Utafiti uliofanyika hivi karibuni ulibaini kwamba katika vyama vitano makini Afrika CCM ni Namba moja vingini ni: Frelimo (Msumbiji), MPLA (Angola), ANC (Afrika Kusini) na chama cha ukombozi Namibia. Katika utafiti huo ambapo iliangaliwa vigezo mbalimbali ikiwa pamoja na imani ya wananchi juu ya chama husika, uwezo wa chama husika kuwa na Serikali yenye kujali masalahi ya wanyonge, kuangalia maendeleo ya wananchi, kudhibiti migongano ya kidini na kikabila, kuwafikia watu wa( periferral) vijijini katika kupeleka huduma za jamii kama shule, zahanati n.k
Kwa kweli ndugu zangu nilifarijika kuona kuwa nchi yetu ni kati ya (Stars) nyota katika nyanja ya uongozi barani Afrika na Duniani, tuchague CCM peleka kura kwa JK. Slaa (Chadema) 2099, Lipumba (CUF) 2115
CHAGUA CCM KWA TANZANIA SALAMA
Kwa kweli ndugu zangu nilifarijika kuona kuwa nchi yetu ni kati ya (Stars) nyota katika nyanja ya uongozi barani Afrika na Duniani, tuchague CCM peleka kura kwa JK. Slaa (Chadema) 2099, Lipumba (CUF) 2115
CHAGUA CCM KWA TANZANIA SALAMA