MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Ijulikane kabisa kwanza hapa natoa maoni yangu kwa jinsi ninavyo ona hali halisi. Najua kuna watakao pina na watakao kubaliana na mimi. Either way huu ni mtsxsmo wangu.
Tatizo kubwa ambalo tunalo nchini ni kwamba tuna chama kimoja chenye nguvu (the hegemonic party) na vyama vingine ambavyo vina sindikiza. Kwa maana hiyo Kila wakati ina julikana CCM ndiyo itachukua nafasi ya kwanza na vyama vingine vita gombania nafasi zilizo baki (uipende au uichukie CCM huu ndiyo ukweli). Kwa hiyo kunge kua na chama walau kimoja tu chenye uwezo wa kushika serikali basi mambo yasinge kua kama yalivyo.
Ni ukweli usio pingika kwamba mtu anapo ona ana mpinzani mwenye uwezo wa kumshinda basi anaongeza bidii. Ni kama mbio vile. Kama mkimbiaje ana jua ana mpinzani ambae anaweza kumshinda basi anaongeza bidii na hapunguzi mwendo. kama hamna mpinzani basi hata spidi ya ukimbiaji wake uta pungua. Kama CCM haina mpinzani ina maana gani wao kuji kimbiza na kuji chosha? This is a challenge to the opposition.
Pia ni hali ya ubinadamu kwamba mtu akiwa na mafanikio sana na akijua hana mpinzani basi ana kua na aconfidence fulani. Hii hali utaiona kwenye kila mtu mwenye mafanikio makubwa. tatizo ni kwamba kuna msitari mwembamba sana kati ya kujiamini na kujisikia. Labda kujiamini kwa CCm sasa kumekua kujisikia. Lina rudi pale pale kwamba hawana mpinzani.
Wengi wata lalamika humu ndani kwamba CCM ina tumia faulo, upinzani unaonewa nk. Ukweli ni kwamba vyama vya upinzani ni power contenders dhidi ya CCM. Tokea lini ukaona mtu anamsaidia mpinzani wake kushinda? Hapa nataka upinzani tu wajua kwamba mafanikio yao yata tegemea sana na juhudi zao binafsi lakini kama ni kusubiria mpinzani wao awa saidie basi wata subiri mpaka kesho.
Narudia tena. Tanzania ina hitaji walau vyama viwili vyenye uwezo wa kushindana na kupokeana madaraka (Kama vile Democrats na Republicans Marekani) na siyo chama kimoja chenye nguvu na msuluhu wa vyama visindikizaji.Ukiachana na ushabki wangu wa kichama nimekaa na kutafakari na kuona hili lita kua na manufaa makubwa kwa Taifa letu.
Tanzania ni nchi changa na jinsi tunavyo komaa vyama hovyo vita jifia na vyama vyenye nguvu vita baki.
Tatizo kubwa ambalo tunalo nchini ni kwamba tuna chama kimoja chenye nguvu (the hegemonic party) na vyama vingine ambavyo vina sindikiza. Kwa maana hiyo Kila wakati ina julikana CCM ndiyo itachukua nafasi ya kwanza na vyama vingine vita gombania nafasi zilizo baki (uipende au uichukie CCM huu ndiyo ukweli). Kwa hiyo kunge kua na chama walau kimoja tu chenye uwezo wa kushika serikali basi mambo yasinge kua kama yalivyo.
Ni ukweli usio pingika kwamba mtu anapo ona ana mpinzani mwenye uwezo wa kumshinda basi anaongeza bidii. Ni kama mbio vile. Kama mkimbiaje ana jua ana mpinzani ambae anaweza kumshinda basi anaongeza bidii na hapunguzi mwendo. kama hamna mpinzani basi hata spidi ya ukimbiaji wake uta pungua. Kama CCM haina mpinzani ina maana gani wao kuji kimbiza na kuji chosha? This is a challenge to the opposition.
Pia ni hali ya ubinadamu kwamba mtu akiwa na mafanikio sana na akijua hana mpinzani basi ana kua na aconfidence fulani. Hii hali utaiona kwenye kila mtu mwenye mafanikio makubwa. tatizo ni kwamba kuna msitari mwembamba sana kati ya kujiamini na kujisikia. Labda kujiamini kwa CCm sasa kumekua kujisikia. Lina rudi pale pale kwamba hawana mpinzani.
Wengi wata lalamika humu ndani kwamba CCM ina tumia faulo, upinzani unaonewa nk. Ukweli ni kwamba vyama vya upinzani ni power contenders dhidi ya CCM. Tokea lini ukaona mtu anamsaidia mpinzani wake kushinda? Hapa nataka upinzani tu wajua kwamba mafanikio yao yata tegemea sana na juhudi zao binafsi lakini kama ni kusubiria mpinzani wao awa saidie basi wata subiri mpaka kesho.
Narudia tena. Tanzania ina hitaji walau vyama viwili vyenye uwezo wa kushindana na kupokeana madaraka (Kama vile Democrats na Republicans Marekani) na siyo chama kimoja chenye nguvu na msuluhu wa vyama visindikizaji.Ukiachana na ushabki wangu wa kichama nimekaa na kutafakari na kuona hili lita kua na manufaa makubwa kwa Taifa letu.
Tanzania ni nchi changa na jinsi tunavyo komaa vyama hovyo vita jifia na vyama vyenye nguvu vita baki.