VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,899
- 580
View attachment 33600
- kama wajumbe wa nyumba kumi kikwete amewakalisha chini kwenye ukumbi wa kifahali ni dalili kwamba watoto wa shule wasahau madwati, ccm haioni kama ili ni tatizo , wajumbe hao na heshima zao na kuacha shunguli zao wamekalisha chini shule itakuwa je? badala ya kukodi ubungo plaza kwa nini wasinge kodi ukumbi nafuu au kufanyia kwenye uwanja wa wazi na kuwakodishi hao wajumbe vitu hata kuwapa heshima yao kama watu , hii ni dharahu kwa wanachama na wananchi kwa ujumla
- CCM wanameweza kuwapatia hao wajumbe nguo na kofia zenye nembo ya ccm kama matangazo yao mitaa, lakini wanatembea peku, ghalama ya kununua hizo kofia zingetosha kuwa nunulia viatu hao wajumbe, hao wajumbe wanafanya kazi nzuri sana ya chama lakini wanaishi katika mazingira duni kama haya sisi na hapo wako mbele ya mwenyekiti wao taifa lakini hakuona kama hilo ni tatizo pia, vipaumbe vya ccm sio kwa maslahi ya wengi au wananchi ni kwa manufaa ya walio juu, hawa wajumbe wana haki mbaya wangepashwa kulipwa posho kiasi furani lakini NAPE na wenzie kwenye kamati kuu wanatumia magari ya kifahari na ulinzi na mishahara minono,
- Kikwete na viongozi wa ccm kwa ujumla wanaona kama wananchi tumelidhika/vipofu na hii hali na ndio maana anajeuri ya kuwakalisha hapo chini na kuwavunjia heshima
- Natoa rai kwa wasomi na wenye upeo wakuelewa mambo sasa ni wakati wa kulaani kila baya linalofanywa katika jamii yetu bila kujali chama wa rangi