Elections 2010 Ccm ichaguliwe tanzania kwani ni kati ya vyama makini afrika

dadakuona

Member
Sep 4, 2010
22
0
Utafiti uliofanyika hivi karibuni ulibaini kwamba katika vyama vitano makini Afrika CCM ni Namba moja vingini ni: Frelimo (Msumbiji), MPLA (Angola), ANC (Afrika Kusini) na chama cha ukombozi Namibia. Katika utafiti huo ambapo iliangaliwa vigezo mbalimbali ikiwa pamoja na imani ya wananchi juu ya chama husika, uwezo wa chama husika kuwa na Serikali yenye kujali masalahi ya wanyonge, kuangalia maendeleo ya wananchi, kudhibiti migongano ya kidini na kikabila, kuwafikia watu wa( periferral) vijijini katika kupeleka huduma za jamii kama shule, zahanati n.k

Kwa kweli ndugu zangu nilifarijika kuona kuwa nchi yetu ni kati ya (Stars) nyota katika nyanja ya uongozi barani Afrika na Duniani, tuchague CCM peleka kura kwa JK. Slaa (Chadema) 2099, Lipumba (CUF) 2115

CHAGUA CCM KWA TANZANIA SALAMA
 
Utafiti uliofanyika hivi karibuni ulibaini kwamba katika vyama vitano makini Afrika CCM ni Namba moja vingini ni: Frelimo (Msumbiji), MPLA (Angola), ANC (Afrika Kusini) na chama cha ukombozi Namibia. Katika utafiti huo ambapo iliangaliwa vigezo mbalimbali ikiwa pamoja na imani ya wananchi juu ya chama husika, uwezo wa chama husika kuwa na Serikali yenye kujali masalahi ya wanyonge, kuangalia maendeleo ya wananchi, kudhibiti migongano ya kidini na kikabila, kuwafikia watu wa( periferral) vijijini katika kupeleka huduma za jamii kama shule, zahanati n.k

Kwa kweli ndugu zangu nilifarijika kuona kuwa nchi yetu ni kati ya (Stars) nyota katika nyanja ya uongozi barani Afrika na Duniani, tuchague CCM peleka kura kwa JK. Slaa (Chadema) 2099, Lipumba (CUF) 2115

CHAGUA CCM KWA TANZANIA SALAMA

Utafiti upi na uliofanywa na nani na lini?
 
KATIBA YA KIKUNDI CHA "MWINGAza" CHA WANAWAKE WA MKOA WA NJOLUMA (WANAOISHI SINGIDA).


UTANGULIZI.

Kikundi hiki ni cha wanawake wanaotoka Mkoa wa NJOLUMA, au walioolewa na wanaume wa Mkoa Wa NJOLUMA wa kabila la WAKINGA

Kikundi hiki kina wanachama hai 18 mpaka April 2010.

Kikundi hiki kinajulikana kwa jina la MWINGA WOMEN GROUP-SINGIDA.
Jina hili litatumika kwa maslahi ya kikundi na kwa ridhaa ya wanakikundi.

Vikao vyote vya kikundi hiki vitaanza kwa maombi na kuisha kwa maombi.

Katiba hii ni hai, hivyo inakua. Kwa maana hiyo inaweza kuongezwa vifungu, kupunguzwa au kubadilishwa.

SEHEMU YA KWANZA.
1. MALENGO, MADHUMUNI NASHUGHULI ZA KIKUNDI.
1.1 .MALENGO.
Kukaa kwa pamoja kupanga na kubuni namna ya kusaidiana na kukuza uchumi wa wanawake wa kikundi hiki.

1.2 MADHUMUNI.
(a)Kuwa na kikundi kisichozidi wakinamama 20
(b)Kusaidiana katika shida na raha.
(c)Kutafuta namna ya kuongeza kipato kwa wanakikundi.
 
Wee DINGISWAYO unataka majibu ya utafiti upi? kWA Kukusaidia soma hata tafiti za Redet juu ya vyama vya ukombozi vilivyobaki madarakani Afrika.
 
dadakuona
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
  • email.png
    Send Email
user-online.png
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join DateSat Sep 2010
Posts4 Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0 Posts

Naona kila kukicha tunaingiliwa na wageni hapa JF. Kule kwenye thread nyingine kuna Kakakuona. Sasa naona dada mtu naye kaamua kuja na lake. Karibuni JF. Mmetukuta hapa sisi ma alwatani na mtatuacha mkishamaliza tume zenu.
 
The Traitor's Destruction (Group)

Level 21GhostlandsObtained at level 15Horde Slay Dar'Khan Drathir inside Deatholme and bring his head to Magister Kaendris at the Sanctum of the Sun in the Ghostlands.Dar'Khan's Head: 0/1Dar'Khan's Head: 0/1Everything we've done in the Ghostlands has been done with the goal of taking back what is rightfully ours. The Scourge have maintained their chokehold on the region for far too long.

The time has come for payback, <name>. Thanks to your help and the help of our new allies, the Forsaken, vengeance will soon be ours.

He who sought to steal the power of the Sunwell must die. Go to Deatholme, the Scourge stronghold south of the Dead Scar. Bring me Dar'Khan's head and your deeds will go down in history! Is it done, then? Has Dar'Khan been destroyed? Today you've dealt a deadly blow to the Scourge's grasp in the region.

With the vile traitor gone, it shall not be long before we've reclaimed our lands and our greatness is restored once again.Rewards

Staff of the Sun or Farstrider's Longbow or Dawnblade or Sin'dorei Warblade
40 Silver
250-3000 XP
Tranquillien +8000
Starts and Ends at:

Magister Kaendris
GhostlandsThis quest is part of a series:

Step 1:The Farstrider Enclave
[Level 16]
Step 2:The Traitor's Shadow
[Level 16]
Step 3:Hints of the Past
[Level 16]
Step 4:Report to Magister Kaendris
[Level 16]
Step 5:The Twin Ziggurats
[Level 17]
Step 6:The Traitor's Destruction
[Level 21]
 
Angalia details za huyu jamaa - CCM infiltrator
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join Date Sat Sep 2010
Posts4
Thanks : 0Thanked 0
Times in 0
Posts 1
Rep Power 0

:mad2:
 
The Traitor's Destruction (Group)

Level 21GhostlandsObtained at level 15Horde Slay Dar'Khan Drathir inside Deatholme and bring his head to Magister Kaendris at the Sanctum of the Sun in the Ghostlands.Dar'Khan's Head: 0/1Dar'Khan's Head: 0/1Everything we've done in the Ghostlands has been done with the goal of taking back what is rightfully ours. The Scourge have maintained their chokehold on the region for far too long.

The time has come for payback, <name>. Thanks to your help and the help of our new allies, the Forsaken, vengeance will soon be ours.

He who sought to steal the power of the Sunwell must die. Go to Deatholme, the Scourge stronghold south of the Dead Scar. Bring me Dar'Khan's head and your deeds will go down in history! Is it done, then? Has Dar'Khan been destroyed? Today you've dealt a deadly blow to the Scourge's grasp in the region.

With the vile traitor gone, it shall not be long before we've reclaimed our lands and our greatness is restored once again.Rewards

Staff of the Sun or Farstrider's Longbow or Dawnblade or Sin'dorei Warblade
40 Silver
250-3000 XP
Tranquillien +8000
Starts and Ends at:

Magister Kaendris
GhostlandsThis quest is part of a series:

Step 1:The Farstrider Enclave
[Level 16]
Step 2:The Traitor's Shadow
[Level 16]
Step 3:Hints of the Past
[Level 16]
Step 4:Report to Magister Kaendris
[Level 16]
Step 5:The Twin Ziggurats
[Level 17]
Step 6:The Traitor's Destruction
[Level 21]
Hii nini tena?
 
Ndiyo ccm ni makini. Lakini umakini wake siyo inteligent bali cunny.
 
Kama ilivyokuwa katika thread yako ya kilimo tupatie source ya utafiti wako, hapa hadanganyiki mtu.
 
Back
Top Bottom