CCM hatarini: Wafuasi wa Lowassa, Chenge wapanga kuipasua

sulphadoxine

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
2,257
644
Waandaa kuleta vurugu kikao kijacho cha NEC. Wala njama kuzuia wafadhili wao wasing'olewe

BAADHI ya wenyeviti wa mikoa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamepanga kuleta vurugu kubwa kwenye kikao cha mwezi ujao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho (NEC) ili kuzuia Waziri Mkuu wa zamani aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond, Edward Lowassa, pamoja na waziri wa zamani, Andrew Chenge, wasing'olewe kwenye chama.

Wenyeviti hao wa CCM na wajumbe wengine wa NEC wamepangwa kusimama kwenye kikao hicho cha Septemba na kupingana na uamuzi wa chama hicho wa kuwataka wanasiasa wenye tuhuma za ufisadi kujiuzulu wao wenyewe kwenye nafasi za uongozi kabla ya kusubiri kufukuzwa.

Kundi hilo la wajumbe wa NEC, wakiwemo wengine kutoka Tanzania bara na Zanzibar, limepangwa ili kujaribu kuleta mapinduzi haramu ndani ya chama katika jitihada za kuzuia wanasiasa hao wasifukuzwe.

Genge hili la wajumbe wa NEC limeapa kuwa haliko tayari hata kidogo kuona "wafadhili" wao wanatimuliwa kwenye chama.
 
  • Waandaa kuleta vurugu kikao kijacho cha NEC
  • Wala njama kuzuia wafadhili wao wasing'olewe

BAADHI ya wenyeviti wa mikoa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamepanga kuleta vurugu kubwa kwenye kikao cha mwezi ujao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho (NEC) ili kuzuia Waziri Mkuu wa zamani aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond, Edward Lowassa, pamoja na waziri wa zamani, Andrew Chenge, wasing'olewe kwenye chama.

Wenyeviti hao wa CCM na wajumbe wengine wa NEC wamepangwa kusimama kwenye kikao hicho cha Septemba na kupingana na uamuzi wa chama hicho wa kuwataka wanasiasa wenye tuhuma za ufisadi kujiuzulu wao wenyewe kwenye nafasi za uongozi kabla ya kusubiri kufukuzwa.

Kundi hilo la wajumbe wa NEC, wakiwemo wengine kutoka Tanzania bara na Zanzibar, limepangwa ili kujaribu kuleta mapinduzi haramu ndani ya chama katika jitihada za kuzuia wanasiasa hao wasifukuzwe.

Genge hili la wajumbe wa NEC limeapa kuwa haliko tayari hata kidogo kuona "wafadhili" wao wanatimuliwa kwenye chama.


Washauri wafanye ziara Afrika Kusini wakapate uzoefu jinsi kundi la Zuma lilivyoangusha kundi la Thabo Mbeki. BWT Katiba ya chama inawalinda wakifanya hivyo?
 
<ul><li><font color="#0000cd"><i><span style="font-family: georgia"><font size="4">Waandaa kuleta vurugu kikao kijacho cha NEC<br />
</font></span></i></font></li><li><font color="#0000cd"><span style="font-family: times new roman"><font size="4"><span style="font-family: Times New Roman"><i><span style="font-family: georgia"> Wala njama kuzuia wafadhili wao wasing'olewe </span></i><br />
</span></font></span></font></li></ul><font color="#000080"><span style="font-family: times new roman"><font size="4"><span style="font-family: Times New Roman"><span style="font-family: courier new"><br />
</span><span style="font-family: Times New Roman"><span style="font-family: courier new">BAADHI ya wenyeviti wa mikoa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamepanga kuleta vurugu kubwa kwenye kikao cha mwezi ujao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho (NEC) ili kuzuia Waziri Mkuu wa zamani aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond, Edward Lowassa, pamoja na waziri wa zamani, Andrew Chenge, wasing'olewe kwenye chama.<br />
<br />
Wenyeviti hao wa CCM na wajumbe wengine wa NEC wamepangwa kusimama kwenye kikao hicho cha Septemba na kupingana na uamuzi wa chama hicho wa kuwataka wanasiasa wenye tuhuma za ufisadi kujiuzulu wao wenyewe kwenye nafasi za uongozi kabla ya kusubiri kufukuzwa.<br />
<br />
Kundi hilo la wajumbe wa NEC, wakiwemo wengine kutoka Tanzania bara na Zanzibar, limepangwa ili kujaribu kuleta mapinduzi haramu ndani ya chama katika jitihada za kuzuia wanasiasa hao wasifukuzwe.<br />
<br />
Genge hili la wajumbe wa NEC limeapa kuwa haliko tayari hata kidogo kuona &quot;wafadhili&quot; wao wanatimuliwa kwenye chama.</span><br />
</span></span></font></span></font>
<br />
<br />
source.......
 
Sioni ni kwa vipi CCM inaweza kuzuia huu mpasuko unaowatizama? Labda kwa nguvu za majini, tena majini yenye nguvu za kipekee na hata hivyo yawezekana yasifue dafu. Mambo ni mazito kweli kweli, Zuma inaweza kabisa kuwa cha mtoto, and I bet my bottom dollar mfumo wa chama kushika hatamu utafutika kabisa by 2012 (latest).
 
hawana cha kupasua wala nini... ni uleule unafiki wa kisiasa

leo utasikia haya, kesho utasikia yale

to me, sio tofauti ya magamba, CCM, NEC wala CC

Nataka dawa, maji, umeme, nishati, elimu, kilimo nk
 
Mpasuko haukuanza leo! Muasisi wa mpasuko huo na muathirika mkuu ni Jakaya Kikwete!
Hana uwezo wa kuuzuia,kilichobaki ni huruma ya wajumbe hao tu!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Watajijua wenyewe namagamba yao waendelee kupasuka zaidi maana wote ni majizi mpaka wamefikia hatua ya kushirikiana na wanajeshi(Shimbo) kuiba mipesa yetu,viongozi wa nchi hii walioko madarakani wanakera sana
 
Sioni ni kwa vipi CCM inaweza kuzuia huu mpasuko unaowatizama? Labda kwa nguvu za majini, tena majini yenye nguvu za kipekee na hata hivyo yawezekana yasifue dafu. Mambo ni mazito kweli kweli, Zuma inaweza kabisa kuwa cha mtoto, and I bet my bottom dollar mfumo wa chama kushika hatamu utafutika kabisa by 2012 (latest).

Tanzania tuna mikoa 25; ukuzungumza wenyeviti wa mikoa unazungumzia watu 25 kati ya wanachama wapatao 4000. Hakuna mpasuko wowote ni hofu tuu ya kuwakosa watu waliozoeleka kwenye kundi
 
Sioni ni kwa vipi CCM inaweza kuzuia huu mpasuko unaowatizama? Labda kwa nguvu za majini, tena majini yenye nguvu za kipekee na hata hivyo yawezekana yasifue dafu. Mambo ni mazito kweli kweli, Zuma inaweza kabisa kuwa cha mtoto, and I bet my bottom dollar mfumo wa chama kushika hatamu utafutika kabisa by 2012 (latest).
Mkuu, CCM hivi sasa mpasuko hauwatazami bali imeshapasuka na kugawanyika vipande vingi sana. Kama ukiamua kuhesabu factions zote zuilizotokana na mpasuko huo, unaweza kumaliza vidole vya mikono na miguu na bado ukawa haujamaliza makundi yaliyotokana na CCM. Kuna baadhi ya watu hivi sasa tunapata matatizo sana kujua ni kipi hasa kinamaanishwa mtu anapotaja CCM
 
  • Waandaa kuleta vurugu kikao kijacho cha NEC
  • Wala njama kuzuia wafadhili wao wasing'olewe

BAADHI ya wenyeviti wa mikoa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamepanga kuleta vurugu kubwa kwenye kikao cha mwezi ujao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho (NEC) ili kuzuia Waziri Mkuu wa zamani aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond, Edward Lowassa, pamoja na waziri wa zamani, Andrew Chenge, wasing'olewe kwenye chama.

Wenyeviti hao wa CCM na wajumbe wengine wa NEC wamepangwa kusimama kwenye kikao hicho cha Septemba na kupingana na uamuzi wa chama hicho wa kuwataka wanasiasa wenye tuhuma za ufisadi kujiuzulu wao wenyewe kwenye nafasi za uongozi kabla ya kusubiri kufukuzwa.

Kundi hilo la wajumbe wa NEC, wakiwemo wengine kutoka Tanzania bara na Zanzibar, limepangwa ili kujaribu kuleta mapinduzi haramu ndani ya chama katika jitihada za kuzuia wanasiasa hao wasifukuzwe.

Genge hili la wajumbe wa NEC limeapa kuwa haliko tayari hata kidogo kuona "wafadhili" wao wanatimuliwa kwenye chama.


adui muombee njaa!
 
Tanzania tuna mikoa 25; ukuzungumza wenyeviti wa mikoa unazungumzia watu 25 kati ya wanachama wapatao 4000. Hakuna mpasuko wowote ni hofu tuu ya kuwakosa watu waliozoeleka kwenye kundi

@Vincent, I wish ningekuwa optimistic kama wewe hapo kwenye red. Subiri uchaguzi wa mwenyekiti 2012 ndio utaona uwekezaji wa 15 (15yrs) unalipa vipi.
 
Mimi changu ni kicheko tuuuuuuuuuuuuuuu.Magamba kwishneyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Kwa wenyeviti wa aina ya Mgeja, Guninita, Jah People na wengine kadhaa hiyo hainishangazi. Lakini wajue kwamba kuna wenyeviti wenye akili timamu, uwezo wa kujenga hoja na ushawishi kama vile Makongoro Nyerere ambao hawatakuwa tayari kuona mafisadi wakiendelea kukivuruga chama na kukitia matopeni.

Kwa ujumla karibu la sahau la mafisadi lilishaandikwa na sasa hivi jitihada zao ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
 
Kwani wenye viti wa mikoa wana madaraka kuwashinda wajumbe wa cc?wakifanya ujinga hao 25 si wanafukuzwa tu kwa nini wapinge maamuzi ya cc ya magamba?je hivi sasa magamba hawana mpasuko?
 
Tanzania tuna mikoa 25; ukuzungumza wenyeviti wa mikoa unazungumzia watu 25 kati ya wanachama wapatao 4000. Hakuna mpasuko wowote ni hofu tuu ya kuwakosa watu waliozoeleka kwenye kundi
Usicheze na kiongozi wewe, mwenyekiti ni mmoja JK lakini akisema mguu pande wanachama wote mil.4 mnatii mguu sawa mbele tembea mnakwenda unacheza nini.
 
Kwa wenyeviti wa aina ya Mgeja, Guninita, Jah People na wengine kadhaa hiyo hainishangazi. Lakini wajue kwamba kuna wenyeviti wenye akili timamu, uwezo wa kujenga hoja na ushawishi kama vile Makongoro Nyerere ambao hawatakuwa tayari kuona mafisadi wakiendelea kukivuruga chama na kukitia matopeni. Kwa ujumla karibu la sahau la mafisadi lilishaandikwa na sasa hivi jitihada zao ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Don't try to please yourselves mechi ndio inataka kuanza haijaisha kama unavyosema.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom