TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Moja kati ya Cheche alizozitema Mwanasheria mashuhuli inchi Mabere malando Jana ni Kuwa, Ccm ilizaliwa, ikakua na sasa ina kufa. Hivyo basi hainahaja na kuendelea kushangaa inapotafunwa na Makombora ya CDM, inapokosa maamuzi ya Pamoja kati ya Mkubwa na madogo ktk chama, Inaposhindwa kujibu hoja kwa hoja, Uozo wake unyozagaa kwenye vichwa vya watanzania kwa kasi.
Marando,Alitoa mifano ya vifungu vichache vilivyomo kwenye katiba mpya ya kenya mf.Waziri ni lazima asiwe mbunge na nilazima afanyiwe interview na bunge kabla,Pia mbunge yeyote itambidi kuachia ngazi endapo tu hatekelezi wajibu wake,Wakuu wa mikoa na wilaya watachaguliwa na wananchi nasio raisi.
Vivyo hivyo Dr.Slaa alitoa tamko kuwa wanaosema amechanganyikiwa hawakosei,Kwa sababu uwezo wake wa kufikiri na kiusomi upo umbali wa maili mia moja kuliko wana ccm wote.Pia akatuhumu raisi kupewa Phd na UDOM-Kwani Udom bado sana kufikia level hiyo na wanazidi kumuangamiza Jk coz elimu yake ipo kwenye vyeti nasio akili.
Pia akadokeza swala La udini linalong'ang'aniwa na CCM kuwa ni njama za kuwapoteza wananchi kuikosoa ktk mambo muhimu kama Dowans. Akampa pole Jk kwa kuomboleza na Udini wake bila kuchukua hatua(Watoto wakilia, baba akilia nani atatatua tatizo)
Mwisho akahoji Rex attonery ni nani ktk Dowans?alishauri nini serikali kuhusu dowans? Akamalizia kwa kusema atakuja na Bomu la Rex attonery dhidi ya Serikali.
Home work aliyoitoa-Nendeni kwenye kamsi kaangalieni maana ya maneno haya UDINI, DINI, SIASA, KUTOTAWALIKA na MALUMBANO.
CCM INAKATA ROHO, WASOMI NA WASIO WASOMI KAZANENI TUIMALIZIE THEN TUICHIMBIE KABURI KM 1 KWENDA CHINI ILI VIZAZI VIJAVYO VISIISIKIE HATA HARUFU.
Marando,Alitoa mifano ya vifungu vichache vilivyomo kwenye katiba mpya ya kenya mf.Waziri ni lazima asiwe mbunge na nilazima afanyiwe interview na bunge kabla,Pia mbunge yeyote itambidi kuachia ngazi endapo tu hatekelezi wajibu wake,Wakuu wa mikoa na wilaya watachaguliwa na wananchi nasio raisi.
Vivyo hivyo Dr.Slaa alitoa tamko kuwa wanaosema amechanganyikiwa hawakosei,Kwa sababu uwezo wake wa kufikiri na kiusomi upo umbali wa maili mia moja kuliko wana ccm wote.Pia akatuhumu raisi kupewa Phd na UDOM-Kwani Udom bado sana kufikia level hiyo na wanazidi kumuangamiza Jk coz elimu yake ipo kwenye vyeti nasio akili.
Pia akadokeza swala La udini linalong'ang'aniwa na CCM kuwa ni njama za kuwapoteza wananchi kuikosoa ktk mambo muhimu kama Dowans. Akampa pole Jk kwa kuomboleza na Udini wake bila kuchukua hatua(Watoto wakilia, baba akilia nani atatatua tatizo)
Mwisho akahoji Rex attonery ni nani ktk Dowans?alishauri nini serikali kuhusu dowans? Akamalizia kwa kusema atakuja na Bomu la Rex attonery dhidi ya Serikali.
Home work aliyoitoa-Nendeni kwenye kamsi kaangalieni maana ya maneno haya UDINI, DINI, SIASA, KUTOTAWALIKA na MALUMBANO.
CCM INAKATA ROHO, WASOMI NA WASIO WASOMI KAZANENI TUIMALIZIE THEN TUICHIMBIE KABURI KM 1 KWENDA CHINI ILI VIZAZI VIJAVYO VISIISIKIE HATA HARUFU.