Ccm hapa mwanzo mwisho

MAKUNDA

Senior Member
Apr 5, 2012
115
39
CCM hii siyo siri kuwa kwa sasa tumechafuka na tumechafuka kweli ukikataa kataa lakini ukweli ndio huo. Katika hali yoyote ya kuchafuka dawa huwa ni kufua au kuoga. Sasa hapa ni kuamua kusuka au kunyoa kosa moja litakigharimu chama kwa kiasi ambacho hatutakuja kusahau. Ni wakati wa uchaguzi ndani ya Chama, huu ndiyo wakati wa kuuonyesha umma wa watanzania kuwa nanyi mmechoshwa na uozo uliomo ndani ya chama.
Ukipita kila kona utakuta watu wako kwenye harakati za kupanga safu ya viongozi kuanzia viongozi wa mashina, wa matawi hadi kata lengo ni kupata wajumbe wa kuwapigia kura katika nafasi mbalimbali za wilaya, mkoa na taifa katika chama. Katika harakati hizi ni wazi hata hao wanaojulikana kuwa mafisadi wanajipanga vikali kuliko watu wengine. Nilikuwa ninaongea na Jamaa yangu mmoja kutoka huko kwa wakina Nshomile kuwa Fisadi mzoefu Nazir Karamagi amejipanga vizuri kuingia NEC kwa mfumo huo huo wa kuwanunua wapiga kura, nimesikia pia kuwa EL huyo kaishafunga mahesabu Kabisa NEC ni yake tu. Huo ni mfano mdogo tu, lakini naomba niwataadharishe wana CCM umma wa watanzania unaangalia kila kinachofanyika, fahamu hili kila jina lililona kashifa ya ufisadi au tuhuma zozote likitumbukia katika nafasi yoyote ya Uongozi wa CCM jua hapo ndipo utakuwa mwanzo Mwisho wa CCM.
Hivi ni Mtanzania yupi ambaye utamwambia kuwa tumejisafisha wakati Karamagi, LOWASSA,NGEREJA,MALIMA,na watu wengine wa aina hiyo ni wajumbe wa NEC? Watu wa namna hiyo watoswe la sivyo matokeo ya hukumu ya nguvu ya Umma tutayaona.
 
wacha wafu wazike wafu wao. peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
 
CCM hii siyo siri kuwa kwa sasa tumechafuka na tumechafuka kweli ukikataa kataa lakini ukweli ndio huo. Katika hali yoyote ya kuchafuka dawa huwa ni kufua au kuoga. Sasa hapa ni kuamua kusuka au kunyoa kosa moja litakigharimu chama kwa kiasi ambacho hatutakuja kusahau. Ni wakati wa uchaguzi ndani ya Chama, huu ndiyo wakati wa kuuonyesha umma wa watanzania kuwa nanyi mmechoshwa na uozo uliomo ndani ya chama.
Ukipita kila kona utakuta watu wako kwenye harakati za kupanga safu ya viongozi kuanzia viongozi wa mashina, wa matawi hadi kata lengo ni kupata wajumbe wa kuwapigia kura katika nafasi mbalimbali za wilaya, mkoa na taifa katika chama. Katika harakati hizi ni wazi hata hao wanaojulikana kuwa mafisadi wanajipanga vikali kuliko watu wengine. Nilikuwa ninaongea na Jamaa yangu mmoja kutoka huko kwa wakina Nshomile kuwa Fisadi mzoefu Nazir Karamagi amejipanga vizuri kuingia NEC kwa mfumo huo huo wa kuwanunua wapiga kura, nimesikia pia kuwa EL huyo kaishafunga mahesabu Kabisa NEC ni yake tu. Huo ni mfano mdogo tu, lakini naomba niwataadharishe wana CCM umma wa watanzania unaangalia kila kinachofanyika, fahamu hili kila jina lililona kashifa ya ufisadi au tuhuma zozote likitumbukia katika nafasi yoyote ya Uongozi wa CCM jua hapo ndipo utakuwa mwanzo Mwisho wa CCM.
Hivi ni Mtanzania yupi ambaye utamwambia kuwa tumejisafisha wakati Karamagi, LOWASSA,NGEREJA,MALIMA,na watu wengine wa aina hiyo ni wajumbe wa NEC? Watu wa namna hiyo watoswe la sivyo matokeo ya hukumu ya nguvu ya Umma tutayaona.

Umefanya vema kusoma risala, nadhani hujui aliyekaa kwenye kile kiti unayemsomea risala ni maiti(ccm) kwa hiyo hasikiiii!!!!!!!
 
CCM hii siyo siri kuwa kwa sasa tumechafuka na tumechafuka kweli ukikataa kataa lakini ukweli ndio huo. Katika hali yoyote ya kuchafuka dawa huwa ni kufua au kuoga. Sasa hapa ni kuamua kusuka au kunyoa kosa moja litakigharimu chama kwa kiasi ambacho hatutakuja kusahau. Ni wakati wa uchaguzi ndani ya Chama, huu ndiyo wakati wa kuuonyesha umma wa watanzania kuwa nanyi mmechoshwa na uozo uliomo ndani ya chama.
Ukipita kila kona utakuta watu wako kwenye harakati za kupanga safu ya viongozi kuanzia viongozi wa mashina, wa matawi hadi kata lengo ni kupata wajumbe wa kuwapigia kura katika nafasi mbalimbali za wilaya, mkoa na taifa katika chama. Katika harakati hizi ni wazi hata hao wanaojulikana kuwa mafisadi wanajipanga vikali kuliko watu wengine. Nilikuwa ninaongea na Jamaa yangu mmoja kutoka huko kwa wakina Nshomile kuwa Fisadi mzoefu Nazir Karamagi amejipanga vizuri kuingia NEC kwa mfumo huo huo wa kuwanunua wapiga kura, nimesikia pia kuwa EL huyo kaishafunga mahesabu Kabisa NEC ni yake tu. Huo ni mfano mdogo tu, lakini naomba niwataadharishe wana CCM umma wa watanzania unaangalia kila kinachofanyika, fahamu hili kila jina lililona kashifa ya ufisadi au tuhuma zozote likitumbukia katika nafasi yoyote ya Uongozi wa CCM jua hapo ndipo utakuwa mwanzo Mwisho wa CCM.
Hivi ni Mtanzania yupi ambaye utamwambia kuwa tumejisafisha wakati Karamagi, LOWASSA,NGEREJA,MALIMA,na watu wengine wa aina hiyo ni wajumbe wa NEC? Watu wa namna hiyo watoswe la sivyo matokeo ya hukumu ya nguvu ya Umma tutayaona.

Bado unafanya nini huko?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom