CCM haina nia ya kuboresha maisha watanzania kwa mwendo inawatumia tu.....

VIKWAZO

JF-Expert Member
Apr 9, 2011
1,899
580
View attachment 33600
  1. kama wajumbe wa nyumba kumi kikwete amewakalisha chini kwenye ukumbi wa kifahali ni dalili kwamba watoto wa shule wasahau madwati, ccm haioni kama ili ni tatizo , wajumbe hao na heshima zao na kuacha shunguli zao wamekalisha chini shule itakuwa je? badala ya kukodi ubungo plaza kwa nini wasinge kodi ukumbi nafuu au kufanyia kwenye uwanja wa wazi na kuwakodishi hao wajumbe vitu hata kuwapa heshima yao kama watu , hii ni dharahu kwa wanachama na wananchi kwa ujumla
  2. CCM wanameweza kuwapatia hao wajumbe nguo na kofia zenye nembo ya ccm kama matangazo yao mitaa, lakini wanatembea peku, ghalama ya kununua hizo kofia zingetosha kuwa nunulia viatu hao wajumbe, hao wajumbe wanafanya kazi nzuri sana ya chama lakini wanaishi katika mazingira duni kama haya sisi na hapo wako mbele ya mwenyekiti wao taifa lakini hakuona kama hilo ni tatizo pia, vipaumbe vya ccm sio kwa maslahi ya wengi au wananchi ni kwa manufaa ya walio juu, hawa wajumbe wana haki mbaya wangepashwa kulipwa posho kiasi furani lakini NAPE na wenzie kwenye kamati kuu wanatumia magari ya kifahari na ulinzi na mishahara minono,
  3. Kikwete na viongozi wa ccm kwa ujumla wanaona kama wananchi tumelidhika/vipofu na hii hali na ndio maana anajeuri ya kuwakalisha hapo chini na kuwavunjia heshima
  4. Natoa rai kwa wasomi na wenye upeo wakuelewa mambo sasa ni wakati wa kulaani kila baya linalofanywa katika jamii yetu bila kujali chama wa rangi
 
kinacho nishangaza mimi, pale mtu na akili zake anaamua gombea nafasi ya uongozi, ili wagomboe watanzania katika lindi la umasikini au kama wenyewe wanavyo dai maisha bora kwa wote halafumtu huyo huyo anashindwa kuwapatia umeme wa uhakika watu hao ili waboreshe shughuli zao za kiuchumi, je hayo maisha bora yata dondoka kama manna.?
 
View attachment 33600
  1. kama wajumbe wa nyumba kumi kikwete amewakalisha chini kwenye ukumbi wa kifahali ni dalili kwamba watoto wa shule wasahau madwati, ccm haioni kama ili ni tatizo , wajumbe hao na heshima zao na kuacha shunguli zao wamekalisha chini shule itakuwa je? badala ya kukodi ubungo plaza kwa nini wasinge kodi ukumbi nafuu au kufanyia kwenye uwanja wa wazi na kuwakodishi hao wajumbe vitu hata kuwapa heshima yao kama watu , hii ni dharahu kwa wanachama na wananchi kwa ujumla
  2. CCM wanameweza kuwapatia hao wajumbe nguo na kofia zenye nembo ya ccm kama matangazo yao mitaa, lakini wanatembea peku, ghalama ya kununua hizo kofia zingetosha kuwa nunulia viatu hao wajumbe, hao wajumbe wanafanya kazi nzuri sana ya chama lakini wanaishi katika mazingira duni kama haya sisi na hapo wako mbele ya mwenyekiti wao taifa lakini hakuona kama hilo ni tatizo pia, vipaumbe vya ccm sio kwa maslahi ya wengi au wananchi ni kwa manufaa ya walio juu, hawa wajumbe wana haki mbaya wangepashwa kulipwa posho kiasi furani lakini NAPE na wenzie kwenye kamati kuu wanatumia magari ya kifahari na ulinzi na mishahara minono,
  3. Kikwete na viongozi wa ccm kwa ujumla wanaona kama wananchi tumelidhika/vipofu na hii hali na ndio maana anajeuri ya kuwakalisha hapo chini na kuwavunjia heshima
  4. Natoa rai kwa wasomi na wenye upeo wakuelewa mambo sasa ni wakati wa kulaani kila baya linalofanywa katika jamii yetu bila kujali chama wa rangi

si unaona wengine wameshika tama hapo nyumbani hawajaacha kitu na hapo wasipopewa chochote basi siku ya leo itakuwa balaa. wengine naona wameshika tama sijui wanasikitikia bei za vitu sasa hivi? naona sasa mambo ya kuongea na wananchi haiwezekeani imebaki wazee wa ccm na wazee wa dar es salaam.
 
WANADAMU WANAFURAHIA KUTAWALA WANADAMU WENZI WAO.
Lakini ukisoma Biblia (Mwanzo 1:28b), imeandikwa, "mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi"
 
View attachment 33600
  1. kama wajumbe wa nyumba kumi kikwete amewakalisha chini kwenye ukumbi wa kifahali ni dalili kwamba watoto wa shule wasahau madwati, ccm haioni kama ili ni tatizo , wajumbe hao na heshima zao na kuacha shunguli zao wamekalisha chini shule itakuwa je? badala ya kukodi ubungo plaza kwa nini wasinge kodi ukumbi nafuu au kufanyia kwenye uwanja wa wazi na kuwakodishi hao wajumbe vitu hata kuwapa heshima yao kama watu , hii ni dharahu kwa wanachama na wananchi kwa ujumla
  2. CCM wanameweza kuwapatia hao wajumbe nguo na kofia zenye nembo ya ccm kama matangazo yao mitaa, lakini wanatembea peku, ghalama ya kununua hizo kofia zingetosha kuwa nunulia viatu hao wajumbe, hao wajumbe wanafanya kazi nzuri sana ya chama lakini wanaishi katika mazingira duni kama haya sisi na hapo wako mbele ya mwenyekiti wao taifa lakini hakuona kama hilo ni tatizo pia, vipaumbe vya ccm sio kwa maslahi ya wengi au wananchi ni kwa manufaa ya walio juu, hawa wajumbe wana haki mbaya wangepashwa kulipwa posho kiasi furani lakini NAPE na wenzie kwenye kamati kuu wanatumia magari ya kifahari na ulinzi na mishahara minono,
  3. Kikwete na viongozi wa ccm kwa ujumla wanaona kama wananchi tumelidhika/vipofu na hii hali na ndio maana anajeuri ya kuwakalisha hapo chini na kuwavunjia heshima
  4. Natoa rai kwa wasomi na wenye upeo wakuelewa mambo sasa ni wakati wa kulaani kila baya linalofanywa katika jamii yetu bila kujali chama wa rangi
use your loaf
 
nilikutana nao mida ya saa nane nilipita pale ubungo plazza maskini wamechooka wanakimbilia kule nyuma kwenye parking kuomba lift kwa wenye magari yaani no descipline huyu karuka huku huyu kamwita fulani basi fujo mtindo mmoja. CCM ishapitwa na wakati haiwezi kutupeleka kokote kwenye mafanikio
 
View attachment 33600
  1. kama wajumbe wa nyumba kumi kikwete amewakalisha chini kwenye ukumbi wa kifahali ni dalili kwamba watoto wa shule wasahau madwati, ccm haioni kama ili ni tatizo , wajumbe hao na heshima zao na kuacha shunguli zao wamekalisha chini shule itakuwa je? badala ya kukodi ubungo plaza kwa nini wasinge kodi ukumbi nafuu au kufanyia kwenye uwanja wa wazi na kuwakodishi hao wajumbe vitu hata kuwapa heshima yao kama watu , hii ni dharahu kwa wanachama na wananchi kwa ujumla
  2. CCM wanameweza kuwapatia hao wajumbe nguo na kofia zenye nembo ya ccm kama matangazo yao mitaa, lakini wanatembea peku, ghalama ya kununua hizo kofia zingetosha kuwa nunulia viatu hao wajumbe, hao wajumbe wanafanya kazi nzuri sana ya chama lakini wanaishi katika mazingira duni kama haya sisi na hapo wako mbele ya mwenyekiti wao taifa lakini hakuona kama hilo ni tatizo pia, vipaumbe vya ccm sio kwa maslahi ya wengi au wananchi ni kwa manufaa ya walio juu, hawa wajumbe wana haki mbaya wangepashwa kulipwa posho kiasi furani lakini NAPE na wenzie kwenye kamati kuu wanatumia magari ya kifahari na ulinzi na mishahara minono,
  3. Kikwete na viongozi wa ccm kwa ujumla wanaona kama wananchi tumelidhika/vipofu na hii hali na ndio maana anajeuri ya kuwakalisha hapo chini na kuwavunjia heshima
  4. Natoa rai kwa wasomi na wenye upeo wakuelewa mambo sasa ni wakati wa kulaani kila baya linalofanywa katika jamii yetu bila kujali chama wa rangi
Hivi huyo aliokaa mbele ya magamba wenzake ni nani?
 
Hivi huyo aliokaa mbele ya magamba wenzake ni nani?

hao ni wana usalama wa mkuu naona hata yeye ana imani nao kabisa wanaweza kumrukia
ina wana hali mbaya na hapo ni dar
mimi hii picha imeniumiza kichwa sana kwa nini hizo kofia wasiwape viatu?
 
Jamani hata viatu hawana hawa watu .Yaani hawa ni masikini wa mali na hali .Pole zao hawa wana wenye akili finyu .
 
Jamani hata viatu hawana hawa watu .Yaani hawa ni masikini wa mali na hali .Pole zao hawa wana wenye akili finyu .

ccm wanasema kila mwanafunzi hata kaa kwenye dawati wakipewa pesa za RADA harafu wao wanamefanya kikao kwenye ukumbi wa kifahari bila viti wala viatu.
 
Anaongea nini muhishimiwa wakati tuanshuhudia vitu vimepanda be, umeme ndo hivyo tatizo. mi nadhani tufike kipindi viongozi tuone hata aibu jamani haya matatizo wanayopata watz. yahani haya matatizo wenzetu wanaona powa tu, du CCM kweli mpumuzike sasa jamani
 
hao ni wana usalama wa mkuu naona hata yeye ana imani nao kabisa wanaweza kumrukiaina wana hali mbaya na hapo ni dar mimi hii picha imeniumiza kichwa sana kwa nini hizo kofia wasiwape viatu?
Mkuu,huyo mwana usalama mbona afya mgogoro anaweza kweli kupambana na magaidi?
 
Mkuu,huyo mwana usalama mbona afya mgogoro anaweza kweli kupambana na magaidi?

hahahaha ni sehemu ya ajira million moja za ilani ya uchaguzi mlinzi anakaa chini au kasimama katika kihivyo
 
Back
Top Bottom