Si hivi majuzi tu, hata wiki haijapita walikuwa wanasema elimu bure haiwezekani kwa bidii sana? Hii sasa ni comedy!:smile-big:Leo mnamo saa 4:38 usiku, Jumanne Magembe ametangazia umma kupitia ITV kwamba CCM utatoa elimu ya msingi kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne.
Ilipitishwa lini na Bunge?
Leo mnamo saa 4:38 usiku, Jumanne Magembe ametangazia umma kupitia ITV kwamba CCM utatoa elimu ya msingi kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne.
Ilipitishwa lini na Bunge?
Kwani ulikuwa hujui kama sehemu nyingi kwa kutumia zile shule za kata, asilimia 90 ya wanafunzi wa darasa la saba alikuwa wanaendelea sekondari. Tatizo ni walimu tu ambalo linashughulikiwa.
Hiyo ndio ilikuwa lengo la chama tawala kwa kuanzisha shule za kata.
Hilo lipo Zanzibar kwanini lishindikane TANZANIA BARA?
Hakuna jipya hapo. Au hukusoma hotuba ya mh Kikwete akiliaga Bunge. Ninayo hapa ukitaka naweza kukuwekea. wENZAKO WALILIKUBALI HILO HAPA jf, walicholaumu ni walimu tu. Lakini Rome haikujengwa kwa siku moja.
Si hivi majuzi tu, hata wiki haijapita walikuwa wanasema elimu bure haiwezekani kwa bidii sana? Hii sasa ni comedy!:smile-big:
Rudia kusoma Thread, kwani wapi walipoandika ELIMU BURE.
kUTOA elimu toka Msingi mpaka Sekondari kidato cha nne maana yake kila mtanzania atawajibika kusoma mpaka kidato cha NNE. Ni kama serikali ilivysema kuwa mtoto akifaulu kwenda sekondari na mzee akmuozesha au akamkataza kwenda huko kwa sababu ya kuchunga Ng'ombe basi mzee atashitakiwa.
Kwani ulikuwa hujui kama sehemu nyingi kwa kutumia zile shule za kata, asilimia 90 ya wanafunzi wa darasa la saba alikuwa wanaendelea sekondari. Tatizo ni walimu tu ambalo linashughulikiwa.
Hiyo ndio ilikuwa lengo la chama tawala kwa kuanzisha shule za kata.
Hilo lipo Zanzibar kwanini lishindikane TANZANIA BARA?
Hakuna jipya hapo. Au hukusoma hotuba ya mh Kikwete akiliaga Bunge. Ninayo hapa ukitaka naweza kukuwekea. wENZAKO WALILIKUBALI HILO HAPA jf, walicholaumu ni walimu tu. Lakini Rome haikujengwa kwa siku moja.