VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Ninayasema haya kwa uchungu.Haiwezekani kila jambo limuhusulo mtanzania likaamuliwa na CCM.Nchi hii haikufanya makosa kuweka utawala wa Ki-Urais na Ki-Ubunge unaolazimisha kuwepo kwa vyama vya kisiasa.Eti,Wabunge wa CCM ndio waamuzi wa lolote Bungeni Dodoma.Wakitaka wanafanya,wasipotaka wanagoma.
Sasa Wabunge hao wameuondoa Muswada wa Tume ya Katiba.Wanamtingishia kiberiti hata Mwenyekiti wao wa Taifa wa CCM ambaye pia ni Rais wa nchi hii.Party Supremacy again!! Wao pia ndio chanzo cha Madaktari kugoma kwakuwa ni walafi kupitiliza.Sheria na sera mbovu wanazipitisha kwa wingi wao Bungeni.Serikali kuu nayo ambayo inaongoza nchi nayo inafanya vile inavyotaka.Mwisho mwishoni tusije tukalaumiana.Pale tutakapothibitisha kuwa CCM haina hati miliki ya nchi hii.Kwa njia yoyote ile.Mimi nimekuwa wa kwanza kuchoka na kutangaza vita.....na umakini uwepo!
Sasa Wabunge hao wameuondoa Muswada wa Tume ya Katiba.Wanamtingishia kiberiti hata Mwenyekiti wao wa Taifa wa CCM ambaye pia ni Rais wa nchi hii.Party Supremacy again!! Wao pia ndio chanzo cha Madaktari kugoma kwakuwa ni walafi kupitiliza.Sheria na sera mbovu wanazipitisha kwa wingi wao Bungeni.Serikali kuu nayo ambayo inaongoza nchi nayo inafanya vile inavyotaka.Mwisho mwishoni tusije tukalaumiana.Pale tutakapothibitisha kuwa CCM haina hati miliki ya nchi hii.Kwa njia yoyote ile.Mimi nimekuwa wa kwanza kuchoka na kutangaza vita.....na umakini uwepo!