Landson Tz
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 295
- 221
Ukifikiria ujumbe ulioletwa hapa na hali halisi nina uhakika unashikwa na tumbo la kuharisha. Anza kutafuta kazi nyingine ya kufanya kuanzia 2015, serikali ijayo haitahitaji walamba viatu ili wapate mkate wao.
Ni kweli kabisa dalili za ccm kutotaka kuachia ikulu zinaonekana wazi tangu mwaka 2000, ila dawa 2015 ni kama Kenya, kuonewa kuna kikomo!