CCM Chama cha kuhurumiwa kweli. Kila wanachosema kinakuwa na mapungufu mengi yanayoonekana wazi hata kwa wanafunzi wa chekechea. Waziri Mkuu Mizengo Pinda, jana Bungeni analalamika kuwa wanashindwa kufanya shughuli za maendeleo kwa sababu ya CHADEMA. Naomba CHADEMA ENDELEENI. MKIKAA KIMYA CCM WANAWACHONGEA KWA WANANCHI ETI VYAMA VYA UPINZANI NI VYA MUSIMU. MKIWABANA WANASEMA MNAWANYIMA USINGIZI.... PINDA HAKUFIKIRI VIZURI WAKATI WA KUTOA KAULI HIYO KAMA ILIVYO JADI YA CCM KUKURUPUKA WANAPOTAKA KUSEMA/KUTOA TAMKO