CCM haihusiki mauaji ya Tarime - Tambwe (Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Propaganda cha CCM)

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797
Wednesday, 01 June 2011 12:45 newsroom



NA MWANDISHI WETU
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeelezea kusikitishwa kwakwe na tuhuma zinazotolewa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Tundu Lissu kwamba imehusika katika mauaji ya wananchi katika mgodi wa Nyamongo, Tarime. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana, ilisema kuwa CCM haihusiki kwa namna yoyote na mauaji hayo na kwamba habari zilizoandikwa na gazeti la Tanzania Daima la Mei 30, mwaka huu, ni uzushi. "Tuhuma hizi ni nzito na za kusikitisha, lakini zinastahili kupuuzwa na wananchi wenye akili timamu, kwani mtoa habari hizo siku zote amekuwa ni mwongo," ilisema taarifa hiyo iliyotiwa saini na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Propaganda cha CCM, Richard Tambwe.

Tambwe alisema CCM kwa muda mrefu imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha nchi inakuwa na amani na imekuwa ikifanya hivyo kabla CHADEMA haijaanzishwa, lakini ni mambo ya kusikitisha kuona kuwa chama hicho ndicho kimekuwa kikichangia kubomoa hali ya amani na utulivu uliopo.

Alisema Lissu amekuwa akitumia maneno ya uchochezi kwa sababu za kisiasa kwa nia ya kutaka kuungwa mkono na wananchi.
Aliliomba Jeshi la Polisi nchini kuendelea kuwatafuta wote walioshiriki kwa njia moja au nyingine katika tukio la Tarime, wakiwemo viongozi ambao wamekuwa wachochezi.
Tambwe aliwakumbusha wananchi kuwa serikali iliyopo madarakani imetokana na CCM, ambayo ilishinda baada ya wananchi kuonyesha imani kwa Chama.
 
Wednesday, 01 June 2011 12:45 newsroom



NA MWANDISHI WETU
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeelezea kusikitishwa kwakwe na tuhuma zinazotolewa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Tundu Lissu kwamba imehusika katika mauaji ya wananchi katika mgodi wa Nyamongo, Tarime. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana, ilisema kuwa CCM haihusiki kwa namna yoyote na mauaji hayo na kwamba habari zilizoandikwa na gazeti la Tanzania Daima la Mei 30, mwaka huu, ni uzushi. "Tuhuma hizi ni nzito na za kusikitisha, lakini zinastahili kupuuzwa na wananchi wenye akili timamu, kwani mtoa habari hizo siku zote amekuwa ni mwongo," ilisema taarifa hiyo iliyotiwa saini na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Propaganda cha CCM, Richard Tambwe.

Tambwe alisema CCM kwa muda mrefu imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha nchi inakuwa na amani na imekuwa ikifanya hivyo kabla CHADEMA haijaanzishwa, lakini ni mambo ya kusikitisha kuona kuwa chama hicho ndicho kimekuwa kikichangia kubomoa hali ya amani na utulivu uliopo.

Alisema Lissu amekuwa akitumia maneno ya uchochezi kwa sababu za kisiasa kwa nia ya kutaka kuungwa mkono na wananchi.
Aliliomba Jeshi la Polisi nchini kuendelea kuwatafuta wote walioshiriki kwa njia moja au nyingine katika tukio la Tarime, wakiwemo viongozi ambao wamekuwa wachochezi.
Tambwe aliwakumbusha wananchi kuwa serikali iliyopo madarakani imetokana na CCM, ambayo ilishinda baada ya wananchi kuonyesha imani kwa Chama.
Au Hiza Tambwe ambaye hukuzipuuza ukaamua kuzijibu umejiona kuwa huna akili timamu! Maana umetuomba wenye akili timamu tuzipuuze huku wewe hukuzipuuza ukazijibu!

Tukisema CCM hakuna mtu tutakuwa tunakosea kweli!

Je walipooua kule Pemba walikuwa Chadema ndio waliolianzisha! Mbona Tambwe uliwalaumu CCM walipoua Pemba!
Kweli CCM Wanatunza amani mpaka Chadema walipokuja ndipo wakaanza kuua!

 
Mwananchi mwenye akili timamu anajua kuwa vyombo vya dola (serikali) vimeshiriki katika mauaji ya wananchi Tarime. Vilevile, mwananchi mwenye akili timamu anatambua kuwa serikali hiyo inaongozwa na ccm. Hivyo basi, mwanachi mwenye akili timamu anaweza kuunganisha na kujua kuwa serikali ya ccm ndiyo iliyofanya hayo mauaji. Tambwe amesema mwenyewe, "...serikali iliyopo madarakani imetokana na CCM, ambayo ilishinda baada ya wananchi kuonyesha imani kwa Chama..."
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wednesday, 01 June 2011 12:45 newsroom



NA MWANDISHI WETU
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeelezea kusikitishwa kwakwe na tuhuma zinazotolewa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Tundu Lissu kwamba imehusika katika mauaji ya wananchi katika mgodi wa Nyamongo, Tarime. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana, ilisema kuwa CCM haihusiki kwa namna yoyote na mauaji hayo na kwamba habari zilizoandikwa na gazeti la Tanzania Daima la Mei 30, mwaka huu, ni uzushi. "Tuhuma hizi ni nzito na za kusikitisha, lakini zinastahili kupuuzwa na wananchi wenye akili timamu, kwani mtoa habari hizo siku zote amekuwa ni mwongo," ilisema taarifa hiyo iliyotiwa saini na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Propaganda cha CCM, Richard Tambwe.

Tambwe alisema CCM kwa muda mrefu imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha nchi inakuwa na amani na imekuwa ikifanya hivyo kabla CHADEMA haijaanzishwa, lakini ni mambo ya kusikitisha kuona kuwa chama hicho ndicho kimekuwa kikichangia kubomoa hali ya amani na utulivu uliopo.

Alisema Lissu amekuwa akitumia maneno ya uchochezi kwa sababu za kisiasa kwa nia ya kutaka kuungwa mkono na wananchi.
Aliliomba Jeshi la Polisi nchini kuendelea kuwatafuta wote walioshiriki kwa njia moja au nyingine katika tukio la Tarime, wakiwemo viongozi ambao wamekuwa wachochezi.
Tambwe aliwakumbusha wananchi kuwa serikali iliyopo madarakani imetokana na CCM, ambayo ilishinda baada ya wananchi kuonyesha imani kwa Chama.

Sina uhakika na hapo
 
Duh nilidhani Tambwe kaondoka na Mzee Makamba kumbe bado yupo CCM kweli imefilisika.
 
Muulizeni kama alishamshughulikia mama yake mzazi, aliahidi atafanya hivyo kabla ya kurudi CCM.
 
Wednesday, 01 June 2011 12:45 newsroom



NA MWANDISHI WETU
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeelezea kusikitishwa kwakwe na tuhuma zinazotolewa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Tundu Lissu kwamba imehusika katika mauaji ya wananchi katika mgodi wa Nyamongo, Tarime. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana, ilisema kuwa CCM haihusiki kwa namna yoyote na mauaji hayo na kwamba habari zilizoandikwa na gazeti la Tanzania Daima la Mei 30, mwaka huu, ni uzushi. "Tuhuma hizi ni nzito na za kusikitisha, lakini zinastahili kupuuzwa na wananchi wenye akili timamu, kwani mtoa habari hizo siku zote amekuwa ni mwongo," ilisema taarifa hiyo iliyotiwa saini na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Propaganda cha CCM, Richard Tambwe.

Tambwe alisema CCM kwa muda mrefu imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha nchi inakuwa na amani na imekuwa ikifanya hivyo kabla CHADEMA haijaanzishwa, lakini ni mambo ya kusikitisha kuona kuwa chama hicho ndicho kimekuwa kikichangia kubomoa hali ya amani na utulivu uliopo.

Alisema Lissu amekuwa akitumia maneno ya uchochezi kwa sababu za kisiasa kwa nia ya kutaka kuungwa mkono na wananchi.
Aliliomba Jeshi la Polisi nchini kuendelea kuwatafuta wote walioshiriki kwa njia moja au nyingine katika tukio la Tarime, wakiwemo viongozi ambao wamekuwa wachochezi.
Tambwe aliwakumbusha wananchi kuwa serikali iliyopo madarakani imetokana na CCM, ambayo ilishinda baada ya wananchi kuonyesha imani kwa Chama.

Lissu huyu si amefukuzwa nyamongo mpaka kesi iishe? nadhani amechanganyikiwa kwani nasikia polisi walimfanya kitu mbaya sana huyu
 
Mwananchi mwenye akili timamu anajua kuwa vyombo vya dola (serikali) vimeshiriki katika mauaji ya wananchi Tarime. Vilevile, mwananchi mwenye akili timamu anatambua kuwa serikali hiyo inaongozwa na ccm. Hivyo basi, mwanachi mwenye akili timamu anaweza kuunganisha na kujua kuwa serikali ya ccm ndiyo iliyofanya hayo mauaji. Tambwe amesema mwenyewe, "...serikali iliyopo madarakani imetokana na CCM, ambayo ilishinda baada ya wananchi kuonyesha imani kwa Chama..."

Na mwananchi mwenye akili timamu anajua kabisa kuwa CDM ndio walio chochea mauaji na kisha kujinufaisha kisiasa kwa kujitafutia umaarufu kwenye maiti
 
Lissu hawezi kuwaambia ukweli ila polisi walimfanya kitu mbaya huyu nyie acheni walimwingizia vidole m*u*d*n*

Mkuu ongea mambo ya maana ya kuwasaidia watanzania waondokane na umaskini na sio habari hizi za kiajabu ambazo hata mtoto mdogo hawezi kuongea
 
Na mwananchi mwenye akili timamu anajua kabisa kuwa CDM ndio walio chochea mauaji na kisha kujinufaisha kisiasa kwa kujitafutia umaarufu kwenye maiti

Mkuu unapoteza maana nzima ya kuchangia hii post maana aliyeitoa ni mtu wa kwako huko bado unaingiza mambo ya kijinga na kipuuzi mpaka inakosa maana
 
Mfa maji haachi kutapatapa, nasubiri tamko la mrembo (handsome) wa nchi.
 
Lissu hawezi kuwaambia ukweli ila polisi walimfanya kitu mbaya huyu nyie acheni walimwingizia vidole m*u*d*n*

Join Date : 3rd November 2010
Posts : 1,260
Thanks0Thanked 66 Times in 49 Posts

Rep Power : 23

Mkuu heshima mbele, yani umenifurahisha kweli umefikisha post 1,260 bila hata watu kukugongea ka thanks,unaonesha jinsi gani post zako hazina mshiko kama maelezo yako hapo juu ni balaa.
 
Join Date : 3rd November 2010
Posts : 1,260
Thanks0Thanked 66 Times in 49 Posts

Rep Power : 23

Mkuu heshima mbele, yani umenifurahisha kweli umefikisha post 1,260 bila hata watu kukugongea ka thanks,unaonesha jinsi gani post zako hazina mshiko kama maelezo yako hapo juu ni balaa.

Mkuu sikuliona hilo bora hata nisingehangaika kumjibu
 
Back
Top Bottom