Xuma
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 683
- 196
Nimekuwa nikitumiwa haya matext meseji na na hawa mafisadi. Kama kuna mtu anaweza kustop hii kitu anisaidie.
ETI...
Tanzania ni kisiwa cha amani.Tunaamini KIKWETE kwa kushirikiana na wananchi wa dini zote Mungu anakwenda kuijalia nchi hii kuwa pia kisiwa cha neema.
ETI...
Tanzania ni kisiwa cha amani.Tunaamini KIKWETE kwa kushirikiana na wananchi wa dini zote Mungu anakwenda kuijalia nchi hii kuwa pia kisiwa cha neema.