ha ha ha
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 638
- 84
Nakipongeza chama cha mapinduzi. Hiki ndicho chama chenye dola kwa nusu karne sasa. Kina uzoefu na uongozi katika taifa hili. Kwa kweli kimefanya mambo makubwa kwa taifa hili ambayo bila shaka yanafanya taifa zima likisifu kwa ushupavu wake na uongozi uliotukuka. miongoni mwa mambo yanayoashiria kurudi madarakani 2015 ni;
- kimetupa uhuru.
- kimeweka mazingira ya amani, upendo na mshikamano.
- kimejenga barabara za lami nchi nzima.
- kimejenga shule za kata nchi.
- kimezima mgomo wa madaktari kwa uhodari wa hali ya juu.
- kimejenga vyuo nchi nzima.
- kimejenga mazingira ya ajira na kujiajiri nchi nzima.
- kimekuza uchumi wa taifa zaidi ya % 7.
- kimetoa viongozi imara na mashuhuri duniani.
- kinasomesha wanafunzi vyuo vikuu.