:A S 13:
baada ya miaka 15 kila mtoto hapo ana haki ya kupiga kura.
Lazima pachimbike,ccm ya akina lusinde tukaneni,chadema ya mbowe ina tayarisha vijana na huu ndio msemo wa watoto ni vijana wa kesho.watake wasitake haki ya mungu wanaondoka.lazima hii inamfanya kikwete na watu wake waogope we are looking 4 the future of our tanzania.god bless tanzania.inshalah