Mwandishi uko juu ya mstari kabisa. Kwa hakika, hoja ya serikali tatu imewashinda CCM. Matusi na kejeli wanazotumia zitawaponza wenyewqe. Sisi walala hoi hatuna ila kuangalia sakata la CCM litamalizika vipi. Ninalo sikitikia ni namna CCM wanavo jimaliza kwa itikadi potofu. Nawatakia ucku mwema.