KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Kwakitendo kilichofanyika Mara hiyo ni ishara ya kuichoka CCM hivyo Nape anayokazi kubwa labda uanze kuwapa pesa watanzania kwani ndilo tatizo la msingi!!Hiyo ni endiketa kwa mkoa mzima mjipange Nguvu ya umma inakuja CCM siyo chaghuo la wana mara hizo ndiyo salamu zangu!