CCM Haina Mpinzani 2015!

Wewe utakuwa unaangalia upepo unavyokwenda humu JF
- Uhuru ungekuja tu hata kama ingekuwa chama gani
- Shule za kata, matokeo yake umeyaona mwaka huu?
- Kimezima mgomo wa madaktari baada ya watanzania wangapi kufa???
- Lami bado nchi nzima usidanganye watu.
- Kimefanikiwa kufisidi nchi
- Mikataba isiyokuwa na manufaa kwa nchi
- Kimeongeza umasikini nchini
- Richmond
Na mengine mengi, najua unayafahamu ila unatetea unga wako.

Mia kwa mia unachukua! Huyu jamaa amejaribu kuleta thread ambayo points zake alitumia kujibu civics paper akapata F,sasa anataka apime upepo humu JF,SASA NAMWAMBIA take another F and Don't reseat again.
 
Wewe utakuwa unaangalia upepo unavyokwenda humu JF
- Uhuru ungekuja tu hata kama ingekuwa chama gani
- Shule za kata, matokeo yake umeyaona mwaka huu?
- Kimezima mgomo wa madaktari baada ya watanzania wangapi kufa???
- Lami bado nchi nzima usidanganye watu.
- Kimefanikiwa kufisidi nchi
- Mikataba isiyokuwa na manufaa kwa nchi
- Kimeongeza umasikini nchini
- Richmond
Na mengine mengi, najua unayafahamu ila unatetea unga wako.

Mia kwa mia unachukua! Huyu jamaa amejaribu kuleta thread ambayo points zake alitumia kujibu civics paper akapata F,sasa anataka apime upepo humu JF,SASA NAMWAMBIA take another F and Don't reseat again.
 
Nakipongeza chama cha mapinduzi. Hiki ndicho chama chenye dola kwa nusu karne sasa. Kina uzoefu na uongozi katika taifa hili. Kwa kweli kimefanya mambo makubwa kwa taifa hili ambayo bila shaka yanafanya taifa zima likisifu kwa ushupavu wake na uongozi uliotukuka. miongoni mwa mambo yanayoashiria kurudi madarakani 2015 ni;
  • kimetupa uhuru.
  • kimeweka mazingira ya amani, upendo na mshikamano.
  • kimejenga barabara za lami nchi nzima.
  • kimejenga shule za kata nchi.
  • kimezima mgomo wa madaktari kwa uhodari wa hali ya juu.
  • kimejenga vyuo nchi nzima.
  • kimejenga mazingira ya ajira na kujiajiri nchi nzima.
  • kimekuza uchumi wa taifa zaidi ya % 7.
  • kimetoa viongozi imara na mashuhuri duniani.
  • kinasomesha wanafunzi vyuo vikuu.
Bila shaka watanzania tunajivunia hazina takatifu hii ambayo daima itaenziwa.

Hebu tafakari yafuatayo:

1) Uhuru ni haki ya kila mtu. Hivyo, ilikuwa lazima watanganyika wapate uhuru wao suala lilikuwa wakati upi. Rejea historia ya Mkutano wa Berlin 1884/5, athari ya Vita vya Kwanza vya Dunia na Vita Vya Pili vya Dunia.
2) Amani, upendo na Mshikamano. Una amani gani wakati vyombo vya Dola na Usalama vinatumika kubana, kuuwa watu wasio na hatia na kuchakachua matokeo ya uchaguzi. Upendo gani unapokuwa una viongozi ambayo wanatanguliza ubinafsi kuliko maslahi ya Watanzania? Fikiria ubadhirifu wa mali ya umma unafanywa na watu waliopewa dhamana. Kutokana na hayo mshikamano haupo bali kuna kundi la walionacho na wasionacho.
3) Kuhusu barabara- ndugu tembea. umefika Nkasi? Mpanda?Manyovu? Mwanhuzi? Karagwe? Sikonge? Baada ya miaka 50 pamoja na utajiri wa mali asili nchi ilitakiwa iwe mbali kweli kweli.
4) Shule za Kata. Angalia matokeo NACTE 2010 na 2011. Elimu si majengo tu? Fikiria sana.
5) Mgomo wa madaktari umeonyesha wazi kuwa watawala wetu ni watu wasiosikiliza watu na kutojali wanyonge wakiwemo wagonjwa. Watu wamekufa wengi kutokana na serikali kutowasikiliza watu wake.
6) Ajira- hapa naona umeongelea ushabiki zaidi kuliko hali halisi. Ajira kwa vijana wasiosoma na waliosoma ni jinamizi linalokuwa kila siku.
7) Uchumi- si kweli uchumi wetu unakuwa kwa 7%. Rejea BOT economic Policy reports.
 
Tumepata uhuru kabla ya kuzaliwa CCM hapo 77. Pengine hawana upinzani katika kuiba kura
 
179325_139287436132717_100001543839332_244427_300829_n.jpg
Mauaji ya raia Arusha.
ameiumiamkeslaa.jpg

6.JPG

MAITI.jpg

Mauaji ya Tarime
Untitled2.jpg


kunguru-weusi-washughulikiwa.jpg

Mauaji ya Pemba

Hawa mafisadi wana laana mpk wao wenyewe wanajijua!

Ila hakika siku zao zinahesabika flu!
 
Ha ha ha!kama jina lako lilivyo!we jibu unalijua!nahisi unataka kutukumbusha kuwa ccm kifo tayari maziko ni 2015
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom