
 
Unasema ukweli ccm inaongoza kwa uandishi wa sera sasa je, vipi utekelezaji? Don't be a fool again my friend.
Kwenye siasa huwa hatuangali validity ya sera ila kinachoangaliwa ni reliability.CCM usiwaone kama wamezidiwa hv.Wanajua weaknes za watanzania ni watu wa kupanga mashambulizi na kutumia counter attack.Ngoja nikupe kitu kimoja kukudhihirishia kuwa hawa jamaa wamejipanga vilivyo-katba ya nchi inalalamikiwa kwa nini mambo ambayo yanasababisha katiba iwe mbovu kama suala la muungano na madaraka ya rais hayataguswa? sera zitadumu SERIKALI MBILI NA RAIS MWENYE NGUVU
 
Back
Top Bottom