Wanafunzi wanaposoma katika mazingira magumu kwa kukosa madawati hawawezi kuelewa soma, shule nyingi nchini zina upungufu wa madawati kutokana na ruzuku ndogo katika sekta hiyo. Picha na Mtandao.
Nahisi 2015 watanunua ndege,helikopta na nyambizi za kutuliza ghasia bila kusahau vile wanavyoita "kitu kizito"hiki ndicho chama twawala bwana!wana msemo wao "kupanga ni kuchagua"wamechagua kuwapa mama wajawazito bajaj huku wao wakitumia ndege za chini,walichagua umma ule nyasi lakini mkuu wa kaya apate ndege ya kifahari,wamechagua kuwaua wote wanaohatarisha uwepo wao madarakani kuliko wao kuondoka,wamechagua kuwaua wezi wa kuku lakini wale wanaokwapua mabilioni wanawaomba warudishe yaishe.Kupanga ni kuchagu ndugu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.