Getwa Anicet Ally
Member
- Jan 13, 2012
- 46
- 11
Kutokana na viongozi karibu wote wa CCM wilaya ya Kilindi kutoka katika kanda moja inayohusisha kata za Mkindi, Msente na Mswaki maeneo ambayo kijiografia yapo karibu na Handeni na ambayo hayana idadi kubwa ya watu na kuziacha kata za Kibirashi, Songe, Kwediboma, Kikunde, Kwekivu na maeneo mengine muhimu baadhi ya wananchi wanasema ni mwanzo wa upinzani kuwa na nguvu wilaya ya Kilindi.
Hali hiyo inachangiwa na kampeni inayofanywa na mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Kilindi bw. 'Kabwe' na katibu wake maeneo mbali mbali ya wilaya.
Viongozi hawa wapo katika mchakato wa kukieneza chama katika vijiji na kata mbali mbali za wilaya hii.
Hali hiyo inachangiwa na kampeni inayofanywa na mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Kilindi bw. 'Kabwe' na katibu wake maeneo mbali mbali ya wilaya.
Viongozi hawa wapo katika mchakato wa kukieneza chama katika vijiji na kata mbali mbali za wilaya hii.