Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
naamini hapo kwenye nyekudu uliimanisha 2005.Huyu ni mmoja ya wale waliokubwa na Rungu la fitina la Mkwere 2015, alipigwa kijembe kuwa anamilik 25 bil. Lakin alichokisema huyu bwana ni chamsingi, km chadema wametoa hoja, wanapaswa kujibiwa kwa hoja, sio kulaumu, kunung'unika na kulalama pasipo sababu za msingi! Vitisho havitaweza kamwe kufuta hoja za CDM kwa wananchi bt zitakiua chama chao.